DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Ina imply kwamba watanzania hawana utamaduni wa kuhoji. Anapotokea mtu mwenye hulka hiyo, uraia wake lazima utiliwe mashaka
Sasa huyo Matefu ameshushwa cheo?........ Kutoka wa Mkoa hadi Wilaya isije ikawa amevurugwa!Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.
“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Ukiwa zuzu sana, unaonekana mzalendo.Ina imply kwamba watanzania hawana utamaduni wa kuhoji. Anapotokea mtu mwenye hulka hiyo, uraia wake lazima utiliwe mashaka
wacha wewe... kuzaliwa tu? twende ktk Article ya uhamiaji...Zito mrundi by wazazi wake walikotokea, ils bwana hii mipaka iliwekwa na wakoloni. Zitto kazaliwa Tanzania hivyo ni mtz.
yaapi ana haki ya kujipendekeza zaidi kwa mkulu bado kuna teuzi kibao zinakuja,bravo agustino matefu,if you have one bullet left just fire it dont worry,Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu.
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.
“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Aliyekuwa Katibu wa (UVCCM) mkoa wa Kigoma ambaye kwasasa amehamishiwa wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam, Agustino Matefu amesema kuwa atamburuza mahakamani mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe kwa madai kuwa sio raia wa Tanzania,
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amedai kuwa ushahidi wote anao.
“Kwasasa nimeamua kwenda mahakamani kumfungulia kesi Zitto Kabwe, sababu sio raia wa Tanzania, nimesafirisha wazee wanne kutoka Kigoma kwa ajili ya kutoa ushahidi,”amesema Matefu
Ina imply kwamba watanzania hawana utamaduni wa kuhoji. Anapotokea mtu mwenye hulka hiyo, uraia wake lazima utiliwe mashaka
Dalili za kufufuliwa zinaanza kujitokezaKesi hii iliishia wapi?