Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?

Pasco, mimi nakoma na vijana wa Chadema wakimkomalia mtu hadi utamwonea Huruma..Dr. Slaa amekuwa kikataa kugombea toka mwaka 2010 muda wote alikuwa akisema hatagombea, CCM wakauvaa wakidhani Mbowe wakarusha madongo sana tu mara walotegemea hayakuwa..Wakati wa uchaguzi Dr.Slaa yeye mwenyewe alisema ni rais wa awamu moja tu, na baada ya uchaguzi kasema hayo alosema ukayasikia wewe tu, lakini yote haya nakuhakikishia hakuna ukweli wowote. Anaweza fanya lolote kinyume maana sii kiapo bali tactics za kisiasa

Alisema hatagombea, akagombea angekuwa Zitto nchi nzima ingekuwa kiza kwa laana ambazo angezipata..jamani mweee.. Huu ni wakati muafaka wa wanaChadema kujitambua wao wamesimama wapi na kuna hatari gani za kisiasa ambazo nina hakika watakisambaratisha chama wenyewe kama ilivyokuwa kwa NCCR, CUF na sasa Chadema bila mkono wa CCM direct.. CCM anajua sana kuvimaliza vyama na Chadema iko hatarini kifupi naanza kuhofia kama itafika mwaka 2015 wakiwa pamoja..
Mkuu Mkandara, baada ya kuongea na Dr. Slaa, nilimwelewa vizuri sana ndio maana nawashauri watu humu, wasimbeze Zitto!.

Nyerere hakumtaka Mwinyi, alimtaka Dr. Salim!, Mwinyi akaambiwa tutakutaja halafu wewe ukatae, ili kumpisha Dr. Salim!. Mwinyi alipokuwa nominated, hapo hapo wabaya wa Salim, wakamshika sikio, usikubali kukataa!, Mwinyi aliposimama, akakubali!.

Wakati wa Ben Mkapa, Boys II Men ndio waliokuwa most favourate!. Ben akaambiwa na wewe nenda kachukue fomu!. Ben kwa kujipima na maarufu wale, akajiona hawezi!, akalazimishwa na fomu alaletewa!.

Nadhani hiyo ni spirit ya Dr. kuwa kugombea urais, mpaka uombwe ubebelezwe!. Huu ni ule mtindo wa aibu za kimila za Mwanamke wa Kitanzania, hata apende vipi, hawezi ku advance mpaka kwanza atongoz... na kujifanya kukataa ndipo hatimaye hukubali!.

Siasa za mtu kusubiri kutongo... zimepitwa na wakati!. Sasa ni siasa za ukweli, unajipima, unajiona unaweza, sifa unazo, uwezo unao, vigezo unavyo!, why not try!.

Umasikini mkumbwa wa Watanzania ni kukosa moyo wa kujaribu "darring heart", people don't dare!, zinatangazwa kazi internationa post, mijitu inasifa, haiombi!, tunaendelea kugawana umasikini wetu!. Wakijitokeza wenye sifa, tunawakatika tamaa!. Lipumba ndie mgombea wa kudumu wa CUF kwa urais wa muungano na Maalim Seif, urais wa Zanzibar!. Jee Chadema nayo, inataka kutengeneza wagombea wa kudumu?!.
 
huu ndio upuuzi tusioutaka humu ndan...wewe peke yako ndio unajua ukweli juu ya dr slaa na hutaki kuusema hapa na wakati huo huo unasema kwa kuwa unaujua ukweli wa dr slaa juu ya hatima ya urais basi tumsapot zitto bila kutwambia hicho unachokijua juu ya dr slaa!!!!......sasa kwa nini umeleta uzi huu hapa? unataka kutuaminisha nini?.....halafu usinikumbush kabisa siku ya mazishi ya regia mtema maana uliharibu kaburi lake kwa kupanda juu eti ukitafuta kupiga picha kama dr slaa atashikana na mkono na kikwete wakati wa kusalmiana.....

wewe ulishasema kuwa uko kwenye Eliairline na juzi hapa membe aliosema ana maadui 11 na watahamia kenya 2016 kama ataoteshwa na wewe ulionekana kumuunga mkono kama ataoteshwa...sasa unakuja na matango pori tena juu ya zitto......huyu zitto tunamdai video aliyosema ataweka humu tangu jana..sasa na wewe usitichanganyie habari sisi...wewe na ramadhani semtawa mko kundi moja!!!

