Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
tundu lissu ni mropokaji na ana jazba,hana subira wala uvumilivu.abaki tu na hiyo nafasi ya mwanasheria wa chama,urais wapewe nafasi wengine.
Toka JK achukue nchi hii basi Urais wa Tanzania umeonekana kama kazi ya reception ya gest.
tundu lissu kumlinganisha na zitto ni sawa na kumdhalilisha mkuu, tundu lissu amekomaa kisiasa na anaweza kujenga hoja za kiutuuzima pia.Sio zitto anasumbuliwa na unafiki, tamaa na usaliti mkubwa.
wewe na shibuda hakuna tofauti,labda sura tu
Rais wangu JK angalia sasa ulivyoshuhsa hadhi ya taasisi ya RAIS, tangu ulipoingia madarakani watu wamefikia kuona kumbe yeyote anaweza kuwa rais.Hakika umetia doa taasisi hii nyeti, watu badala ya kupangiana wizara za kuongoza wanasema URAIS.Je ni kweli hiii????????????????????????
Siku hizi nani awe rais nimekuta mpaka mtoto wa darasa la tatu analitafakari, tena anajua kabisa kama JK ni rais dhaifu lol!!!! Kweli hii post imeshuka tangu tulipoanza kusikia rais wa Twanga, mara rais wa Ngwasuma khaaaa kisa Mndenge naye kaongozaaaaa kweli shanga kwake kiunoni ikifika shingoni mkufu
Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
ni kweli kila mtu anamjua tundu ni mtu wa aina gani,ila tatizo kil mtu na mtazamo wale,wengine wanona ni mbaya sababu anawaeleza ukweli wa tz.mfano mzuri ni wewe hapo,Uchungu wa rasilimali Za nchi upi unaosema. Thibitisha.
Kwa kuwa Tundu lisu Ni Mwanasheria tulitegemea awe makini Katika kuongea lakini si hivyo Bali anaongozwa na hulka Yake anayoionyesha ambayo kila anayemsikiliza akiongea anamtambua kuwa Ni mtu aw namna gani
most definitelyKuliko walioko madarakani kwa sasa?
kwanini tusimchague le mutuz...atakua anatualika ikulu na kina wema sepetu tunakula bbq na kitimoto