Upuuzi huu utaukuta sana tu kwa Wazazi wa Kiafrika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,518
108,793
Baba mmoja nchini Kenya amemshtaki mahakamani mwanae wa kiume akitaka asilimia 20 ya mshahara wa mtoto huyo ili kukidhi mahitaji yake ya kila mwezi na kudai kuwa aliuza mali zake nyingi ili kumsomesha lakini mtoto huyo hampi msaada.

Chanzo: ITV Tanzania

Hivi Wazazi wa Kiafrika mnapotaka Watoto zenu tuje Kuwalea 'Kilazima' kuna Mtu aliwalazimisheni mtuzae kwa Starehe zenu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika ni nani aliwadanganya kuwa Kuzaa Watoto, Kuwakuza mpaka Kuwasomesha basi wao Kuwatunzeni ni lazima na siyo Hisani tu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika kwani wakati mnatuzaa na bado mna Nguvu zenu na Mali nyingi pia mlishindwa Kuzipangilia vyema ili zije ziwatunzeni mkiwa Wazee na muache Kuwatafutia lawama Watoto zenu huku wengine mkifikia hata hatua za Kuwatishia Kuwalaani japo wapo pia ambao mnawalaani Kweli?

Kuna Mzazi Mmoja aliwahi kusema Yeye hata kama amejinyima ili Kusomesha Watoto zake na Wamefanikiwa Kimaisha ila hatopenda alazimishe Fadhila zao kwani Kuwazaa na Kuwakuza ni Jukumu lake na Yeye Furaha yake ni Kuwaona hao Wanae wakizilea pia Familia zao na Kusaidia na Watu wengine pia kwakuwa kuna Watu hapa duniani wana Shida kuliko hata Yeye Baba yao.

Mzazi muda wote ukiwa na Kazi yako Wewe Kutwa tu ni Kuzunguka na 'Mimalaya' hapa Mjini, Kuzaa hovyo, Kuhonga sana huku ukifululiza kwenda kwa Waganga wa Kienyeji ambako wamekulia mno Pesa zako halafu umekuwa Mzee na Maisha yamekuendea 'alijojo' unaanza kutaka kutupa Lawama kwa Wanao kuwa hawakutunzi wakati huenda hao hao Wanao walikushauri sana ubadilike na utunze Pesa zako ukawa Unawadharau.

Wazazi wa Kiafrika mna matatizo sana.
 
Wakati mwingine baadhi ya wazazi hushindwa kuelewa baadhi ya nyakati ambazo watoto wao wanapitia pamoja na kwamba wamewasomesha na kuwafikisha walipo.

Mzazi kumtegemea mtoto si jambo baya, ila mzazi kumgeuza mtoto MTAJI, yaani anafanya jitiada zote kumsomesha na kumlea kichwani akiwa na fikra za UTANILIPA NGUVU ZANGU, ndiyo tatizo na matokeo yake watoto wanapopitia nyakati ngumu kiuchumi na hata changamoto za kijamii huwa hawaeleweki kwasababu mzazi kichwani yeye anajitoa kwamba tayari ameshafanya sehemu yake hivyo ni LAZIMA na wewe (mtoto) afanye ULIPE.

Ni changamoto sana hasa kwa wale wanao toka familia zenye kipato cha chini.
 
Baba mmoja nchini Kenya amemshtaki mahakamani mwanae wa kiume akitaka asilimia 20 ya mshahara wa mtoto huyo ili kukidhi mahitaji yake ya kila mwezi na kudai kuwa aliuza mali zake nyingi ili kumsomesha lakini mtoto huyo hampi msaada.

