Urahisi wa upatikanaji wa kazi katika mashirika ya kimataifa kama Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa ukoje?

iikatseb

JF-Expert Member
Sep 13, 2014
463
671
Wakuu habarini za muda huu.

Kama mada inavyojieleza haya mashirika ya kimataifa ikiwa ni pamoja na umoja wa Afrika na umoja wa mataifa hali ikoje kwenye suala zima la utoaji wa ajira.

Yeyote mwenye experience na hizi taasisi anaweza kutupa uhalisia wa mchakato kule ndani ikoje maana naona mishahara yao ni minono sana kwa kazi za kuanzia watu wanalipwa hadi 10,000,000 kwa mwezi. Yeyote mwenye uzoefu tunaomba atupe mrejesho.

Asanteni kwa muda wenu.
 
Uwa wanatangaza kazi zao then unaomba, na mara nyingi kazi zao hautumi barua ila unajaza kupitia system yao online.


Kama unataka kazi zao pitia UnJobs au relief web zipo nyingi.

Ila lazima uwe smart kiaina.
Kweli na wanajitahidi sana kujali wafanyakazi wao, japo sio mashirika yote. Kwahiyo ukibahati ku compete ukapata uko sio mbaya.
 
Back
Top Bottom