Ukweli ni kwamba Pasco anacheza karata zake.... we can take his comments or ignore them

sometimes anakua spot on na sometimes anakua kama anaitafuta mecca ipinda-kyela

his struggle to remain neutral is evident and there is nothing we can do, ndio ugali na samaki wake vimo humo
 
Mkuu Mkandara, baada ya kuongea na Dr. Slaa, nilimwelewa vizuri sana ndio maana nawashauri watu humu, wasimbeze Zitto!.

Nyerere hakumtaka Mwinyi, alimtaka Dr. Salim!, Mwinyi akaambiwa tutakutaja halafu wewe ukatae, ili kumpisha Dr. Salim!. Mwinyi alipokuwa nominated, hapo hapo wabaya wa Salim, wakamshika sikio, usikubali kukataa!, Mwinyi aliposimama, akakubali!.

Wakati wa Ben Mkapa, Boys II Men ndio waliokuwa most favourate!. Ben akaambiwa na wewe nenda kachukue fomu!. Ben kwa kujipima na maarufu wale, akajiona hawezi!, akalazimishwa na fomu alaletewa!.

Nadhani hiyo ni spirit ya Dr. kuwa kugombea urais, mpaka uombwe ubebelezwe!. Huu ni ule mtindo wa aibu za kimila za Mwanamke wa Kitanzania, hata apende vipi, hawezi ku advance mpaka kwanza atongoz... na kujifanya kukataa ndipo hatimaye hukubali!.

Siasa za mtu kusubiri kutongo... zimepitwa na wakati!. Sasa ni siasa za ukweli, unajipima, unajiona unaweza, sifa unazo, uwezo unao, vigezo unavyo!, why not try!.

Umasikini mkumbwa wa Watanzania ni kukosa moyo wa kujaribu "darring heart", people don't dare!, zinatangazwa kazi internationa post, mijitu inasifa, haiombi!, tunaendelea kugawana umasikini wetu!. Wakijitokeza wenye sifa, tunawakatika tamaa!. Lipumba ndie mgombea wa kudumu wa CUF kwa urais wa muungano na Maalim Seif, urais wa Zanzibar!. Jee Chadema nayo, inataka kutengeneza wagombea wa kudumu?!.
Nakukubali sana na ndio maana nilisema sisi miezi mitatu ya uchaguzi ni muhimu sana kuliko miaka 10 ya rais kutawala na ndio maana tunafanya mchezo na kuwaanda viongozi wetu. Toka Mwinyi hadi JK nchi inazidi kudidimia kama vile tunaenda kaburini. Miaka ya Nyerere tulikuwa na tumaini hata Olimpiki leo tunapeleka watu sijui watatu kusindikiza umoja wa michezo na kujirusha.

Simdharau Zitto na wala sina sababu ya kumdharau mtu yeyote isipokuwa sababu zinazomwingiza mtu huyo ktk kinyanganyiro cha Urais..Zitto has to learn more of Politics, itikadi, sera na kadhalika maana understanding politics (siasa) ndio hutoa leadership, ownership, watu wenye vision, what they wonna create tofauti na interlectual thinking japokuwa ni critical lakini hutazama zaidi problem-solving capabilities na sio Leadership. Elimu ni ktk vitu unavyoviona machoni, kusikia, kuvihisi na kuvigusa, siasa ni leadership ni vision ambayo hutazama hata vitu visivyooneka ktk hisia zetu zote..
Ufikapo 2014 nitakwambia nani anaweza kushinda Uchaguzi 2015 lakini up to now sioni mtu kutoka Chadema baada ya kupoteza 2010..Ningesema Dr.Slaa lakini Umri kidogo unanipa wasiwasi na kama atasafishwa laa sivyo Chadema wana kazi kubwa sana..Leo mkuu angu swaumu imebana.... huku majuu hadi saa tatu usiku sii mchezo.. napumzika kwa leo.
 
Siku zote tunacheza miziki ya wana siasa.
Uislam na ukristo sasa ni sehemu ya siasa kwa sababu wametuaminisha wao.
Ukabila ni sehemu ya siasa pia. Mi sioni tunakoelekea. Ninachokiona ni CCM kushinda tena na kuwanunua wabunge wetu wa upinzani dhaifu kuharibu upinzani.
Naamini CCM itaondolewa pale tu watanzania watakapoamua kushughulikia matatizo yao na kuacha kulalamika.
Tunalalamikia waislam mbona tunakaa nao jirani.
Wakristo wabaya mbona ni ndugu zetu.
Wakaskazini wanatamaa mbona mmeooana nao, wengine marafiki zenu.
Serikali ohh, serikali ahh, mbona ni sisi tunaohusika katika huo wizi na tunaubariki halafu tunakuja kulalamika.
Hizo ten percent hawali mawaziri peke yao, na sie tumo. Tunakuja kupiga kelele humu.
Sheria ya mafao iko hewani tangu mwezi wa nne, tumekuja kulalamika wakati imeanza kutekelezwa.
Wanachadema wapo, watapiga kura kumchagua mgombea urais wanaemtaka, si wasimpe tu huyo Zito kuliko kusema hafai na wakaishia kumpigia.
Tumekuwa watumwa wa maslahi ya watu kwa muda mrefu, wanajua namna ya kutuzoesha hizo ladha na kwa kuogopa kubaki pekee tunaungana na mawazo yasiyo sahihi.
Wazanzibari waliaminishwa urais ni zamu zamu sasa hawaoni dalili ya kukumbukwa wanataka Zanzibar yao kwa visingizio vingi, wakati hili ndilo linawaumiza.
Tufikie wakati wakujua thamani yetu. Utu wetu ni wa thamani sana na ukiweza kusimamia utu wako na yule mdogo asiyeelewa wewe ni shujaa.
 
Mkuu wangu haya yatakuwa makosa makubwa sana kwa Chadema kumsimamisha mtu kwa sababu ya uuwiano na mawazo finyu ya watanzania ktk Udini.. Kama CCM huwasimamisha marais wake kwa kufuata utaratibu wa dini - Mktistu kisha Muislaam kwa kila miaka sijui 10 basi siku Chadema nao wakiiga ujinga huu najitoa mapema kwa sababu hatumhitaji rais anayeongoza makundi ya dini. Maadam nchi yetu haina dini ina maana haitamtambua kiongozi na viongozi wetu kwa dini zao.. Hii haikubaliki kabisa isipokuwa nachoweza kusema ni kwamba ili kuondoa dhana ya Udini ndani ya Chadema, viongozi wa Chadema na wanachama wake wanatakiwa kujihadhari sana na mamlaka wanayowakabidhi watu hasa kwa kuzingatia hofu ya watu ktk Ukaskazini na Udini.. Utaweza tu kupiga vita Udini na Ukaskazini kwa kuupiga vita Udini na Ukabila lakini sio kuuwezesha upande mwingine..

Kuna msemo mmoja kuhusu Empowering women usemao kwamba huwezi kumpa mwanamke silaha ya kumuumiza mwanamme as empowering women pia wala sii kumwondolea mwanamme fursa na nafasi alokuwa nazo mwanamme ashuke kama mwanamke isipokuwa kinachotakiwa ni kupokea fikra na mawazo ya wanawake yakaenziwa ili kuwawezesha wanawake wote washiriki sawa ktk maswala yanayohusu maisha yao na jamii kwa ujumla..

Zitto hawezi kuwa ticket ya Waislaam kukipigia kura Chadema, maana chuki yao ni Chadema na sii Zitto. mapenzi yao ni CCM na sii JK maana miaka yote waislaam wamekuwa wapiga kura wazuri sana wa CCM toka enzi za Mwalimu.. Nitasema wazi haijawahi kuttoke mkutano wala sherehe Dar zilzizomwondoa record ya Nyerere ktk mikutano yake yote iwe Karume, uwanja wa Taifa au redioni. Hakuna rais aliyewahi kusikilizwa kwa maanani, kwa mahudhurio makubwa kama Nyerere iwe Dar, Tanga, Kigoma, Songea au Mtwara ama kokote kule nchini..
Mkuu Mkandara, dini ya mtu, kabila la mtu na kanda atakotoka, sio vigezo, bali ni zingatio. Kuna thread niliwahi anzisha humu kuwa "Jee Sumu Ukabila na Udini ni Dhana Tuu ama ni Real?", mode aliipotezea, baada za kuzichambua hizi dhana, jibu likaja its real!, hivyo huu ni ukweli ambao you can't deny!. Nyerere aliweza kwa sababu, Kanzu alivaa, Balaghashia alivaa, Mwezi Mtukufu alifunga, na Mlingotini Bagamoyo, alitinga kufanyiwa Dua!. Lini Mkapa alivaa kanzu na Balaghashia?. Kuna mengi tutabaki tukisema ni Nyerere tuu!, huku ukabila, ukanda na udini ukitutafuna!. Hili la ukanda, ukabila na udini wa Chadema, nimeshalipigia kelele mpaka niliitwa eti nina 'chuki binafsi' dhidi ya Chadema!.
 
dah! naona mmefanikiwa sana kuitoa serikali kwenye kibano ilichokuwa inakipata kwa miezi kadhaa.
haya likisha hili la zitto tuleteeni lingine ili serikali ipate muda zaidi wa kujipanga.
 
Nakukubali sana na ndio maana nilisema sisi miezi mitatu ya uchaguzi ni muhimu sana kuliko miaka 10 ya rais kutawala na ndio maana tunafanya mchezo na kuwaanda viongozi wetu. Toka Mwinyi hadi JK nchi inazidi kudidimia kama vile tunaenda kaburini. Miaka ya Nyerere tulikuwa na tumaini hata Olimpiki leo tunapeleka watu sijui watatu kusindikiza umoja wa michezo na kujirusha.

Simdharau Zitto na wala sina sababu ya kumdharau mtu yeyote isipokuwa sababu zinazomwingiza mtu huyo ktk kinyanganyiro cha Urais..Zitto has to learn more of Politics, itikadi, sera na kadhalika maana understanding politics (siasa) ndio hutoa leadership, ownership, watu wenye vision, what they wonna create tofauti na interlectual thinking japokuwa ni critical lakini hutazama zaidi problem-solving capabilities na sio Leadership. Elimu ni ktk vitu unavyoviona machoni, kusikia, kuvihisi na kuvigusa, siasa ni leadership ni vision ambayo hutazama hata vitu visivyooneka ktk hisia zetu zote..
Ufikapo 2014 nitakwambia nani anaweza kushinda Uchaguzi 2015 lakini up to now sioni mtu kutoka Chadema baada ya kupoteza 2010..Ningesema Dr.Slaa lakini Umri kidogo unanipa wasiwasi na kama atasafishwa laa sivyo Chadema wana kazi kubwa sana..Leo mkuu angu swaumu imebana.... huku majuu hadi saa tatu usiku sii mchezo.. napumzika kwa leo.
Nani amasafishe Slaa mkuu,Zitto?Na uchafu unaouzungumzia wa Dr. Slaa ndo upi mkuu?ni vyema tukajuwa ili mjadala uende accordingly.Ama asafishwe kwamba uze siyo shida?
 
Mkuu Mkandara, dini ya mtu, kabila la mtu na kanda atakotoka, sio vigezo, bali ni zingatio. Kuna thread niliwahi anzisha humu kuwa "Jee Sumu Ukabila na Udini ni Dhana Tuu ama ni Real?", mode aliipotezea, baada za kuzichambua hizi dhana, jibu likaja its real!, hivyo huu ni ukweli ambao you can't deny!. Nyerere aliweza kwa sababu, Kanzu alivaa, Balaghashia alivaa, Mwezi Mtukufu alifunga, na Mlingotini Bagamoyo, alitinga kufanyiwa Dua!. Lini Mkapa alivaa kanzu na Balaghashia?. Kuna mengi tutabaki tukisema ni Nyerere tuu!, huku ukabila, ukanda na udini ukitutafuna!. Hili la ukanda, ukabila na udini wa Chadema, nimeshalipigia kelele mpaka niliitwa eti nina 'chuki binafsi' dhidi ya Chadema!.
Sikatai mkuu wanug kuwepo kwa Udini na Ukabila lakini watu wa leo sii wale wa enzi za Nyerere. Nyerere alifanya vile kwa sababu alikuwa mswahili kweli wala sii mzaha na alizungukwa na waislaam acha hizi habari za kina Moh'd.
Leo hii Zitto hata avae rozali, Dr.Slaa avae kanzu au Mbowe awe na sigda usoni haiwezi kuondoa udini kwa waliobakia ila ndio itachochea zaidi kwa sababu elelwa upande wa pili wanasema kachaguliwa kwa sababu ni Muislaam au Mkristu.. Kwa uchaguzi wa Tanzania haihjawahi kutokea hivyo.. Siku Zitto au kiongozi yeyote akichaguliwa kwa sababu ni Muislaam au Mkristu basi jua hatamaliza hata miaka mitano..
 
Nakukubali sana na ndio maana nilisema sisi miezi mitatu ya uchaguzi ni muhimu sana kuliko miaka 10 ya rais kutawala na ndio maana tunafanya mchezo na kuwaanda viongozi wetu. Toka Mwinyi hadi JK nchi inazidi kudidimia kama vile tunaenda kaburini. Miaka ya Nyerere tulikuwa na tumaini hata Olimpiki leo tunapeleka watu sijui watatu kusindikiza umoja wa michezo na kujirusha.

Simdharau Zitto na wala sina sababu ya kumdharau mtu yeyote isipokuwa sababu zinazomwingiza mtu huyo ktk kinyanganyiro cha Urais..Zitto has to learn more of Politics, itikadi, sera na kadhalika maana understanding politics (siasa) ndio hutoa leadership, ownership, watu wenye vision, what they wonna create tofauti na interlectual thinking japokuwa ni critical lakini hutazama zaidi problem-solving capabilities na sio Leadership. Elimu ni ktk vitu unavyoviona machoni na kuvigusa, siasa ni leadership na vision ambayo hutazama hata vitu visivyooneka machoni..
Ufikapo 2014 nitakwambia nani anaweza kushinda Uchaguzi 2015 lakini up to now sioni mtu kutoka Chadema baada ya kupoteza 2010..Ningesema Dr.Slaa lakini Umri kidogo unanipa wasiwasi na kama atasafishwa laa sivyo Chadema wana kazi kubwa sana..Leo mkuu angu swaumu imebana.... huku majuu hadi saa tatu usiku sii mchezo.. napumzika kwa leo.
Asante Mkuu Mkandara, hongera kufunga ukiwa nchi za watu. Nakutakia Ramadhan Karim, hata mimi nadhani sina muda mrefu, inaelekea usiku wa manane!. Ila hili la kutoona mtu Chadema mpaka 2014!, huu ndio moja ya madhaifu makubwa ya chama chenu!, leaders wanakuwa groomed na sio wajitokeze kama uyoga!. Kwenye critics zangu nyingi kwenu, nawaambia ummerelax sana as if 2015 ni mbali!. Kama kumjua serious contender ni mpaka 2014, Im afraid to say, sorry, it will be too little too late!, anza kumfikiria Zitto now!.
 
Nani amasafishe Slaa mkuu,Zitto?Na uchafu unaouzungumzia wa Dr. Slaa ndo upi mkuu?ni vyema tukajuwa ili mjadala uende accordingly.Ama asafishwe kwamba uze siyo shida?
Imenibidi nirudi kuzungumzia ya Dr.Slaa.. Jmushi1.. Dr.Slaa mwenyewe anajua vizuri jinsi alivyoharibiwa jina lake wakati wa uchaguzi. He admits, nimewahi kumsikia kwa mdomo wake akisema na kukubali kuchafuliwa - iliniuma sana lakini ndivyo ilivyo. CCM walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kumharibia jina lake na halijawahi kusafishwa... He knows, so is everyone at all level ya CDM leadership na marafiki zake.
 
Nani amasafishe Slaa mkuu,Zitto?Na uchafu unaouzungumzia wa Dr. Slaa ndo upi mkuu?ni vyema tukajuwa ili mjadala uende accordingly.Ama asafishwe kwamba uze siyo shida?
Mkuu J. Mushi, nilikutahadharisha na waumini wanao abudi watu bila kujijua!. For tha sake ya time hizi, ni usiku wa manane, mwache Mkandara akafuturu na kuunganishia na daku yake, kama unampango wa kulala saa hizi, ili ulale salama na kwa amani, ukizingatia na hilo jina lako!, Mkandara was just jocking, in fact, kiukweli, "Dr ni Malaika"!. Ulale salama na kwa amani!.
 
Asante Mkuu Mkandara, hongera kufunga ukiwa nchi za watu. Nakutakia Ramadhan Karim, hata mimi nadhani sina muda mrefu, inaelekea usiku wa manane!. Ila hili la kutoona mtu Chadema mpaka 2014!, huu ndio moja ya madhaifu makubwa ya chama chenu!, leaders wanakuwa groomed na sio wajitokeze kama uyoga!. Kwenye critics zangu nyingi kwenu, nawaambia ummerelax sana as if 2015 ni mbali!. Kama kumjua serious contender ni mpaka 2014, Im afraid to say, sorry, it will be too little too late!, anza kumfikiria Zitto now!.
Nakubaliana na wewe 100%.. ndio maana naunga mkono vijana wanapojitokeza kupendekeza au mtu kujitokeza na kusema atagombea, inawavuruga CCM akili kulikoni? pia hawatajua nani ni nani..
 
Imenibidi nirudi kuzungumzia ya Dr.Slaa.. Jmushi1.. Dr.Slaa mwenyewe anajua vizuri jinsi alivyoharibiwa jina lake wakati wa uchaguzi. He admits, nimewahi kumsikia kwa mdomo wake akisema na kukubali kuchafuliwa - iliniuma sana lakini ndivyo ilivyo. CCM walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kumharibia jina lake na halijawahi kusafishwa... He knows, so is everyone at all level ya CDM leadership na marafiki zake.
Kama mtu ni msafi, hata akichafuliwa vipi, hachafuki!. Please mwambie Mushi you were just jocking ili alale kwa amani!, kauli kama hizi, zinaweza kabisa kuwakatisha waumini usingizi wao!, hiyo futari sasa itageuka daku!.
 
Mkuu J. Mushi, nilikutahadharisha na waumini wanao abudi watu bila kujijua!. For tha sake ya time hizi, ni usiku wa manane, mwache Mkandara akafuturu na kuunganishia na daku yake, kama unampango wa kulala saa hizi, ili ulale salama na kwa amani, ukizingatia na hilo jina lako!, Mkandara was just jocking, in fact, kiukweli, "Dr ni Malaika"!. Ulale salama na kwa amani!.

Unaanza kunitia wasiwasi mkuu Pasco,mimi huwa sina disclaimer kama ile yako ya Pasco vs Paschall,mkuu mimi ni huru kabisa,so wasiwasi wa usingizi upande huu hakuna mkuu wangu,hopefully kwako ni the same.Mimi si muumini wa chochote zaidi ya freedom and true democracy,sina blah blah FYI.Usiku mwema kama unalala,time zone mapema sana tu.Sleep tight...
 
dah! naona mmefanikiwa sana kuitoa serikali kwenye kibano ilichokuwa inakipata kwa miezi kadhaa.
haya likisha hili la zitto tuleteeni lingine ili serikali ipate muda zaidi wa kujipanga.
Asante sana Gofrey Tajiri, hivi umejuaje kuwa hii ndio kazi yangu ninayolipiwa mshahara?. Hata wakati ule namfagilia EL alikuwa ananilipa!, sasa namfagilia Zitto, ndiye anayenilipa sasa!.
 
Asante Mkuu Mkandara, hongera kufunga ukiwa nchi za watu. Nakutakia Ramadhan Karim, hata mimi nadhani sina muda mrefu, inaelekea usiku wa manane!. Ila hili la kutoona mtu Chadema mpaka 2014!, huu ndio moja ya madhaifu makubwa ya chama chenu!, leaders wanakuwa groomed na sio wajitokeze kama uyoga!. Kwenye critics zangu nyingi kwenu, nawaambia ummerelax sana as if 2015 ni mbali!. Kama kumjua serious contender ni mpaka 2014, Im afraid to say, sorry, it will be too little too late!, anza kumfikiria Zitto now!.
Nilipokuwa nikisoma boarding school,mwezi mtukufu wa ramadhani,afya yangu ilikuwa ikijengeka sana kwasababu ya maakuli bora ya mfungo.Mwezi wa Ramadhani ulikuwa ukifika,ilikuwa furaha hata kwa "makafiri" wenye marafiki wakaribu ambao ni waislam kama ilivyokuwa kwangu.We huwa unadowea daku?
 
Unaanza kunitia wasiwasi mkuu Pasco,mimi huwa sina disclaimer kama ile yako ya Pasco vs Paschall,mkuu mimi ni huru kabisa,so wasiwasi wa usingizi upande huu hakuna mkuu wangu,hopefully kwako ni the same.Mimi si muumini wa chochote zaidi ya freedom and true democracy,sina blah blah FYI.Usiku mwema kama unalala,time zone mapema sana tu.Sleep tight...
Niekuelewa, G9T.
 
Asante sana Gofrey Tajiri, hivi umejuaje kuwa hii ndio kazi yangu ninayolipiwa mshahara?. Hata wakati ule namfagilia EL alikuwa ananilipa!, sasa namfagilia Zitto, ndiye anayenilipa sasa!.

soma tena andiko langu kisha unionyeshe mahali niliposema unalipwa mshahara. inawezekana kazi hiyo unaifanya bila malipo bali kwa msukumo ambao mwenyewe unaamini ni uzalendo. hapo uhitaji kutumwa na mtu wala chombo chochote kile ila nafsi yako tu-
 
Wee bwana Pasco acha hizo. Unataka kuudanganya umma wa JF hapa kuwa eti ulifanya interview na Dr Slaa na akakueleza kuwa anataka kugombea urais. Hicho ndicho unachokisema ili ku-justify support yako kwa power-monger wako Zitto.

Sikiza bwana. Uraisi ni utumishi na utumishi watu hawaombi, bali huombwa - just like ilivyotokea kwa Dr Slaa 2010!
Raisi mtarajiwa anatakiwa awe modest and humble - attributes which Zitto doesnt possess!
Mkuu Tisha-Toto, kama kukutana na kuzungumza na mtu ni interview, then ni kweli, nilitaka kuudanganya umma, na hivi sasa najisikia noma sana!. Na hivyo ndivyo hizo ilivyo nielewa kuhusu Dr'!. Naungana na wewe kumsubiria huyo wa kuombwa!.
 
Back
Top Bottom