Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF!
Katika kipindi kirefu sana kumekuwa na mjadala juu ya kuruhusu uraia wa nchi mbili 'dual citizenship' katika taifa letu. Mjadala huu umepamba moto sana haswa katika uongozi wa waziri Bernard Membe. Hata katika hotuba ya bajeti ya wizara mwaka 2011/2012, ndugu Membe alizungumzia na kusisitizia suala hili. Kabla sijaenda mbele zaidi, naomba niulize, hivi ni sahihi kwa suala hili kujadiliwa na wizara inayoongozwa na ndugu Membe? Suala linaluhusu uraia kwanini lijadiliwe na wizara ya mambi ya nje, badala ya wizara ya mambo ya ndani?!
Naendelea na mjadala. Mimi binafsi kama raia wa Tanzania sijaweza kuelewa hoja zote zinazotolewa katika kujustify dual citizenship. Hususani juu ya suala la kuongeza kuongeza uwekezaji kutoka na wanaoitwa watanzania walio nje. Hapa pia kuna maswali ya kujiuliza. Hivi mtanzania anatambulikaje? Kwa passport? Kwa kadi ya kupigia kura? Au? Kama mtu (alie na miaka zaidi ya 18) hana vyote hivi anaweza kutambulika kama mtanzania? Je, mtu aliekua na passport ya Tanzania, halafu akaikana kwa kuchukua passport ya nchi nyingine, huyu ataendelea kutambulika kama mtanzania au?
Kama nia kuongeza uwekezaji, kwani hao watanzania walio nje wanakatazwa kuja kuwekeza? Tena hao wanakua na added advantage kwavile wanaifahamu nchi kuliko wawekezaji ambao hawana trace ya utanzania. Tena wakija kama wageni ndio watapokelewa vizuri zaidi kuliko wakija kama wazawa, kutokana na hali ya urasimu uliopo katika suala la uwekezaji wa wazawa. Katika hili, bado sijaona hoja nzito.
Pia kuna suala la rasilimali watu. Kwamba kuna watanzania walio nje ya nchi ambao wana elimu na utaalamu wa mambo mbalimbali ambao pengine ni adimu au ungeweza kuongeza nguvu kazi katika taifa letu. Sawa. Je, hawezi kuja kama expatriates? Mbona tunao wengi tu katika sekta mbalimbali, kuanzia taasisi za elimu, mashirika ya umma, idara za serikali na taasisi za serikali na binafsi. Sasa hapa hao watanzania walio nje wanashindwa nini mpaka wapewe uraia mwingine?! Tena wakija kama expatriates watapata employment benefits nzuri zaidi kuliko wazawa. Hapa pia sijaona hoja nzito ya kupelekea uwepo wa dual citizenship.
Sasa kama hizo ndio hoja za Membe, napatwa na wasiwasi kama dual citizenship ipo kwa maslahi ya umma au maslahi ya watu binafsi (nimesikia ndugu Membe ana watoto aliowazaa nje ya nchi!)
Huu ni mtazamo wangu, kukosoana kwa manufaa ya kuelimishana kunakaribishwa.
Asante.
----------------------
Katika kipindi kirefu sana kumekuwa na mjadala juu ya kuruhusu uraia wa nchi mbili 'dual citizenship' katika taifa letu. Mjadala huu umepamba moto sana haswa katika uongozi wa waziri Bernard Membe. Hata katika hotuba ya bajeti ya wizara mwaka 2011/2012, ndugu Membe alizungumzia na kusisitizia suala hili. Kabla sijaenda mbele zaidi, naomba niulize, hivi ni sahihi kwa suala hili kujadiliwa na wizara inayoongozwa na ndugu Membe? Suala linaluhusu uraia kwanini lijadiliwe na wizara ya mambi ya nje, badala ya wizara ya mambo ya ndani?!
Naendelea na mjadala. Mimi binafsi kama raia wa Tanzania sijaweza kuelewa hoja zote zinazotolewa katika kujustify dual citizenship. Hususani juu ya suala la kuongeza kuongeza uwekezaji kutoka na wanaoitwa watanzania walio nje. Hapa pia kuna maswali ya kujiuliza. Hivi mtanzania anatambulikaje? Kwa passport? Kwa kadi ya kupigia kura? Au? Kama mtu (alie na miaka zaidi ya 18) hana vyote hivi anaweza kutambulika kama mtanzania? Je, mtu aliekua na passport ya Tanzania, halafu akaikana kwa kuchukua passport ya nchi nyingine, huyu ataendelea kutambulika kama mtanzania au?
Kama nia kuongeza uwekezaji, kwani hao watanzania walio nje wanakatazwa kuja kuwekeza? Tena hao wanakua na added advantage kwavile wanaifahamu nchi kuliko wawekezaji ambao hawana trace ya utanzania. Tena wakija kama wageni ndio watapokelewa vizuri zaidi kuliko wakija kama wazawa, kutokana na hali ya urasimu uliopo katika suala la uwekezaji wa wazawa. Katika hili, bado sijaona hoja nzito.
