Urais wa Mama Samia Suluhu Hassan: Changamoto na fursa zilizopo

Sehemu ya Tano - Fursa alizonazo Rais Samia Suluhu Hassan kujenga legacy yake.
Fursa kuu, kiuchumi, aliyonayo, ni kuhakikisha, once and for all, jibu linapatikana kwa swali lifuatalo:

Tanzania ni nchi inayojenga uchumi wa kujitegemea kwa misingi ya:
A.
Ujamaa
B. Ubepari
C. Siyo Ujamaa wala Ubepari
D. Vyote Ujamaa na Ubepari

Vinginevyo, safari yetu itakuwa tunapiga hatua moja mbele, mbili nyuma.
 
Nchi inayojitegemea kiuchumi maana yake ni ile ambayo ni "completely independent", inazalisha bidhaa na huduma zote zinazohitajika ndani ya nchi, hivyo kutohitaji to import goods or services nje ya nchi.

Hakuna nchi ya namna hiyo duniani, kwahiyo Dhana ya "uchumi wa kujitegemea" ni dhana potofu, totally misplaced.

Kinachohitajika ni sera na mikakati ya kujenga - a strong and resilient economy that can effectively withstand global competition. Tukipanga na kuamua, hilo linawezekana.
Fursa kuu, kiuchumi, aliyonayo, ni kuhakikisha, once and for all, jibu linapatikana kwa swali lifuatalo:

Tanzania ni nchi inayojenga uchumi wa kujitegemea kwa misingi ya:
A.
Ujamaa
B. Ubepari
C. Siyo Ujamaa wala Ubepari
D. Vyote Ujamaa na Ubepari

Vinginevyo, safari yetu itakuwa tunapiga hatua moja mbele, mbili nyuma.
 
Nchi inayojitegemea kiuchumi maana yake ni ile ambayo ni "completely independent", inazalisha bidhaa na huduma zote zinazohitajika ndani ya nchi, hivyo kutohitaji to import goods or services nje ya nchi.

Hakuna nchi ya namna hiyo duniani, kwahiyo Dhana ya "uchumi wa kujitegemea" ni dhana potofu, totally misplaced.

Kinachohitajika ni sera na mikakati ya kujenga - a strong and resilient economy that can effectively withstand global competition. Tukipanga na kuamua, hilo linawezekana.
You are right kwa maana ya "kujitegemea" uliyoitaja ya kuwa completely independent. Lakini hiyo ni strawman argument. Hoja niliyoiposti ni kujitegemea.
 
Fursa kuu, kiuchumi, aliyonayo, ni kuhakikisha, once and for all, jibu linapatikana kwa swali lifuatalo:

Tanzania ni nchi inayojenga uchumi wa kujitegemea kwa misingi ya:
A.
Ujamaa
B. Ubepari
C. Siyo Ujamaa wala Ubepari
D. Vyote Ujamaa na Ubepari

Vinginevyo, safari yetu itakuwa tunapiga hatua moja mbele, mbili nyuma.
Na haya ni matatizo ya kutawaliwa bila mawazo mbadala. Swali hili waulizwe CCM

Kuna swali moja limeulizwa '' ni nchi gani iliyo completely independent' katika uchumi?
 
Kuna swali moja limeulizwa '' ni nchi gani iliyo completely independent' katika uchumi?
Hiyo ni strawman-argument ya aliyeuliza. Kachukua "kujitegemea" akatafsiri ni "completely independent", halafu akauliza atajiwe nchi ambayo ni "completely independent".

 
Na haya ni matatizo ya kutawaliwa bila mawazo mbadala. Swali hili waulizwe CCM
Unavyoona, Tanzania kwa sasa inatumia falsafa za ujamaa, ubepari, mchanyato wa ujamaa na ubepari, au si ujamaa wala ubepari?
 
Strawman argument maana yake ni kwamba nilichosema is a distortion, if not an exaggeration. Nadhani you are just complicating the issue here. Sana sana ungesema kwamba you have been misunderstood then use the opportunity to clarify.

You were very specific kwamba fundamental issue ni "UCHUMI", then ukaongezea mbele ya neno uchumi - maneno - "wa kujitegemea".

