Je mwanamke mwenye umri wa miaka hamsini na tano ambaye ameishi maisha ya utulivu, kalea wanawe wamekuwa, yupo stable economically anaweza kupata mwezi wa kuzeeka naye mwenye mahitaji sawa na mama huyu? Afanye nini ili aweze kutimiza haja ya kuondokana na upweke?