Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

Lissu Ni tahira Kama matahira wengine. Huwezi kukisema kitu kibaya halafu at the same time unakitumia baada ya mkutano. Ndo maana hata kwenye mikutano watu hawajiView attachment 1568870
Huwezi ukapewa urais kwa sababu unajifanya mala ooooh! Nmepigwa mala oooh! Tunaonewa mala oooh! Sijui nini Bila ya kuwa na hoja za kuwashawishi watanzania wakuchague kwa sababu wewe una hoja zipi. Hivi kweli tukuchague kwa kukuhurumia???? Kwelii??. Haiwezekani
 
Tundu Lissu ni moja ya wagombea wanaoendelea kujinadi maeneo mbalimbali kwa Watanzania akitaka achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Namfuatilia sana Ndugu Lissu kwenye kila mikutano yake anayonadi Sera zake lakini sidhani kama kwa kiwango cha nafasi ya Urais anachokitaka kinaendana na kariba yake, hadhi ya cheo chenyewe cha Urais kama taasisi ya heshima kubwa kabisa.

Kiongozi wa nafasi kubwa kama ya Rais ni lazima apimwe kwa mienendo yake mbalimbali ya vitendo, kauli na ukweli ndani yake. Anayoyanadi kwenye mikutano yake ndio aina na mwelekeo wa kiongozi huyo hata akipata madaraka. Kiongozi muongo ni dhahili anatia doa na hofu ya uwezo wake kwenye nafasi hii inayomtaka mtu mchamungu na mkweli sana.

Lissu kwenye mikutano yake amekuwa akilaani vikali na kupinga kitendo cha Serikali kununua ndege kwa kuhoji faida ya ndege hizo. Baada ya kauli yake hiyo anayoitaja kila mahali na kuifanya kama ajenda yake nilitarajia na kutegemea kwamba Lissu angetumia magari kote huko apitako kwasababu ndege hazina faida lakini cha ajabu nimeshangazwa na kumuona Lissu huyuhuyu anayeponda na kupinga ununuzi wa ndege kumuona na yeye akipanda ndege hizo. Hii inatoa picha na somo kwa Watanzania juu ya aina ya Ndugu Lissu.

Kwenye mikutano ndege hazina faida lakini baada ya mkutano anapanda hizohizo. Huu ni unafiki kwa mtu anayetaka cheo cha ngazi kubwa kama ya Urais.

Lissu akiwa Shinyanga alinukuliwa akisema yeye akiwa Rais ataruhusu wafugaji kufugia kwenye hifadhi zetu za wanyama bila bughudha yeyote ile. Sasa jaman Watanzania wenzangu tujiulize kidogo hivi mbuga za wanyama zinazotuingia Mabillion ya pesa na kuwa Sekta ya pili kwa kuchangia pato la Taifa Lissu anasema ataiharibu na kwa kuwaruhusu wafugaji na watu kufanya wanachokitaka. Hii mlisikia wapi?

Hapo hujazungumzia huruma ambayo amekuwa akiitia kwa Watanzania kila siku kwa tukio lake la kupigwa risasi. Yan leo Lissu aende Ikulu kwasababu ya risasi alizopigwa. Wakati Watanzania wakitaka kusikia Sera zinazogusa maisha yao kwenye maji, elimu, barabara, afya na ustawi wao yeye stori na Sera kwa Watanzania ni risasi. Yani hii ndo Sera kuu ya Lissu. Yaani dhamana nyeti kama ya Urais mtu achaguliwe kwasababu ya Sera ya kupigwa risasi. Yani tutakuwa nchi ya ajabu sana duniani.

Zaidi Lissu ameendelea kuwakanyaga wamachinga na wajasiriamali wadogo kwa kudanganya sana. Jana pale Dodoma Lissu alipinga hadharani utaratibu wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo. Hivi kwenye nchi hii nani asiyejua namna wamachinga walivyosumbuliwa kila mahali nchi nzima kwa kutozwa makodi ya ajabu ajabu na kufukuzwa kila mahali.

Utaratibu wa kuwalinda watu hawa ili wafanye biashara zao bila bughudha na mtu yoyote kwa kuwapatia vitambulisho maalum na kulipa elfu 20 tu kwa mwaka badala ya hela walizokuwa wanatozwa kila siku Leo Lissu anaponda. Tunaweza kuwa tofauti kwenye itikadi na imani zetu kisiasa lakini linapokuja suala linalogusa maisha na maslahi ya watu siasa ni lazima ijitenge na uhalisia.