Iwapo uelewa wangu umetumia neno lisilokupendeza, basi naomba nilibadilishe niweke maneno "self reliance". Baada ya hapo naomba nijaribu tena kutafsiri na kukuelewa kwamba ulichomaanisha ni - Tanzania being a - "self reliant ECONOMY". Key word "economy".

Iwapo tupo sawa hadi hapo, basi nadhani tutakubaliana kwamba - context lazima ihusishe pande mbili kiuchumi:

  • Upande mmoja - Production of Goods and services.
  • Upande mwingine- Consumption of goods and services.

It follows kwamba - Tanzania being a self reliant economy una maanisha kwamba - You produce what you consume and consume what you produce. Hivyo ndivyo nilivyokuelewa kwa sababu haukufafanua. Lakini unayo fursa ya kutufafanulia ili tukuelewe na tuyajenge zaidi.
Hiyo ni strawman-argument ya aliyeuliza. Kachukua "kujitegemea" akatafsiri ni "completely independent", halafu akauliza atajiwe nchi ambayo ni "completely independent".

 
"wa kujitegemea"
"Usio tegemezi."

Yaani uchumi uweze kuhudumia mahitaji muhimu ya nchi (ikiwa kwa kuzalisha nchini au kwa kununua nje ya nchi) pasipo kuhitaji shangazi wala mjomba wa ku foot the bill. Uchumi wa hivyo huwezesha nchi kulinda uhuru wa kujiamulia mambo yake yenyewe.

Kikubwa ni je, tunajenga uchumi wa kijamaa, kibepari, mchanyato wa ujamaa na ubepari, au si wa ujamaa wala ubepari?
 
Tanzania haijawahi kuwa nchi ya Kijamaa per Marxism. Ujamaa wa Tanzania meant everything to everybody depending on one's position in the society. Kwa mfano - wakulima waliuelewa tofauti, wafanyakazi nao tofauti, lakini pia petty traders and commercial houses nao waliuelewa tofauti.

Tatizo kubwa la ujamaa wa Tanzania ni kwamba it was not supported by any explicit social theory, badala yake it was an amalgam of a glorious description of the past (very flawed historically), a powerful statement of an idealist policy (without a political programme) and a grandiose vision of the future without a grand theory of society.

No wonder ukaitwa ujamaa wa kiafrika ie "African Socialism", kwa sababu Lengo kuu lilikuwa ni political attempt ya kurudisha wananchi katika relations of production walizokuwa nazo kabla ya ujio wa the exploiter - kwanza beberu (imperialist) wakati wa primitive accumulation and eventually bepari (capitalist) mkazi, mkoloni.

Swali linalofuata ni je is it true kwamba before colonialism tuliishi chini ya mfumo wa ujamaa wa kiafrika?

Sio kweli. Na pia pia hata katika kipindi cha 1967-1985, pia haikuwa kweli. Swali lingine - kwahiyo kweli ilikuwa ni ipi?

Ukweli ni kwamba tangia kipindi cha primitive accumulation na utumwa, Tanganyika ilishakuwa integrated into the global capitalist system. Ujio wa ukoloni ulikoleza that integration na ujamaa didnt do anything to alter it. We will discuss that it a second...

Throughout uhuru pamoja na kile kipindi cha the so called Ujamaa, the state and the ruling class were OBJECTIVELY serving the "international capitalist system". The integration to this system was not as deep wakati wa ukoloni lakini it was deepened and strengthened zaidi after independence. Measures were taken baada ya uhuru irrespective of the rationalization OBJECTIVELY na kupelekea further integration within the capitalist system.

Wakati wa ujamaa (1967-1985), there was no attempt to change the colonial structure of the economy. The Tanzanian state continued to increase the production of cash crops for exports which deepened the country's external integration and dependency.

Attempts zote za 1967-1985 didnt mean to skip or jump the capitalist stage, for we were and still are very much part of the capitalist relations and capitalist milieu.

Tanzania inaendelea kuwa "An Underveloped Capitalist Society". Habari za ujamaa ni siasa za kujikosha kwa maskini. Tanzania is a country dominated by small peasants. It is also one of the poorest countries on earth. These conditions provided (still do) excellent material and the social basis for various petty bourgeois ideology.

