Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema si haki hata kidogo Rais wa muungano atoke upande wa bara tu kila awamu.Maalim Seif amesema kamwe haikubaliki kwani ni nchi mbili huru ziliungana.Ameongeza huu ni upendeleo wa waziwazi ambao katiba mpya itabidi iufanyie kazi kwa maslahi ya nchi hizi mbili. SOURCE HABARI ITV.
Makamu wa Kwanza wa rais wa zanzibar. Hivi katiba tuliyonayo sasa inakitambua cheo hicho. Kabla ya kuoba uraisia aombe cheo chake kitambuliwe rasmi na JMT