Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Masalia ya Zitto yaliyopukutishwa Chadema.Mchange ndio nani?
Kuna haja kujadili mantiki ya mada yenyewe, ZITTO anafaa au hafai kuwa Rais? mbona tunazunguka sana? kama anafaaa suala la katiba ni issue nyingine, tumkubali kwanza kijana ZITTO hayo mengine yatafuata. Suala la katiba liko chini ya uwezo wetu, ni kiasi tu cha kutoa maoni kwenye tume ya katiba mpya na umri utapunguzwa tu. Hii ni dunia ya vijana bwana. Nasisitiza, tuongelee uwezo wa ZITTO na siyo umri. Binfsi naona ZITTO ndiye anafaa kupeperusha bendera ya CDM 2015Kuna watu huwa wanataka umaarufu usio na tija we katiba yenyewe hairuhusu sasa why disturb us na utakaji wa uraisi wakati bado miaka mitatu mbele?
Hivi huwa mnasoma shule gani nyie mbona hata ambao hatujasoma sana twawazidi kasomeni katiba na pia nahakika hatakuwa raisi huyo Zitto
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu hujui kuna mchakato wa kuandika katiba upya na vijana wanataka umri wa kugombea urais uwe kuanzia miaka 40? Hujui kwamba ahadi ya Rais JK ni kwamba katiba mpya itapatikana kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015? Ikiwa hivyo na bahati nzuri umri ukapunguzwa hadi miaka 40 basi Zitto atakuwa ndani ya wigo.
Huyu Habib Machange naye tayari kesha hongwa pesa ili kuvuruga ajenda za chadema? Aiseee!!!
Mkuu Molemo huyu Mchange siyo Kamanda tena leo? Kweli siasa si hasa!
Ebu wacha roho mbaya wewe Hammer na vogue ndio imekutoa roho, umeziona kwa Zitto tuu kwengine hukuziona?Zitto celibate man tumweke ikulu ikulu sio ya wahuni, bado anahitaji kwenda club bado anatafuta mchumba. Afanye kwanza hayo na aacha undumila kuwili he will be considered not now!
By ze wei Lile hammer na Vogue kayatoa wapi vile?
Kimbuga;Kumbuka siasa nazo zina zama zake,hakika Mchange alikuwa mzuri 2010 kulingana na mahitaji ya wakati ule lakini kwa sasa siasa zimemzidi upeo na ameishia kuondoa matumaini yake ya kisiasa na kuweka kwa mtu binafsi.
Nakumbuka uchaguzi mdogo uliopita wa diwani wa Kirumba-Mwanza nilikutana na Mchange na katika majadiliano alieleza jinsi inavyotakiwa kuendesha kampeni za kumchafua M/kiti wa CDM alipobanwa sana hakuwa na sababu ya msingi na hata nilimwambia mda huu na raslimali hizi ungezitumia kuimarisha chama na hasa Kibaha mjini ingesaidia chama na hata wafuasi wenu ila sio aina hii ya siasa haina msaada kwako.
Kifupi tu sio jembe tena.