Ideas kuhusu usawa, social concordance...and the absence of conflict (amani, umoja na utulivu) emphasized by Ujamaa ideology was (still is) an idealisation of the life situation of peasants and the rationalization ya ndoto na matamanio ya poor peasants, ambao still constitute sehemu kubwa ya watanzania. Ikumbukwe kwamba chini ya Ujamaa wa Mwalimu (na to an extent 2015 to date), the rich and wealthy were/are portrayed as capitalist and imperialist (mabeberu) na MAADUI WAKUBWA WA UJAMAA....

Unavyoona, Tanzania kwa sasa inatumia falsafa za ujamaa, ubepari, mchanyato wa ujamaa na ubepari, au si ujamaa wala ubepari?
 
Tanzania inaendelea kuwa "An Underveloped Capitalist Society".
Kwa hiyo unasema Tanzania inafuata ubepari. Basi hiyo ndiyo fursa kwa mkuu wa nchi kutangaza rasmi kwamba Tanzania ni nchi ya kibepari. Na pale kwenye katiba mwanzonimwanzoni, parekebishwe kusema hivyo.
 
Nadhani based on your own experience and account, plus my previous post unaweza kuona kwanini ni vigumu kwa Katiba ya nchi kutekeleza hilo. Sana sana inaweza jaribu kurekebisha kwa kuweka kitu loose kidogo kama vile "Ujamaa wa Kidemokrasia". It wont be "ideal" ofcourse but "workable". Hii ni kwasababu - ujamaa wa kidemokrasia unahimiza Serikali kuingilia kiuchumi na Kijamii ili to promote social and economic justice within the framework yenye vionjo vya liberal democracy & mixed economy.
Kwa hiyo unasema Tanzania inafuata ubepari. Basi hiyo ndiyo fursa kwa mkuu wa nchi kutangaza rasmi kwamba Tanzania ni nchi ya kibepari. Na pale kwenye katiba mwanzonimwanzoni, parekebishwe kusema hivyo.
 
Kwa hiyo unasema Tanzania inafuata ubepari. Basi hiyo ndiyo fursa kwa mkuu wa nchi kutangaza rasmi kwamba Tanzania ni nchi ya kibepari. Na pale kwenye katiba mwanzonimwanzoni, parekebishwe kusema hivyo.
Unarudia makosa yale yale. Sera za nchi za muda mrefu hazitengenezwi au kutangazwa na mtu
Ni makubaliano yanayotoka katika jamii. Executive order siyo synonymous with Policy.

Hivi huoni tunavyobabaika na Bandari ya Bagamoyo?
 
Unarudia makosa yale yale. Sera za nchi za muda mrefu hazitengenezwi au kutangazwa na mtu
Ni makubaliano yanayotoka katika jamii. Executive order siyo synonymous with Policy.

Hivi huoni tunavyobabaika na Bandari ya Bagamoyo?
Maana yake, afanye cha kufanyika, under her watch, nchi ichague pa kupita kiuchumi. Mwishowe tunasema ni yeye ndiye kaleta, hata kama ubepari utakuwa umeibuliwa na wananchi. The buck stops with her. Ni kama tunavyoiita "Katiba ya Warioba". Lakini siyo kwamba Mzee Warioba aliketi na kutunga mawazo yake na kuyaweka kwenye katiba. Officially, alichofanya ni ku collate mawazo ya wananchi kama mwenyekiti wa tume na kuwasilisha kwa aliyemtuma (Rais).
 
Nadhani based on your own experience and account, plus my previous post unaweza kuona kwanini ni vigumu kwa Katiba ya nchi kutekeleza hilo. Sana sana inaweza jaribu kurekebisha kwa kuweka kitu loose kidogo kama vile "Ujamaa wa Kidemokrasia". It wont be "ideal" ofcourse but "workable". Hii ni kwasababu - ujamaa wa kidemokrasia unahimiza Serikali kuingilia kiuchumi na Kijamii ili to promote social and economic justice within the framework yenye vionjo vya liberal democracy & mixed economy.
Kuchagua Ubepari au Ujamaa, siyo jina tu; bali inabidi kuchagua:

1. Uchumi wa kupangwa (ujamaa -- central planning of economy: failure rate close to 100%); au uchumi wa soko (ubepari -- umeleta mafanikio makubwa katika historia ya binadamu).

