Uraibu wa Kamari: Soma kisa hiki alafu jiweke nafasi mzazi wa huyo binti. Ungefanya nini?

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,997
Bi Wadsworth, mwenye umri wa miaka 65, ambaye ndiyo mama yake alidai kuwa ilimbidi auze nyumba ya familia ili ampe fedha ya kulipa madeni ya kamari ingawa hakuyalipa mpaka alipojiua.

"Hakulipa deni hata moja bali aliendelea kucheza kwa muda wa wiki mbili mfululizo hivyo nikabaki bila mahali pa kuishi" alieleza bi.Wadsworth
Kama mwanao kaganya hivyo ungechukua hatua gani?
Ungeuza nyumba ili umlipie madeni yake? Au ungeacha ajiue tu kama alishapanga? Uhai haununuliki lakini binafsi ni mtihani usio na majibu

Nimekiona BBC Swahili
Full story 👇👇
---

Uraibu wa Kamari: Namna gani unaweza kupambana na uraibu wa kamari


Mama mmoja nchini Uingereza alipoteza mtoto wake kwa sababu ya kamari mara baada mtoto huyo kucheza kamari ya kiasi cha fedha cha paundi 36,000 ambayo ni sawa na dola 45,000 .

Kimberley Wadsworth aliamua kujiua mara baada ya kumaliza fedha zote katika mchezo wa kamari.

Binti huyo alimuomba mama yake fedha za kulipa madeni yake katika mchezo huo lakini mwisho wa siku fedha zote alizichezea tena kamari na kumuacha mama yake bila sehemu ya kuishi.

Kimberley ambaye alikuwa na umri wa miaka 32,alianza kucheza kamari katika sehemu za starehe na kwenye mitandao mnamo mwaka 2015.

Alianza kupata uraibu wa kamari baada ya kupata sonona mara baada ya kifo cha baba yake na kuwa na ndoa isiyokuwa na furaha.

Mtoto huyo alijaribu kumficha mama yake juu ya hali yake ya sonona.

Binti huyo alitumia zaidi ya paundi 44,000 katika kamari pamoja na paundi 17,000 kutoka katika urithi wa bibi yake .

Bi Wadsworth, mwenye umri wa miaka 65, ambaye ndiyo mama yake alidai kuwa ilimbidi auze nyumba ya familia ili ampe fedha ya kulipa madeni ya kamari ingawa hakuyalipa mpaka alipojiua.

"Hakulipa deni hata moja bali aliendelea kucheza kwa muda wa wiki mbili mfululizo hivyo nikabaki bila mahali pa kuishi" alieleza bi.Wadsworth .

Mama huyo anasema kwamba alijaribu kumtafutia mtaalamu wa afya ya akili ili aweze kupata msaada wa tatizo la uraibu wa kucheza kamari lakini hakwenda.

Badala yake aliandika ujumbe " tumechelewa sana mama" kabla hajajiua.

Bi.Wadsworth alisema kuwa kama msaada ungetolewa mapema zaidi basi mtoto wake angekuwa hai bado.

"Kuna wataalamu ambao wanajua namna ya kukabiliana na watu ambao wana uraibu wa kucheza kamari na wanajua dalili za mtu ambaye ameanza kupata tatizo hilo".

"Wataalamu wanajua dalili za watu wenye uraibu wa kamari lakini wanaficha , Wanaendelea kutudanganya kuwa si rahisi kuacha," Wadsworth alisema.

Kuna watu ambao wanapata uraibu kwa kiwango kikubwa sana mpaka kuhatarisha maisha yao kwa kujiua.

Watu wapatao 340,000 nchini Uingereza wana tatizo kubwa la uraibu wa kamari kwa muhimu wa tume ya mchezo wa kamari.

Vituo kadhaa vya afya vimeanzishwa nchini humo ili kuwasaidia watu walioathirika na tatizo la kamari."

Uraibu wa kucheza kamari huwa unaongezeka kadri mtu anapozidi kupata fedha nyingi.

Kijana mmoja kwa jina la Chris Murphy,alianza kupata uraibu alipopata paundi 350 akiwa na umri wa miaka 17.

Tangu wakati huo mpaka alipofika miaka 23, ametumia zaidi ya paundi 100,000 katika kamari

Kijana mwenye miaka miaka 33 na ameweza kujizuia kucheza kamari kwa miezi nane.

Ukiangalia upande wa matatizo ya kiafya, hali yake sio nzuri na anahitaji msaada.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya anasema kwamba, Jambo la muhimu ni kumtaka yeye mwenyewe kupambana kuacha kucheza mchezo huo wa kamari ambao anadhani kuwa hawezi kuacha.

Inawezekana kuacha kucheza kamari ni jambo gumu zaidi ya mtu kuamua kuacha madawa ya kulevya au pombe.

Hakuna ubaya kwa mtu kukubali kuwa anahitaji msaada.

Ni muhimu watu wanaoanza kupata tatizo hili kutafuta msaada mapema kwa sababu madhara au matokeo yake huwa sio mazuri.

Kamari inaweza kumfanya mtu afilisike, kupoteza uhusiano mzuri na wapendwa wake, kupoteza ajira na kupata msongo wa mawazo.
 
Mwingine huyu hapa
IMG-20210525-WA0004.jpg
 
Mamlaka Zisipoingilia Kati... Sijui... Fedha za Nchi zinapotela China... Vituo vya Kamari vimeongezeka kila Kona... Uraibu wa Kamari ni Mbaya kuliko Hata Madawa ya Kulevya... Vijana kwa wazee wanapoteza Fedha kwa kiwango kikubwa.... Nani was Kupaza sauti?? Mungu atusaidie Sana ...!!!
 
Kama mwanao kaganya hivyo ungechukua hatua gani?
Ungeuza nyumba ili umlipie madeni yake? Au ungeacha ajiue tu kama alishapanga? Uhai haununuliki lakini binafsi ni mtihani usio na majibu

Nimekiona BBC Swahili
Full story
---

Uraibu wa Kamari: Namna gani unaweza kupambana na uraibu wa kamari


Mama mmoja nchini Uingereza alipoteza mtoto wake kwa sababu ya kamari mara baada mtoto huyo kucheza kamari ya kiasi cha fedha cha paundi 36,000 ambayo ni sawa na dola 45,000 .

Kimberley Wadsworth aliamua kujiua mara baada ya kumaliza fedha zote katika mchezo wa kamari.

Binti huyo alimuomba mama yake fedha za kulipa madeni yake katika mchezo huo lakini mwisho wa siku fedha zote alizichezea tena kamari na kumuacha mama yake bila sehemu ya kuishi.

Kimberley ambaye alikuwa na umri wa miaka 32,alianza kucheza kamari katika sehemu za starehe na kwenye mitandao mnamo mwaka 2015.

Alianza kupata uraibu wa kamari baada ya kupata sonona mara baada ya kifo cha baba yake na kuwa na ndoa isiyokuwa na furaha.

Mtoto huyo alijaribu kumficha mama yake juu ya hali yake ya sonona.

Binti huyo alitumia zaidi ya paundi 44,000 katika kamari pamoja na paundi 17,000 kutoka katika urithi wa bibi yake .

Bi Wadsworth, mwenye umri wa miaka 65, ambaye ndiyo mama yake alidai kuwa ilimbidi auze nyumba ya familia ili ampe fedha ya kulipa madeni ya kamari ingawa hakuyalipa mpaka alipojiua.

"Hakulipa deni hata moja bali aliendelea kucheza kwa muda wa wiki mbili mfululizo hivyo nikabaki bila mahali pa kuishi" alieleza bi.Wadsworth .

Mama huyo anasema kwamba alijaribu kumtafutia mtaalamu wa afya ya akili ili aweze kupata msaada wa tatizo la uraibu wa kucheza kamari lakini hakwenda.

Badala yake aliandika ujumbe " tumechelewa sana mama" kabla hajajiua.

Bi.Wadsworth alisema kuwa kama msaada ungetolewa mapema zaidi basi mtoto wake angekuwa hai bado.

"Kuna wataalamu ambao wanajua namna ya kukabiliana na watu ambao wana uraibu wa kucheza kamari na wanajua dalili za mtu ambaye ameanza kupata tatizo hilo".

"Wataalamu wanajua dalili za watu wenye uraibu wa kamari lakini wanaficha , Wanaendelea kutudanganya kuwa si rahisi kuacha," Wadsworth alisema.

Kuna watu ambao wanapata uraibu kwa kiwango kikubwa sana mpaka kuhatarisha maisha yao kwa kujiua.

Watu wapatao 340,000 nchini Uingereza wana tatizo kubwa la uraibu wa kamari kwa muhimu wa tume ya mchezo wa kamari.

Vituo kadhaa vya afya vimeanzishwa nchini humo ili kuwasaidia watu walioathirika na tatizo la kamari."

Uraibu wa kucheza kamari huwa unaongezeka kadri mtu anapozidi kupata fedha nyingi.

Kijana mmoja kwa jina la Chris Murphy,alianza kupata uraibu alipopata paundi 350 akiwa na umri wa miaka 17.

Tangu wakati huo mpaka alipofika miaka 23, ametumia zaidi ya paundi 100,000 katika kamari

Kijana mwenye miaka miaka 33 na ameweza kujizuia kucheza kamari kwa miezi nane.

Ukiangalia upande wa matatizo ya kiafya, hali yake sio nzuri na anahitaji msaada.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya anasema kwamba, Jambo la muhimu ni kumtaka yeye mwenyewe kupambana kuacha kucheza mchezo huo wa kamari ambao anadhani kuwa hawezi kuacha.

Inawezekana kuacha kucheza kamari ni jambo gumu zaidi ya mtu kuamua kuacha madawa ya kulevya au pombe.

Hakuna ubaya kwa mtu kukubali kuwa anahitaji msaada.

Ni muhimu watu wanaoanza kupata tatizo hili kutafuta msaada mapema kwa sababu madhara au matokeo yake huwa sio mazuri.

Kamari inaweza kumfanya mtu afilisike, kupoteza uhusiano mzuri na wapendwa wake, kupoteza ajira na kupata msongo wa mawazo.
Kwaiyo tusibet?
 
Hii kitu imenitesa mnoo.. Namshukuru mungu kwa kuweza kuiacha, kifupi nilikuwa teja haswa wa kamari. Kila nikiangalia maisha ya miaka miwili nyuma(hatua niliyofikia) , sijui sasa ningekuwaje.

Alhamdulillah.
Mkuu pombe na kamari bora nini?
 
Hii kitu imenitesa mnoo.. Namshukuru mungu kwa kuweza kuiacha, kifupi nilikuwa teja haswa wa kamari. Kila nikiangalia maisha ya miaka miwili nyuma(hatua niliyofikia) , sijui sasa ningekuwaje.

Alhamdulillah.
Mkuu ukiwa na 500 inawasha,haitaki kukaa mfukoni kabisa
 
Ninabeti huu mwaka wangu wa nne,nimepiga lipu na kupaka rangi nyumba yangu sababu ya beti,navaa vizuri sababu ya beti,nina smartphone sababu ya beti,Wakati naanza beti mke wangu alikuwa ananilaumu Sana lakini siku nilipokuta kitita Cha milioni kadhaa aliniruhusu niendelee kubeti.

Mchezo wa kamari kama beting ni kanuni tu,na ustake kile ambacho utakuwa tayari kukipoteza,kwa wiki huwa natumia shilingi 5000/= kwaajili ya bet ,kwa mwezi ni sh 20,000/= kwangu Mimi kupoteza pesa hiyo sioni shida.

But huwa nacheza jackport tu ya Betpawa ambayo tiketi moja ni sh 100/= nimewahi kupata bonus Mara kadhaa.sasa kwanini niache bet? Bet si ya kila mtu na unapobet usiwe na malengo ya juu (high expectations) kwamba eti lazima ule,utapata presha Bure.

Binafsi kuacha beti ni siku nitaila Ile jackport ya Betpawa ya sh milioni 200
 
Kama mwanao kaganya hivyo ungechukua hatua gani?
Ungeuza nyumba ili umlipie madeni yake? Au ungeacha ajiue tu kama alishapanga? Uhai haununuliki lakini binafsi ni mtihani usio na majibu

Nimekiona BBC Swahili
Full story 👇👇
---

Uraibu wa Kamari: Namna gani unaweza kupambana na uraibu wa kamari


Mama mmoja nchini Uingereza alipoteza mtoto wake kwa sababu ya kamari mara baada mtoto huyo kucheza kamari ya kiasi cha fedha cha paundi 36,000 ambayo ni sawa na dola 45,000 .

Kimberley Wadsworth aliamua kujiua mara baada ya kumaliza fedha zote katika mchezo wa kamari.

Binti huyo alimuomba mama yake fedha za kulipa madeni yake katika mchezo huo lakini mwisho wa siku fedha zote alizichezea tena kamari na kumuacha mama yake bila sehemu ya kuishi.

Kimberley ambaye alikuwa na umri wa miaka 32,alianza kucheza kamari katika sehemu za starehe na kwenye mitandao mnamo mwaka 2015.

Alianza kupata uraibu wa kamari baada ya kupata sonona mara baada ya kifo cha baba yake na kuwa na ndoa isiyokuwa na furaha.

Mtoto huyo alijaribu kumficha mama yake juu ya hali yake ya sonona.

Binti huyo alitumia zaidi ya paundi 44,000 katika kamari pamoja na paundi 17,000 kutoka katika urithi wa bibi yake .

Bi Wadsworth, mwenye umri wa miaka 65, ambaye ndiyo mama yake alidai kuwa ilimbidi auze nyumba ya familia ili ampe fedha ya kulipa madeni ya kamari ingawa hakuyalipa mpaka alipojiua.

"Hakulipa deni hata moja bali aliendelea kucheza kwa muda wa wiki mbili mfululizo hivyo nikabaki bila mahali pa kuishi" alieleza bi.Wadsworth .

Mama huyo anasema kwamba alijaribu kumtafutia mtaalamu wa afya ya akili ili aweze kupata msaada wa tatizo la uraibu wa kucheza kamari lakini hakwenda.

Badala yake aliandika ujumbe " tumechelewa sana mama" kabla hajajiua.

Bi.Wadsworth alisema kuwa kama msaada ungetolewa mapema zaidi basi mtoto wake angekuwa hai bado.

"Kuna wataalamu ambao wanajua namna ya kukabiliana na watu ambao wana uraibu wa kucheza kamari na wanajua dalili za mtu ambaye ameanza kupata tatizo hilo".

"Wataalamu wanajua dalili za watu wenye uraibu wa kamari lakini wanaficha , Wanaendelea kutudanganya kuwa si rahisi kuacha," Wadsworth alisema.

Kuna watu ambao wanapata uraibu kwa kiwango kikubwa sana mpaka kuhatarisha maisha yao kwa kujiua.

Watu wapatao 340,000 nchini Uingereza wana tatizo kubwa la uraibu wa kamari kwa muhimu wa tume ya mchezo wa kamari.

Vituo kadhaa vya afya vimeanzishwa nchini humo ili kuwasaidia watu walioathirika na tatizo la kamari."

Uraibu wa kucheza kamari huwa unaongezeka kadri mtu anapozidi kupata fedha nyingi.

Kijana mmoja kwa jina la Chris Murphy,alianza kupata uraibu alipopata paundi 350 akiwa na umri wa miaka 17.

Tangu wakati huo mpaka alipofika miaka 23, ametumia zaidi ya paundi 100,000 katika kamari

Kijana mwenye miaka miaka 33 na ameweza kujizuia kucheza kamari kwa miezi nane.

Ukiangalia upande wa matatizo ya kiafya, hali yake sio nzuri na anahitaji msaada.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya anasema kwamba, Jambo la muhimu ni kumtaka yeye mwenyewe kupambana kuacha kucheza mchezo huo wa kamari ambao anadhani kuwa hawezi kuacha.

Inawezekana kuacha kucheza kamari ni jambo gumu zaidi ya mtu kuamua kuacha madawa ya kulevya au pombe.

Hakuna ubaya kwa mtu kukubali kuwa anahitaji msaada.

Ni muhimu watu wanaoanza kupata tatizo hili kutafuta msaada mapema kwa sababu madhara au matokeo yake huwa sio mazuri.

Kamari inaweza kumfanya mtu afilisike, kupoteza uhusiano mzuri na wapendwa wake, kupoteza ajira na kupata msongo wa mawazo.
waliofanikiwa kwa kucheza kamali mbona hawajasemwa na hao bbc swahili ina maana hawapo? Huu ni upotoshaji hamna ukweli wowote wa habari hii.
 
Back
Top Bottom