ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,083
Salaam kwa wote watakaosoma hii
Nipo mbali na familia yangu kwa ajili ya mambo ya kimaisha kwa muda wa miaka miwili sasa. Japo huwa naenda sometimes.
Kule nilikuwa na mahusiano mengine nje ya ndoa but baada ya kuondoka kwa muda huo yaliishia njiani.
Kuna kipindi niliamua kutafuta mke mdogo wa kuwa nae huku nilipo ila ndo wahuni wakamlaghai. Shortly for now nahisi I need someone else for me.
Sijui nitaanzia wapi ila ndio hivo. I'm so lonely for the time being. Huwa najiliwaza kwa vyombo (pombe) ila kwa sasa nina dozi nahisi kama nipo kuzimu.
Sijui nafeli sehemu gani
Ushauri wenu tafadhali.
Nipo mbali na familia yangu kwa ajili ya mambo ya kimaisha kwa muda wa miaka miwili sasa. Japo huwa naenda sometimes.
Kule nilikuwa na mahusiano mengine nje ya ndoa but baada ya kuondoka kwa muda huo yaliishia njiani.
Kuna kipindi niliamua kutafuta mke mdogo wa kuwa nae huku nilipo ila ndo wahuni wakamlaghai. Shortly for now nahisi I need someone else for me.
Sijui nitaanzia wapi ila ndio hivo. I'm so lonely for the time being. Huwa najiliwaza kwa vyombo (pombe) ila kwa sasa nina dozi nahisi kama nipo kuzimu.
Sijui nafeli sehemu gani
Ushauri wenu tafadhali.