Urafiki wa Tanzania na Rwanda ni wa Kinafiki. Nadhani Mh.Samia kagundua mapema.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,565
15,920
Kagame bana. Ni Rais mmoja mnafiki sana kuishi nae. Waganda , wacongomani ,warundi wananielewa namaanisha nini.

Hayati magufuli mwanzo wakati anaingia ikulu alidhani Kikwete alikua mjinga lakini baada ya muda alifanikiwa kuona rangi halisi za Rais wa Rwanda.

Sasa namshauri Mheshimiwa Rais Samia kukaa mbali sana.na huyu mtu ni hatari na hana "common goals " na mjirani zake.angetamani sana Tanzania iwe ndio Rwanda. Kana ubinafsi wa kichini chini sana. Akae mbali na maendeleo ya Tanzania.
 
Hao majirani iko na shida kubwa ya kiuongozi hapo kwao,haiwezekani makamanda waliompa nchi karibia wote wafe au wakimbie nchi,mbele mbele lazima vita ikuje tu huko
 
Mama mipaka umeiacha wazi sana kiasi kwamba Karagwe wamejaa watu toka nchi hiyo, tena hawana wasiwasi kabisa utafikiri wako kwao.
 
Kagame bana. Ni Rais mmoja mnafiki sana kuishi nae. Waganda , wacongomani ,warundi wananielewa namaanisha nini.

Hayati magufuli mwanzo wakati anaingia ikulu alidhani Kikwete alikua mjinga lakini baada ya muda alifanikiwa kuona rangi halisi za Rais wa Rwanda.

Sasa namshauri Mheshimiwa Rais Samia kukaa mbali sana.na huyu mtu ni hatari na hana "common goals " na mjirani zake.angetamani sana Tanzania iwe ndio Rwanda. Kana ubinafsi wa kichini chini sana. Akae mbali na maendeleo ya Tanzania.
Kagame hana rafiki hata dak 1
 
Back
Top Bottom