Uongozi ni dhamana na matendo na mienendo mizuri sasa ukiona mtu anayeomba Urais anakuwa na tabia za namna hii kwakweli inashangaza na kutia wasiwasi sana. Watanzania mnalo jukumu la kwenda kufanya maamuzi Oktoba 28.
Lissu katika uchaguzi huu atapotea, CCM inashinda kwa kishindo.
#T2020JPM, #KuraYaNdiyoKwaMagufuli
 
Hivi Lisu kuna mahali amepanda dreamliner na airbus kwenye kampeni zake? Nadhani waungwana wenzangu mnachanganya mambo! Yeye anahoji uhalali wa nchi kama nchi kununua ma dreamliner na airbus kwa cash katika kipindi nchi inasuasua kiuchumi lakini hajahoji watu binafsi au mashirika kununua vimpanzi hivi vi caravan
 
Tundu Lissu ni moja ya wagombea wanaoendelea kujinadi maeneo mbalimbali kwa Watanzania akitaka achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Namfuatilia sana Ndugu Lissu kwenye kila mikutano yake anayonadi Sera zake lakini sidhani kama kwa kiwango cha nafasi ya Urais anachokitaka kinaendana na kariba yake, hadhi ya cheo chenyewe cha Urais kama taasisi ya heshima kubwa kabisa.

Kiongozi wa nafasi kubwa kama ya Rais ni lazima apimwe kwa mienendo yake mbalimbali ya vitendo, kauli na ukweli ndani yake. Anayoyanadi kwenye mikutano yake ndio aina na mwelekeo wa kiongozi huyo hata akipata madaraka. Kiongozi muongo ni dhahili anatia doa na hofu ya uwezo wake kwenye nafasi hii inayomtaka mtu mchamungu na mkweli sana.

Lissu kwenye mikutano yake amekuwa akilaani vikali na kupinga kitendo cha Serikali kununua ndege kwa kuhoji faida ya ndege hizo. Baada ya kauli yake hiyo anayoitaja kila mahali na kuifanya kama ajenda yake nilitarajia na kutegemea kwamba Lissu angetumia magari kote huko apitako kwasababu ndege hazina faida lakini cha ajabu nimeshangazwa na kumuona Lissu huyuhuyu anayeponda na kupinga ununuzi wa ndege kumuona na yeye akipanda ndege hizo. Hii inatoa picha na somo kwa Watanzania juu ya aina ya Ndugu Lissu.

Kwenye mikutano ndege hazina faida lakini baada ya mkutano anapanda hizohizo. Huu ni unafiki kwa mtu anayetaka cheo cha ngazi kubwa kama ya Urais.

Lissu akiwa Shinyanga alinukuliwa akisema yeye akiwa Rais ataruhusu wafugaji kufugia kwenye hifadhi zetu za wanyama bila bughudha yeyote ile. Sasa jaman Watanzania wenzangu tujiulize kidogo hivi mbuga za wanyama zinazotuingia Mabillion ya pesa na kuwa Sekta ya pili kwa kuchangia pato la Taifa Lissu anasema ataiharibu na kwa kuwaruhusu wafugaji na watu kufanya wanachokitaka. Hii mlisikia wapi?

Hapo hujazungumzia huruma ambayo amekuwa akiitia kwa Watanzania kila siku kwa tukio lake la kupigwa risasi. Yan leo Lissu aende Ikulu kwasababu ya risasi alizopigwa. Wakati Watanzania wakitaka kusikia Sera zinazogusa maisha yao kwenye maji, elimu, barabara, afya na ustawi wao yeye stori na Sera kwa Watanzania ni risasi. Yani hii ndo Sera kuu ya Lissu. Yaani dhamana nyeti kama ya Urais mtu achaguliwe kwasababu ya Sera ya kupigwa risasi. Yani tutakuwa nchi ya ajabu sana duniani.

Zaidi Lissu ameendelea kuwakanyaga wamachinga na wajasiriamali wadogo kwa kudanganya sana. Jana pale Dodoma Lissu alipinga hadharani utaratibu wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo. Hivi kwenye nchi hii nani asiyejua namna wamachinga walivyosumbuliwa kila mahali nchi nzima kwa kutozwa makodi ya ajabu ajabu na kufukuzwa kila mahali.

Utaratibu wa kuwalinda watu hawa ili wafanye biashara zao bila bughudha na mtu yoyote kwa kuwapatia vitambulisho maalum na kulipa elfu 20 tu kwa mwaka badala ya hela walizokuwa wanatozwa kila siku Leo Lissu anaponda. Tunaweza kuwa tofauti kwenye itikadi na imani zetu kisiasa lakini linapokuja suala linalogusa maisha na maslahi ya watu siasa ni lazima ijitenge na uhalisia.

