Uraia wa Zitto Kabwe sasa kuamuliwa Mahakamani

Tangu lini mwanachama wa CCM akawa na interest njema na uraia wa mtu? Hiyo ni kazi ya watu wa uhamiaji.
 
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.

“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Asisahau kumuunganisha na Kato Mzilangende

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukianza hivi kuchunguza uraia wa kila mtu huenda hata rais tusiwe naye. Watu waache ukuda. Tanzania hii kila kabila ilikuja kutoka nje ya hii inayoitwa leo Tanzania.
 
Gazeti la Tanzanite nalo limehamia kumchafua CAG kisa tu kaikosoa serikali. Funzo: ukitaka kujua kuwa wanao ulio nao ni wako au sii wako ieleze ukweli sirkali ya 5
 
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.

“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Yan huyu mpumbavu loh!
 
Nina mashaka kama kuna kazi kwa sasa katika ofisi zetu za kiutawala katika ngazi za Wilaya hasa kwa hawa vijana. Huyu baada ya kuwa mbunifu kuwasaidia vijana wetu wa CCM wanaoteswa na ukosefu wa ajira yeye anapigana na akina Zito Kabwe as if ndio agenda yetu ya Chama. Kijana amepata ajira CCM ya Ukatibu wa Wilaya baada afanye yenye manufaa anaanza ujinga. Hasara kabisa huyu kijana maana uraia wa Zito unawezaje kutatua matatizo tuliyo nayo kwa vijana wetu wa CCM.
Ndio maana watanzania bado tumeendelea kuwa masikini licha ya kupata Uhuru miaka 58 iliyopita. Taharuki nyingine ni gazeti la Tanzanite nalo limehamia kumchafua CAG kisa tu kaikosoa serikali
 
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.

“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Bwana Matefu hivi Zitto akiunga mkono juhudi utaenda mahakamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,

Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.

“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom