Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,212
Hawa ambao hawapo kwenye system hawajui kitu kabisahuyo tena yatakuwa mambo ni yaleyele ya uswahili wa JK.inabidi akitoka huyu aingie mwingine tena ambaye hayupo kwenye system tena kama Baba Jesca.