Kawe Alumni JF-Expert Member Mar 20, 2019 8,685 11,988 Jun 12, 2020 #2 Karibu msigwa tunataka ufunike ile hotuba ya Facebook Mtu anataka Urais anahutubia dkk 30 tu km sio utani ni nini
Karibu msigwa tunataka ufunike ile hotuba ya Facebook Mtu anataka Urais anahutubia dkk 30 tu km sio utani ni nini
dimaa JF-Expert Member Jul 30, 2016 4,012 5,429 Jun 12, 2020 #3 Na yeye itakuwa ni live ama kimtandao zaidi?
NAWATAFUNA JF-Expert Member Nov 14, 2019 13,286 24,001 Jun 12, 2020 #4 Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana.
park don JF-Expert Member Dec 2, 2017 4,918 7,022 Jun 12, 2020 #5 Embu nivute picha msingwa ndo kawa raisi...
park don JF-Expert Member Dec 2, 2017 4,918 7,022 Jun 12, 2020 #6 Embu nivute picha msingwa ndo kawa raisi...
Maige Chagu JF-Expert Member Sep 22, 2018 236 241 Jun 12, 2020 #7 chadema kila mtu ni msemaji wa chama, mwachieni hiyo kazi tumaini makene,kama hatoshi mtoeni
Abul Aaliyah JF-Expert Member Nov 8, 2016 7,309 5,538 Jun 12, 2020 #8 Ww yule co lofa kama ww NAWATAFUNA said: Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana. Click to expand...
Ww yule co lofa kama ww NAWATAFUNA said: Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana. Click to expand...
Kimbunga Platinum Member Oct 4, 2007 14,941 9,947 Jun 13, 2020 #9 NAWATAFUNA said: Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana. Click to expand... Kwani hajasajili kanisa?
NAWATAFUNA said: Msigwa baada ya uchaguzi aanzishe biashara ya juice ya miwa,yote maisha bwana. Click to expand... Kwani hajasajili kanisa?