Uongozi ni dhamana na matendo na mienendo mizuri sasa ukiona mtu anayeomba Urais anakuwa na tabia za namna hii kwakweli inashangaza na kutia wasiwasi sana. Watanzania mnalo jukumu la kwenda kufanya maamuzi Oktoba 28.
Jambo zuri ni kuwa taasisi inayotafutwa kuundwa inapata mamlaka kutoka kwa wananchi,wapiga kura na sii kutoka kutoka kwa mkereketwa au mfurukutwa wa chama Fulani,tusubiri muda bado na muda ni mwalimu.
 
Na huyo anayejiita KICHAA aliyeifanya Tanzania idharauliwe na majirani zetu na nchi nyingi duniani ndiye anastahili siyo? Ndiyo wale wale MAZWAZWA wa lumumba.



Tundu Lissu ni moja ya wagombea wanaoendelea kujinadi maeneo mbalimbali kwa Watanzania akitaka achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Namfuatilia sana Ndugu Lissu kwenye kila mikutano yake anayonadi Sera zake lakini sidhani kama kwa kiwango cha nafasi ya Urais anachokitaka kinaendana na kariba yake, hadhi ya cheo chenyewe cha Urais kama taasisi ya heshima kubwa kabisa.

Kiongozi wa nafasi kubwa kama ya Rais ni lazima apimwe kwa mienendo yake mbalimbali ya vitendo, kauli na ukweli ndani yake. Anayoyanadi kwenye mikutano yake ndio aina na mwelekeo wa kiongozi huyo hata akipata madaraka. Kiongozi muongo ni dhahili anatia doa na hofu ya uwezo wake kwenye nafasi hii inayomtaka mtu mchamungu na mkweli sana.

Lissu kwenye mikutano yake amekuwa akilaani vikali na kupinga kitendo cha Serikali kununua ndege kwa kuhoji faida ya ndege hizo. Baada ya kauli yake hiyo anayoitaja kila mahali na kuifanya kama ajenda yake nilitarajia na kutegemea kwamba Lissu angetumia magari kote huko apitako kwasababu ndege hazina faida lakini cha ajabu nimeshangazwa na kumuona Lissu huyuhuyu anayeponda na kupinga ununuzi wa ndege kumuona na yeye akipanda ndege hizo. Hii inatoa picha na somo kwa Watanzania juu ya aina ya Ndugu Lissu.

Kwenye mikutano ndege hazina faida lakini baada ya mkutano anapanda hizohizo. Huu ni unafiki kwa mtu anayetaka cheo cha ngazi kubwa kama ya Urais.

Lissu akiwa Shinyanga alinukuliwa akisema yeye akiwa Rais ataruhusu wafugaji kufugia kwenye hifadhi zetu za wanyama bila bughudha yeyote ile. Sasa jaman Watanzania wenzangu tujiulize kidogo hivi mbuga za wanyama zinazotuingia Mabillion ya pesa na kuwa Sekta ya pili kwa kuchangia pato la Taifa Lissu anasema ataiharibu na kwa kuwaruhusu wafugaji na watu kufanya wanachokitaka. Hii mlisikia wapi?

Hapo hujazungumzia huruma ambayo amekuwa akiitia kwa Watanzania kila siku kwa tukio lake la kupigwa risasi. Yan leo Lissu aende Ikulu kwasababu ya risasi alizopigwa. Wakati Watanzania wakitaka kusikia Sera zinazogusa maisha yao kwenye maji, elimu, barabara, afya na ustawi wao yeye stori na Sera kwa Watanzania ni risasi. Yani hii ndo Sera kuu ya Lissu. Yaani dhamana nyeti kama ya Urais mtu achaguliwe kwasababu ya Sera ya kupigwa risasi. Yani tutakuwa nchi ya ajabu sana duniani.

Zaidi Lissu ameendelea kuwakanyaga wamachinga na wajasiriamali wadogo kwa kudanganya sana. Jana pale Dodoma Lissu alipinga hadharani utaratibu wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo. Hivi kwenye nchi hii nani asiyejua namna wamachinga walivyosumbuliwa kila mahali nchi nzima kwa kutozwa makodi ya ajabu ajabu na kufukuzwa kila mahali.

Utaratibu wa kuwalinda watu hawa ili wafanye biashara zao bila bughudha na mtu yoyote kwa kuwapatia vitambulisho maalum na kulipa elfu 20 tu kwa mwaka badala ya hela walizokuwa wanatozwa kila siku Leo Lissu anaponda. Tunaweza kuwa tofauti kwenye itikadi na imani zetu kisiasa lakini linapokuja suala linalogusa maisha na maslahi ya watu siasa ni lazima ijitenge na uhalisia.

Uongozi ni dhamana na matendo na mienendo mizuri sasa ukiona mtu anayeomba Urais anakuwa na tabia za namna hii kwakweli inashangaza na kutia wasiwasi sana. Watanzania mnalo jukumu la kwenda kufanya maamuzi Oktoba 28.
 
Back
Top Bottom