Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Malaika Mihambo mwenye uraia wa Ujerumani apendekezwa kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Ulaya kwa Wanawake
Malaika amezaliwa na Mama Mjerumani na Baba mwenye asili ya Zanzibar (Tanzania)
Tanzania tunaogopa nini kuhusu Uraia pacha?
Tanzania tunakwama wapi?