Chanzo: ITV Tanzania

Hivi Wazazi wa Kiafrika mnapotaka Watoto zenu tuje Kuwalea 'Kilazima' kuna Mtu aliwalazimisheni mtuzae kwa Starehe zenu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika ni nani aliwadanganya kuwa Kuzaa Watoto, Kuwakuza mpaka Kuwasomesha basi wao Kuwatunzeni ni lazima na siyo Hisani tu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika kwani wakati mnatuzaa na bado mna Nguvu zenu na Mali nyingi pia mlishindwa Kuzipangilia vyema ili zije ziwatunzeni mkiwa Wazee na muache Kuwatafutia lawama Watoto zenu huku wengine mkifikia hata hatua za Kuwatishia Kuwalaani japo wapo pia ambao mnawalaani Kweli?

Kuna Mzazi Mmoja aliwahi kusema Yeye hata kama amejinyima ili Kusomesha Watoto zake na Wamefanikiwa Kimaisha ila hatopenda alazimishe Fadhila zao kwani Kuwazaa na Kuwakuza ni Jukumu lake na Yeye Furaha yake ni Kuwaona hao Wanae wakizilea pia Familia zao na Kusaidia na Watu wengine pia kwakuwa kuna Watu hapa duniani wana Shida kuliko hata Yeye Baba yao.

Mzazi muda wote ukiwa na Kazi yako Wewe Kutwa tu ni Kuzunguka na 'Mimalaya' hapa Mjini, Kuzaa hovyo, Kuhonga sana huku ukifululiza kwenda kwa Waganga wa Kienyeji ambako wamekulia mno Pesa zako halafu umekuwa Mzee na Maisha yamekuendea 'alijojo' unaanza kutaka kutupa Lawama kwa Wanao kuwa hawakutunzi wakati huenda hao hao Wanao walikushauri sana ubadilike na utunze Pesa zako ukawa Unawadharau.

Wazazi wa Kiafrika mna matatizo sana.
I'm sick and tired of them as well...hata mimi dingi huwa ananiandama kweli mwisho wa mwezi
 
Tunzenu wazazi wenu nyie vijana wa mlisoma degree za kuunga unga.degree gani mnasomea mitihani tu.acheni ufala wazazi wamejinyima sana kuwafikisha mlipo leo mzazi anakutaka umsaidie unamuona msumbufu .huu ni upumbavu na ujinga unakataa kumsaidia mama yako unataka kumsaidia nani.???? Hawara yako.????? Vijana shenzi sana vijana hawa wa sasa waliosoma kwa kukariri.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
I'm sick and tired of them as well...hata mimi dingi huwa ananiandama kweli mwisho wa mwezi
Tunzeni wazazi wako kwa kipato kidogo ulichonacho. Nadhani ni suala la kumwambia ukweli kwamba kipato changu kidogo ntatoa 30,000 kwa mwezi basi.
 
Una laana wewe siyo bure!

Unaposema "...kwa starehe zenu..." unamaanisha nini?
 
Dogo hampi msaada Mzee, mzee kaamua mahakama imlazimishe, shida ni kwamba dogo akianza kutoa hizo asilimia, uhusiano wa Baba na mtoto ndi unakufa pia.
 
Tunzeni wazazi wako kwa kipato kidogo ulichonacho. Nadhani ni suala la kumwambia ukweli kwamba kipato changu kidogo ntatoa 30,000 kwa mwezi basi.
najua kutunza mzazi ni wajibu wa mtoto lkn inatakiwa awe mzazi asiyejiweza hawa madingi wa town bado wanapiga pesa lkn mpk wakuchomoe mpunga
 
Tunzenu wazazi wenu nyie vijana wa mlisoma degree za kuunga unga.degree gani mnasomea mitihani tu.acheni ufala wazazi wamejinyima sana kuwafikisha mlipo leo mzazi anakutaka umsaidie unamuona msumbufu .huu ni upumbavu na ujinga unakataa kumsaidia mama yako unataka kumsaidia nani.???? Hawara yako.????? Vijana shenzi sana vijana hawa wa sasa waliosoma kwa kukariri.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app

tunza hela zako zije zikusaidie, usisomeshe watoto wako waache wajisomeshe na kujilisha wenyewe...
 
ni vyema somo likatolewa na kubadili hii culture kwa wazee wa Kiafrica ikiwa pamoja na kutengeneza mifumo...

Ni wakati wa kila mtu kutambua sasa, ukimsomesha mtoto au watoto basi usitegemee fadhila au matunzo kutoka kwao, ni jukumu lako pia kuwekeza na kujitunzia akiba kwa ajili ya uzee wako....ukila bata now kumbuka na kuandaa uzee wako na mchumba wako ambaye naye atakuwa kibibi huko mbele na wote mtakuwa mchoka....
 
Baadhi ya wazazi wanakosea hapa unakuta enzi wanamsomesha mtoto wao kwa mapenzi pia walikuwa wakiwasomesha labda ndugu wengine kama wadogo zao wakipoteza pesa nyingi hata kuwasaidia ndugu tena kwa sana

Wakija tulia wanalia kooni watoto wao tu wale wengine kimya point yangu kula maisha na wanao ili iwe ni mandate kuja wasaidia sio unakula na mwandugu baadae unalalama kwa wanao

Waafrika tunapenda kuzaa ila bado tupo wachache mara huko geita mama anachoma wanae kutokana na ugumu wa maisha 😭😭 kwa nn tunapenda sifa za ovyo wakati dunia tunapita tu

Zaa kama unamudu maisha usiwe una watoto wanakuwa kwa shida watoto 4 wakati ungekuwa na wa2 ungemudu pesa yote kwenye kulq bado nyumba huna unaona sifa
 
Baba mmoja nchini Kenya amemshtaki mahakamani mwanae wa kiume akitaka asilimia 20 ya mshahara wa mtoto huyo ili kukidhi mahitaji yake ya kila mwezi na kudai kuwa aliuza mali zake nyingi ili kumsomesha lakini mtoto huyo hampi msaada.

Chanzo: ITV Tanzania

Hivi Wazazi wa Kiafrika mnapotaka Watoto zenu tuje Kuwalea 'Kilazima' kuna Mtu aliwalazimisheni mtuzae kwa Starehe zenu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika ni nani aliwadanganya kuwa Kuzaa Watoto, Kuwakuza mpaka Kuwasomesha basi wao Kuwatunzeni ni lazima na siyo Hisani tu?

Hivi Wazazi wa Kiafrika kwani wakati mnatuzaa na bado mna Nguvu zenu na Mali nyingi pia mlishindwa Kuzipangilia vyema ili zije ziwatunzeni mkiwa Wazee na muache Kuwatafutia lawama Watoto zenu huku wengine mkifikia hata hatua za Kuwatishia Kuwalaani japo wapo pia ambao mnawalaani Kweli?

Kuna Mzazi Mmoja aliwahi kusema Yeye hata kama amejinyima ili Kusomesha Watoto zake na Wamefanikiwa Kimaisha ila hatopenda alazimishe Fadhila zao kwani Kuwazaa na Kuwakuza ni Jukumu lake na Yeye Furaha yake ni Kuwaona hao Wanae wakizilea pia Familia zao na Kusaidia na Watu wengine pia kwakuwa kuna Watu hapa duniani wana Shida kuliko hata Yeye Baba yao.

Mzazi muda wote ukiwa na Kazi yako Wewe Kutwa tu ni Kuzunguka na 'Mimalaya' hapa Mjini, Kuzaa hovyo, Kuhonga sana huku ukifululiza kwenda kwa Waganga wa Kienyeji ambako wamekulia mno Pesa zako halafu umekuwa Mzee na Maisha yamekuendea 'alijojo' unaanza kutaka kutupa Lawama kwa Wanao kuwa hawakutunzi wakati huenda hao hao Wanao walikushauri sana ubadilike na utunze Pesa zako ukawa Unawadharau.

Wazazi wa Kiafrika mna matatizo sana.
Genta leo umeongea point sijui umekula chakula gani? Anyway MZAZI ANADAIWA KI SHERIA KUMHUDUMIA MTOTO ILA MTOTO HADAIWI KISHERIA KUMHUDUMIA MZAZI( option)
 
Back
Top Bottom