2. Serikali kubwa (ujamaa) au serikali ndogo (ubepari). Kwa mfano, serikali nyingi za mtaa zinatumia maduhuli karibu yote kulipia ankara ya mishahara ya watumishi (ujamaa).

3. Mamlaka makubwa "juu" (ujamaa) au Mamlaka yaliyogatuliwa mpaka ngazi ya mtu binafsi (ubepari).

4. Serikali na taasisi zake inakuwa refa-mchezaji (ujamaa, inatunga sera, na wakati huohuo inaingia kufanya biashara kushindana na wananchi); au serikali inakuwa mpenzi-mtazamaji kuangalia yanayoendelea, huku 'filimbi' zikiwa chache (ubepari).


Ni wazi soko huria ndio njia itakayompa mafanikio makubwa haraka. Lakini hapo itabidi awe makini na taasisi za serikali zilizo refa-wachezaji kwani uzoefu unaonesha hawakubali kirahisi kuachilia walivyo refa-mshambuliaji. Utawasikia kwa kibwagizo cha "soko huria siyo soko holela", nk. hivyo kuendeleza "udhibiti".

Hands-off, eyes-on ndio njia rahisi na halisi ya kuleta maendeleo makubwa, mapema kwa raha na furaha. Jirani zetu Kenya wanatupa mfano mzuri: Mwai Kibaki alitumia mbinu za kibepari (uchumi wa soko, hands-off, eyes-on) wakati Kenyatta jr anaonekana kama vile anatumia hands-on approaches. Au natural experiments za East-Germany (Ujamaa) na West-Germany (Ubepari). North Korea (Ujamaa) na South Korea (Ubepari).

Overall, serikali ni kama refarii kwenye mpira: filimbi zikiwa nyingi, kadi kibao, mwishowe mashabiki watamzungumzia refa badala ya wachezaji kwamba ndiye anayeathiri matokeo. Refa mahiri, mpaka dakika ya 90, ni kama hayuko. Filimbi kidogo hapa au pale. Anaacha game iendelee organically. Anaruhusu "advantage" pale inapobidi, na baadhi ya 'faulo' ndogondogo 'anapeta' kuziachilia.
 
Opponents wa Ujamaa are very vocal kuhusu "failure of Ujamaa" in Africa. Wanasahau kwamba Africa's real failure ni "failure of Capitalism".


Kuchagua Ubepari au Ujamaa, siyo jina tu; bali inabidi kuchagua:

1. Uchumi wa kupangwa (ujamaa -- central planning of economy: failure rate close to 100%); au uchumi wa soko (ubepari -- umeleta mafanikio makubwa katika historia ya binadamu).

2. Serikali kubwa (ujamaa) au serikali ndogo (ubepari). Kwa mfano, serikali nyingi za mtaa zinatumia maduhuli karibu yote kulipia ankara ya mishahara ya watumishi (ujamaa).

3. Mamlaka makubwa "juu" (ujamaa) au Mamlaka yaliyogatuliwa mpaka ngazi ya mtu binafsi (ubepari).

4. Serikali na taasisi zake inakuwa refa-mchezaji (ujamaa, inatunga sera, na wakati huohuo inaingia kufanya biashara kushindana na wananchi); au serikali inakuwa mpenzi-mtazamaji kuangalia yanayoendelea, huku 'filimbi' zikiwa chache (ubepari).


Ni wazi soko huria ndio njia itakayompa mafanikio makubwa haraka. Lakini hapo itabidi awe makini na taasisi za serikali zilizo refa-wachezaji kwani uzoefu unaonesha hawakubali kirahisi kuachilia walivyo refa-mshambuliaji. Utawasikia kwa kibwagizo cha "soko huria siyo soko holela", nk. hivyo kuendeleza "udhibiti".

Hands-off, eyes-on ndio njia rahisi na halisi ya kuleta maendeleo makubwa, mapema kwa raha na furaha. Jirani zetu Kenya wanatupa mfano mzuri: Mwai Kibaki alitumia mbinu za kibepari (uchumi wa soko, hands-off, eyes-on) wakati Kenyatta jr anaonekana kama vile anatumia hands-on approaches. Au natural experiments za East-Germany (Ujamaa) na West-Germany (Ubepari). North Korea (Ujamaa) na South Korea (Ubepari).

Overall, serikali ni kama refarii kwenye mpira: filimbi zikiwa nyingi, kadi kibao, mwishowe mashabiki watamzungumzia refa badala ya wachezaji kwamba ndiye anayeathiri matokeo. Refa mahiri, mpaka dakika ya 90, ni kama hayuko. Filimbi kidogo hapa au pale. Anaacha game iendelee organically. Anaruhusu "advantage" pale inapobidi, na baadhi ya 'faulo' ndogondogo 'anapeta' kuziachilia.
 
Sehemu ya sita na ya mwisho itajikita katika mjadala juu ya changamoto zilizopo.
Asante kwa bandiko lako hili muhimu.

Kwa lengo la kuboresha, napendekeza hii sentensi ya mwisho iongezwe maneno ya" ...na namna bora ya kuzikabili, kuzitatua, na kuzikomesha kabisa changamoto hizo na za namna hiyo."
 
Unavyoona, Tanzania kwa sasa inatumia falsafa za ujamaa, ubepari, mchanyato wa ujamaa na ubepari, au si ujamaa wala ubepari?
Ukiacha Mwalimu Nyerere aliyesimama kutanabahisha sera za nchi, wengine waliofuata hawakuweza kusema tunafuata mfumo gani. Imekuwa kwamba kila kiongozi anaingia na lake hakuna sera ya nchi yenye dira.
Kwa miaka 60 tumetawaliwa na CCM na hilo swali ungewauliza !
 
How so? Mchambuzi tafafanulie tafadhali
Integration of Africa into the global capitalist system, beginning with imperialism (ubeberu), slavery (utumwa) and colonialism (ukoloni) haikuwa na lengo la kufaidisha bara la afrika na watu wake. If anything, it was meant to impoverish, exploit and plunder her people and resources. Hali hii ndio iliyopelekea the rise of anti slavery and anti colonialism movements, mara nyingine zikihusisha umwagaji wa damu.

Juhudi za baadhi ya nchi za Afrika to embark on a socialist path baada ya uhuru (in the 1960s) zilisukumwa zaidi na 'bad experience of capitalism' in the continent. Lakini kama tulivyojadili kidogo kwenye "posts za awali", Afrika haikufanikiwa kuwa socialist, per Marxism. Badala yake, throughout independence, Africa remained as "an underdeveloped capitalist society". Ukweli huu upo hadi leo kwa ushahidi ulio wazi.

Kufuatia hali hii, hasa following the end of Cold War zimekuwepo juhudi nyingi kutoka ndani na nje ya Bara la Afrika kusaidia Capitalism iwe na faida, both to her people and resources. Hili limefanyika kwa kujaribu kuhakikisha 'Africa reforms', huku very little efforts zikielekezwa to reform 'capitalism itself'. Afrika inaendelea kuambiwa ifanye reforms huku mazingira yakiwa ni yale yale for decades, hali ya:
1. 'Uneven relationship' in Trade, Investment and Finance within the global capitalist system.
2. 'Limited policy space' for Africa to set/influence her own development agenda.

Haya yote yanaendelea while Capitalism faces only ONE Competitor: CAPITALISM itself, of which - slavery, imperialism and colonialism were all central to its foundation.
 
Heshima yako Mkuu Mchambuzi, ubarikiwe sana.

Itoshe tu kusema Capitalism pamoja na elements zake nyingi ni irrelevant.
Soko Huria
Demokrasi
Ubinafsishaji nk.
Hiyo inafanya mfumo mzima wa Ubepari kuwa Kiini Macho, milele na milele tutabaki kuimbiana nyimbo za aina hiihii juu ya Unyonge wetu, unless we walk our own way.

Ubepari haupo kwa ajili ya Umma, na hakuna sehemu umewahi kuwa hivyo. Ajabu zaidi hiki tunachosema leo tumefeli, ndio hidden achievements za Ubepari.

Tuna safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom