jamani mimi nipo msumbiji,kinachotupata
huku watanzania mungu ndio anajua.tunavuliwa nguo na poli
si,tunanyang'anywa pesa na paspoti na
wengine wamepigwa risasi.jambo hili
haliitaji uchunguzi,wewe jifanye tu unakuja
msumbiji kupitia mtambaswala au mtwara
yatakayokupata utajuta
huku watanzania mungu ndio anajua.tunavuliwa nguo na poli
si,tunanyang'anywa pesa na paspoti na
wengine wamepigwa risasi.jambo hili
haliitaji uchunguzi,wewe jifanye tu unakuja
msumbiji kupitia mtambaswala au mtwara
yatakayokupata utajuta