kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,945
- 15,732
Kwanini tu isiwe Lowassa atosha!
Ata tukilia machozi ya damu JPM anatosha.tulisha kenua sana kwa vicheko.Kwanini tu isiwe Lowassa atosha!
Unamwitaji WEWE PEKE YAKONiwazi kuwa kuna watu watatoka mapovu kwa ushauri huu, lakini hakuna jinsi dawa hata kama ni chungu ili tupone hatuna budi kuimeza, ukweli ni kwamba mh B C Membe ni mwanadiplomasia aliye bobea sana katika nchi yetu , ni kiongozi anayeweza kurudisha heshima yetu kama watanzania katika sura yake ile ya zamani.
Kulingana na hali ilivyo na hakuna asiyejua kuwa wananchi wana mhitaji MTU atakaye waletea faraja na kuwafuta machozi ambayo kila mmoja Amelia kwa njia zake wengine sasa imebaki na michirizi mashavuni mwao huku wakiwa wamekata tamaa kwani haijui hatma ya kesho yao, bomoa bomoa imeliza wengi , wanafunzi katika vyuo vikuu wamebaguliwa kwenye mikopo, ajira imekuwa nikilio kisicho koma kila kukicha, wakulima ndo usiseme hawajui hatma yao nini ukianzia kwenye pembejeo hadi kwenye masoko kwao ni giza tu, wafugaji hawana maskani katika nchi yao kila wanapo hamia kwa ajili ya kulisha mifugo wanaonekana kuwa maadui wanafukuzwa wamebaki kutanga tanga ndani ya nchi yao,wavuvi ndo usiseme nyavu zimechomwa kwa kile kinacho itwa nyavu haramu bila ya kuonyesha mkakati wa kuzileta hizo nyavu bora, wafanyakazi wamesha nyanyaswa mpaka basi, mishahara haipandi , madaraja hawapandishwi, wafanya biashara ndo usiseme wamebanwa na mfumo wa kodi usio kuwa rafiki na biashara zao. Yapo mengi sana.
Na ndio maana mwanadiplomasia makini kama Membe ana hitajika, awe ndani ya CCM au hata nje ya CCM , umefika muda muafaka sasa jitokeze 2020 watanzania wakupe kura za kutosha na bado nasema Membe unatosha sasa kuingia ndani ya gari letu ,funga mkanda, shika usukani, washa gari safari mpya ianzwe.
Lowasa awe kampeini meneja wakeKwanini tu isiwe Lowassa atosha!
hivyo awamu ijayo raisi atagombea tena.
Wewe si ni wa Chato?? Chato baby!! 1
ila walijisemea watu wafupi ni matatizo, prezidaa anawakilisha short pipo, hajiamini anataka tutambue yeye ndo yeye