Pia kuna suala la rasilimali watu. Kwamba kuna watanzania walio nje ya nchi ambao wana elimu na utaalamu wa mambo mbalimbali ambao pengine ni adimu au ungeweza kuongeza nguvu kazi katika taifa letu. Sawa. Je, hawezi kuja kama expatriates? Mbona tunao wengi tu katika sekta mbalimbali, kuanzia taasisi za elimu, mashirika ya umma, idara za serikali na taasisi za serikali na binafsi. Sasa hapa hao watanzania walio nje wanashindwa nini mpaka wapewe uraia mwingine?! Tena wakija kama expatriates watapata employment benefits nzuri zaidi kuliko wazawa. Hapa pia sijaona hoja nzito ya kupelekea uwepo wa dual citizenship.
Sasa kama hizo ndio hoja za Membe, napatwa na wasiwasi kama dual citizenship ipo kwa maslahi ya umma au maslahi ya watu binafsi (nimesikia ndugu Membe ana watoto aliowazaa nje ya nchi!)
Huu ni mtazamo wangu, kukosoana kwa manufaa ya kuelimishana kunakaribishwa.
Asante.
----------------------
The right to dual citizenship in Tanzania is a must
Dual Citizenship is a status in which a person is concurently regarded as a citizen under the laws of more than one state. Dual citizens have two passports and live and travel freely within their native and naturalized contries without immigration constraints. The Tanzania citizenship is governed by the Citizenship Act, 1995. This Act proscribes the right to dual citizenship. S. 7(4) provides"Any Citizen of Tanzania shall cease to be a citizen if having attained the age of 18 years, he acquires the citizenshp of some country other than Tanzania by a voluntary act other than marriage".
The Tanzanian Constitution, 1977 unlike Constitutions of other countries eg Kenya and Uganda, is silent on the right to dual citizenship. Generally, citizenship in our Constitution is merely mentioned en passant.
A significant number of Tanzanians are now living abroad and are scattered all over the world. They are now commonly known as THE DIASPORA COMMUNITY. Mean estimate is putting the number of Tanzanians in Diaspora at 2Million. This group, thus, account for 5% of our total population. This is an important constituency which has to be represented in the new constitution, in my humble view.
There are many factors obtaining in Tanzania which have contributed to the exodus of skilled talent. They include poor conditions of service, potential human rights abuses, nepotism and favoratism, disregard for local talent, scarcirty of jobs, poor salaries, limited access to education, the 2001 Zanzibar chaos etc.
African natives who are resident in industrialized nations have been prodding their home countries to provide for dual citizenship to make it possible to make them citizens of a second country. A lot of Tanzanians who are currently in the Diaspora have been agitating for the same. At the beginning, the issue of citizenship was resented but now it was beginning to be understood.
Tanzania has been benefitting from people living abroad through remittances. Apart from tha,t Tanzanians living abroad have different professions and are experienced in several sectors of the economy, hence they would make immense contribution if they came back to work here. Some of them command respect the world over hence if properly utilized they could greatly contribute to their mother country development.
The role of the Tanzanian Diaspora community has been, inter aia, to provide socio-economic support for some Tanzanians back home. Due to the extended family system, most of Tanzanians living abroad find themselves being regarded as crucial breadwinners of not only their immediate families but also their close family relatives.
They normally pay for most of the financial needs of their dependants back at home such as medical and education fees, accomodations rentals and social events such as religious gatherings, funerals, birthday and wedding parties.
in 2006, the Law Reform Commission of TZ under the Chairmanship of Judge A. Bahati recommended introduction of Dual Citizenship. The Commission stated that the issue deserved " a possitive and foward- looking consideration and that it was high time Tanzania adopted dual citizenship because in a globalized world, the country could not develop without interraction with other nations". More importantly, many developing nations scuch as Ghana have made significant economic strides after allowing dual citizenship a few years ago.Furthermore, Hon. B. Member, Minister for Foreign Affairs, a distingushed Diplomat stated the following in the National Assembly when responding to a question from one Vicky Kamata (CCM)
"African countries have been benefitting from people living abroad through remittances. For the past year,
a total of USD 40 Billion entered Africa through remittances out of which Tanzania received USD 250M.
We are creating a good environment that will enable Tanzanians living abroad work in the country. We
recognize them and respect their contribution to the country economic development. In the newly launched
5 year develoment plan (2011-2015) the issue of Diaspora has been highlighted and given priority. This dual
citizenship issue will also be included in the Constitutional debate..."
Thus, in my view, Dual citizenship MUST be enshrined in our new Constitution.
Great Thinkers, hii imekaaje?