Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nyote tunajua namna JK alivyokuwa akihaha kuutafuta urais kwa kutumia watu wa majini na maruhani (mfano Shehe Yahaya). Familia yake yote na washirika wake wote walikuwa wakipambwa na ma-pete makubwa makubwa ya ajabu kwenye vidole vyao. Lengo? Kinga na Urais.
Lakini nijuavyo mimi, mambo haya ya kuabudu sanamu siku zote huwa ni kinyume kabisa na Mungu, na kimsingi hayakubaliki. Ninaona kuna kila dalili kuwa Mungu amechukia. Mungu ameamua kuudhihirisha ukuu wake kuwa hakuna Mungu mwingine zaidi, ila Yeye:
2. Roho ya kumdhibiti akose la kusema hata pale anapotakiwa kusema. Akisema anasema uwongo (mfano kusema haijui Dowans lakini tumetumia umeme wao)
3. Kupiga mabomu wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya Juu
4. Mabomu ya Mbagaraaaaaa
5. Mabomu ya Gongolamboto.
6. Ajali za kutisha za magari.
5. Ujambazi.
6. Kusafisha mafisadi (yaani yeye mwenyewe ndo msafishaji. mwingine nasikia ameanza kuuwinda urais.). Mungu siyo chizi. Hadanganyiki
7. kutuchagulia spika pandikizi
haya yote hayatokei kwa bahati mbaya.
haya yote ni hasira kwa Mungu juu ya Uawala wa huu wa pete na hirizi za majini na maruhani.
Lakini nijuavyo mimi, mambo haya ya kuabudu sanamu siku zote huwa ni kinyume kabisa na Mungu, na kimsingi hayakubaliki. Ninaona kuna kila dalili kuwa Mungu amechukia. Mungu ameamua kuudhihirisha ukuu wake kuwa hakuna Mungu mwingine zaidi, ila Yeye:
- Mauwaji ya Arusha yaliyofanywa na Polisia (Soma Mwanzo 9:6)
2. Roho ya kumdhibiti akose la kusema hata pale anapotakiwa kusema. Akisema anasema uwongo (mfano kusema haijui Dowans lakini tumetumia umeme wao)
3. Kupiga mabomu wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya Juu
4. Mabomu ya Mbagaraaaaaa
5. Mabomu ya Gongolamboto.
6. Ajali za kutisha za magari.
5. Ujambazi.
6. Kusafisha mafisadi (yaani yeye mwenyewe ndo msafishaji. mwingine nasikia ameanza kuuwinda urais.). Mungu siyo chizi. Hadanganyiki
7. kutuchagulia spika pandikizi
haya yote hayatokei kwa bahati mbaya.
haya yote ni hasira kwa Mungu juu ya Uawala wa huu wa pete na hirizi za majini na maruhani.