CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
- Thread starter
- #81
Teh teh teh teh teh!mkuu wewe ni mkenya,jamani mimi nimezaliwa namanga ni raia wa wapi? upande wa tanzania hakuna matibabu mazuri ikabidi mama yangu avuke aende upande wa kenya kwenye matibabu afadhali. sasa ninataka kugombea udiwani lakini sina uhakika na chama changu cha magugumaji wataniacha kweli?
Ila bado hujachelewa,kama vp nenda pale uamiaji Arusha kaukane ukenya wako kabisa.