Urais wa Tanzania ni sawa na Urais wa DARUSO

mwaikenda

JF-Expert Member
Mar 26, 2011
903
141
Kwa wale tuliosoma pale Mlimani Udsm mnafahamu wazi kabisa kuwa Siasa za Daruso na tabisa yake. Lakini kikubwa ni kuwa siasa za pale zina tabia kubwa moja za kutafuta umaarufu hasa wa kuorganize mgomo kwa madai yoyote yale ndiyo mtu unaonekana unaweza ila si kwa kujenga hoja pale Rev. Square.
Madhara ya Siasa za Daruso zimezaa vijana ambao leo hii wapo serikalini, Vyama vya Siasa, Bungeni na hata katika taasisi za Umma.
Mfano mdogo ni hawa vijana kama akina January Makamba eti naye anataka Urais jaman ivi kweli tujiulize Siasa kaanza lini? Afahdaki hata Jk. safari yaje kwenye Siasa ni ndefu na kapita kwenye visiki vingi laskini vijana wa siku hizi wanatoka Daruso wanataka Uraisi. Huku ni kuidharirisha Taasis ya Urais kama Siasa za Daruso. Kila mtu anataka kuwa Raisi kwa sababu tu ana uwezo wa kujenga hoja au kesha pitia siasa za Chuo kama Kisandu.
Kuna haja ya kudhibti jambo hili kwa taasisi ya Urais si nyepesi kama wengi wao wajuavyo.
 
Kwa wale tuliosoma pale Mlimani Udsm mnafahamu wazi kabisa kuwa Siasa za Daruso na tabisa yake. Lakini kikubwa ni kuwa siasa za pale zina tabia kubwa moja za kutafuta umaarufu hasa wa kuorganize mgomo kwa madai yoyote yale ndiyo mtu unaonekana unaweza ila si kwa kujenga hoja pale Rev. Square.
Madhara ya Siasa za Daruso zimezaa vijana ambao leo hii wapo serikalini, Vyama vya Siasa, Bungeni na hata katika taasisi za Umma.
Mfano mdogo ni hawa vijana kama akina January Makamba eti naye anataka Urais jaman ivi kweli tujiulize Siasa kaanza lini? Afahdaki hata Jk. safari yaje kwenye Siasa ni ndefu na kapita kwenye visiki vingi laskini vijana wa siku hizi wanatoka Daruso wanataka Uraisi. Huku ni kuidharirisha Taasis ya Urais kama Siasa za Daruso. Kila mtu anataka kuwa Raisi kwa sababu tu ana uwezo wa kujenga hoja au kesha pitia siasa za Chuo kama Kisandu.
Kuna haja ya kudhibti jambo hili kwa taasisi ya Urais si nyepesi kama wengi wao wajuavyo.

Ndugu yangu na Kuunga Mkono 100% lakini nadhani tatizo ni kwasababu hata baadhi ya viongozi wanapageuza Ikulu kuwa Pango la wanyang`anyi na sehemu ya kupiga dili kwa hiyo vijana wengi sikuhizi hata ambaye ahajawahi kuwa monitor Darasani wanatafuta mbinu za kiujanjaujanja kupata madaraka na hii itaweza kudhibitiwa na watu kuogopa Taasisi hii pale itakapopitishwa sheria Kali kukabiliana na watu wenye tabia hizi za Udokozi wo wenyewe au kwa kutumia ndugu zao na marafiki .

Vilevile vijana siyo tu wanakimbilia Uraisi kila kitu wanakimbilia with alot of expectation .Hata kweny ndoa ni hivyohivyo tu wanaingia kwa kasi halafu baada ya sikutatu wanataka kutoka humo kwa kasi ya ajabu.Tatizo kubwa ni kutokuwepo elimu ya maadili na maadili kupungua jambo lililopelekea kuongezeka kwa ubinafsi na tamaa ya kujilimbikizia mali na kutaka umaarufu harakaharaka na wanadhani kwenye Urais na UBUNGE NDO SEHEMU RAHISI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO
 
Kwa wale tuliosoma pale Mlimani Udsm mnafahamu wazi kabisa kuwa Siasa za Daruso na tabisa yake. Lakini kikubwa ni kuwa siasa za pale zina tabia kubwa moja za kutafuta umaarufu hasa wa kuorganize mgomo kwa madai yoyote yale ndiyo mtu unaonekana unaweza ila si kwa kujenga hoja pale Rev. Square.
Madhara ya Siasa za Daruso zimezaa vijana ambao leo hii wapo serikalini, Vyama vya Siasa, Bungeni na hata katika taasisi za Umma.
Mfano mdogo ni hawa vijana kama akina January Makamba eti naye anataka Urais jaman ivi kweli tujiulize Siasa kaanza lini? Afahdaki hata Jk. safari yaje kwenye Siasa ni ndefu na kapita kwenye visiki vingi laskini vijana wa siku hizi wanatoka Daruso wanataka Uraisi. Huku ni kuidharirisha Taasis ya Urais kama Siasa za Daruso. Kila mtu anataka kuwa Raisi kwa sababu tu ana uwezo wa kujenga hoja au kesha pitia siasa za Chuo kama Kisandu.
Kuna haja ya kudhibti jambo hili kwa taasisi ya Urais si nyepesi kama wengi wao wajuavyo.

January Makamba kasoma USA. Umekosea, revo square anapasikia tu. but any way, why do you despise daruso leadership experiences? Do you expect you who has never even been a class monitor to raise to national leadership? Tumekutawala daruso, tukakugomesha revo square na huku uraiani Ndio kabisa. Even Kikwete was a daruso leader!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom