Uchaguzi wa 2015 C.C.M ni kama wanasema ushindi ni lazima kwa njia yoyote ile ili kuendelea kutawala.Makundi ndani ya C.C.M ni changamoto kubwa kwake kuendelea kubaki madarakani au kukabidhi nchi kwa upinzani hususani CHADEMA.
Kwa hali inayoendelea ndan ya C.C.M changamoto ya ndani ya chama na makundi yanayopambana kuanzia ngazi ya chini mpaka ndani ya baraza la mawaziri kiasi kwamba Mwenyekiti anajaribu kupunguza nguvu za makundi kwa kuanzia kumfunga mdomo Nape kuhusiana na swala la kuvua GAMBA ni katika kujaribu kutuliza au kupunguza hasira na mipango haramu dhidi ya wanachama wasio na upande katika swala la URAIS mwaka 2015.
MIPANGO YA MWENYEKITI KWANZA KUPUNGUZA NGUVU YA MAKUNDI AMA WOTE KUWA KITU KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI.LAKINI MWENYEKITI ANA KETE MOJA YA JINSIA HII NI MUHIMU BILA KUJALI UWEPO WA MAKUNDI NDANI YA C.C.M MAMA ASHA ROSE MIGIRO ANAKUWA MTU MUHIMU BILA HATA KUJALI NGUVU YA CHADEMA.MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA NDIO KAULI MBIU 2015.
SWALA LANGU HAPA NI UDHAIFU WA BARAZA LA WANAWAKE CHADEMA (BAWACHA) SIJUI WANAFAIDA GANI NDANI YA CHADEMA AU NI KWA AJILI YA UBUNGE WA VITI MAALUMU HILI NI LAZIMA UONGOZI WA C.D.M ULIFANYIE KAZI AU KUUONDOA UONGOZI WOTE KWA MASLAH MAPANA YA CHADEMA BILA KUANGALIANA USONI KWANI WAPIGAKURA WENGI WA TANZANIA NI WANAWAKE.
TUNAHITAJI BAWACHA ISIMAME KAMA BARAZA NDANI YA C.D.M LIFANYE KAZI YA KUWAUNGANISHA WANAWAKE WAWE NA MWAMKO WA KUIUNGA MKONO CDM.MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA VIONGOZI CHADEMA LIANGALIENI HILI KWA MASLAH YA CHAMA.
Kwa hali inayoendelea ndan ya C.C.M changamoto ya ndani ya chama na makundi yanayopambana kuanzia ngazi ya chini mpaka ndani ya baraza la mawaziri kiasi kwamba Mwenyekiti anajaribu kupunguza nguvu za makundi kwa kuanzia kumfunga mdomo Nape kuhusiana na swala la kuvua GAMBA ni katika kujaribu kutuliza au kupunguza hasira na mipango haramu dhidi ya wanachama wasio na upande katika swala la URAIS mwaka 2015.
MIPANGO YA MWENYEKITI KWANZA KUPUNGUZA NGUVU YA MAKUNDI AMA WOTE KUWA KITU KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI.LAKINI MWENYEKITI ANA KETE MOJA YA JINSIA HII NI MUHIMU BILA KUJALI UWEPO WA MAKUNDI NDANI YA C.C.M MAMA ASHA ROSE MIGIRO ANAKUWA MTU MUHIMU BILA HATA KUJALI NGUVU YA CHADEMA.MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA NDIO KAULI MBIU 2015.
SWALA LANGU HAPA NI UDHAIFU WA BARAZA LA WANAWAKE CHADEMA (BAWACHA) SIJUI WANAFAIDA GANI NDANI YA CHADEMA AU NI KWA AJILI YA UBUNGE WA VITI MAALUMU HILI NI LAZIMA UONGOZI WA C.D.M ULIFANYIE KAZI AU KUUONDOA UONGOZI WOTE KWA MASLAH MAPANA YA CHADEMA BILA KUANGALIANA USONI KWANI WAPIGAKURA WENGI WA TANZANIA NI WANAWAKE.
TUNAHITAJI BAWACHA ISIMAME KAMA BARAZA NDANI YA C.D.M LIFANYE KAZI YA KUWAUNGANISHA WANAWAKE WAWE NA MWAMKO WA KUIUNGA MKONO CDM.MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA VIONGOZI CHADEMA LIANGALIENI HILI KWA MASLAH YA CHAMA.