Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,453
- 1,930
Tatizo la nguvu za kiume limeendelea kushika kasi kwa wanaume na kusababisha matizo katika familia nyingi na hata amahusiano mengi kuvunjika ama vinginevyo.,Katika miaka ya hivi karibuni tunashuhudia wingi wa matangazo katika magazeti na media kunadi dawa za kuzuia ama kuponya kabisa taizo hili.
Hapa nimejaribu kuainisha baadhi ya sababu na madhala kisha ushaur wa nn cha kufanya kuepukana na tatizo hili sugu.hii ni kwa mujibu wangu binafi na sijakopi popote.
Sababu za tatizo.
1.Kunywa pombe kupindukia ama kila siku-unywaji wa pombe mara kwa mara ama kupindukia huuufanya mwil kuwa dhoofu hivo kukosa nguvu za kuhimil kaz.pia huwanya mhusika kukosa ham ya kufanya tendo.
2.Punyeto(kujichua) kwa muda mrefu-katika makuzi hutokea wakat ambapo kijana anakuwa na mihemko ya mwil na hivo kufikia hatua ya kujichua ama kwa kufuata mkumbo ama kwel kashindwa kuvumilia.hii pia ni sababu mojawapo ambayo inaleta taizo hili.kujichua kwa muda mrefu husababisha tatito la kisaikolojia ambapo mhusika haoni haja ya kuwa na mwanamke na hjvo humaliza haja zake kwa njia hiii.katika uume kuna mishipa ya arteli lakin pia kuna midogo ilozunguka uume inaitwa capilariez,ambayo hulegea mtu anapojichua na kusababisha dam kutofika uumeni kama inavotakiwa hivo uume hukosa nguvu za kusimama ipasavo.
3.Ulaji wa vyakula vya aina moja,-ulaji mbaya pia huchangia kwa namna moja ama nyingine tatizo hili.kwa kawaida mtu hushauriwa kubalace vyakula(balanced diet).,sio sahihi kula mfano ugali kila siku,tena bila hata bila mtunda wala mboga za majani.hii husababisha mwili kuzoea vyakula vya aina fulani na hivo kukosa virutubisho muhim vinavoupa mwili nguvu.
4.uvutaji sigara,madawa ya kulevya,vidonda sugu,ajali tinazoathiri viungo,magonjwa sugu n.k-hapa nimejaribu kuunganisha mambo ambayo yanashaabiana.hayo yote husababisha upungufu wa nguvu za kiume.
5.hofu,uoga huzuni,kutokujiamini na mazingira.-mtu akiwa na hofu kila akutanapo na mwanamke ni dhahili kuwa hatafanya tendo kwa ifasaha,vilevile akiwa hajiamini.pia mazingira humfanya mtu kutokuwa na moral wa kufanya jambo,mfano ukipenda kufanya tendo kwa kujificha sehem kawa vichakani,chumbani na sehem kama hizo huufanya mwanume kuwa mwoga na kujitahidi awahi kupiiz kisha hukosa ham tena ya kuendelea kufanya tendo.
6.Kaul mbaya na za kukatisha tamaa kutoka kwa wanawake wao.-mwanume akiambiwa hajamridhisha ama akisikia kwamba mpenzi wake kasema kwa watu kwamba hajamridhisha ni waz kwamba hukosa ham ya kufanya tendo na daima huwa na hili wazo kwamba huenda akashindwa tena.
7.kuwa na wanawake wengi,-hii humfanya mwanaume kukosa ham ya kuendelea na tendo kwa kuwa alitamani na sio kupenda,inawezekana alichokitarajia kwa mwanamke huyo sicho alichokikuta so humfanyaa kose ham ya kuendelea na tendo la ndoa.hufanya bao moja kisha huaga na kuondoka,hii humjengea mazoea na mwisho hujikuta kwamba hawez kufanya zaidi ya bao moja ama mbili.
8.kuchoka mwili kutokana na kazi ama mazoezi yaliyopitiliza,ama wanaokaa vitini kwa muda mrefu-hii huwatokea hasa madereva wa safar ndefu ama watu wanaokaa offisini muda mrefu,ama wanaofanya kaz ngum.husababish amaumivu ya mgongo na hivo kukosa ham ya kufanya tenndo
Ushauri.
1.kuacha kujichua ama kupunguza atleast mara moja kwa miez miwil kama huwez kuacha kabisa
2.kula vyakula vyenye mlo kamili
3.kujiamini na kuondoa hofu kwamba huwezi,jiamni kwamba we ni mwanaume uliekamilika
4.fanya mazoez kwa kiasi na upumzishe mwil.
5.zingatia muda wa kulala na usiuchoshe mwili n aakili kupitiliza.
Pata ushaur wa daktar ama mwanasikolojia pindi tatizo hili likianza.
6.kuwa na mpenzi mmoja na sio kila mwanamke unataka kumuonja hii hukusababishia matatizo piabkisaikolojia kwamba nikiwa na fulani ndo huwa nafanya kwa ufasaha.
Punguza ulevi na matumizi ya madawa ama vidonge kwa muda mrefu,pia punguza uvutajo wa sigara.
Kwa leo ni hayo tu wawezaongezea ama kukosoa maana ni mawazo yangu tu naweza nisiwe sahihi pia
Hapa nimejaribu kuainisha baadhi ya sababu na madhala kisha ushaur wa nn cha kufanya kuepukana na tatizo hili sugu.hii ni kwa mujibu wangu binafi na sijakopi popote.
Sababu za tatizo.
1.Kunywa pombe kupindukia ama kila siku-unywaji wa pombe mara kwa mara ama kupindukia huuufanya mwil kuwa dhoofu hivo kukosa nguvu za kuhimil kaz.pia huwanya mhusika kukosa ham ya kufanya tendo.
2.Punyeto(kujichua) kwa muda mrefu-katika makuzi hutokea wakat ambapo kijana anakuwa na mihemko ya mwil na hivo kufikia hatua ya kujichua ama kwa kufuata mkumbo ama kwel kashindwa kuvumilia.hii pia ni sababu mojawapo ambayo inaleta taizo hili.kujichua kwa muda mrefu husababisha tatito la kisaikolojia ambapo mhusika haoni haja ya kuwa na mwanamke na hjvo humaliza haja zake kwa njia hiii.katika uume kuna mishipa ya arteli lakin pia kuna midogo ilozunguka uume inaitwa capilariez,ambayo hulegea mtu anapojichua na kusababisha dam kutofika uumeni kama inavotakiwa hivo uume hukosa nguvu za kusimama ipasavo.
3.Ulaji wa vyakula vya aina moja,-ulaji mbaya pia huchangia kwa namna moja ama nyingine tatizo hili.kwa kawaida mtu hushauriwa kubalace vyakula(balanced diet).,sio sahihi kula mfano ugali kila siku,tena bila hata bila mtunda wala mboga za majani.hii husababisha mwili kuzoea vyakula vya aina fulani na hivo kukosa virutubisho muhim vinavoupa mwili nguvu.
4.uvutaji sigara,madawa ya kulevya,vidonda sugu,ajali tinazoathiri viungo,magonjwa sugu n.k-hapa nimejaribu kuunganisha mambo ambayo yanashaabiana.hayo yote husababisha upungufu wa nguvu za kiume.
5.hofu,uoga huzuni,kutokujiamini na mazingira.-mtu akiwa na hofu kila akutanapo na mwanamke ni dhahili kuwa hatafanya tendo kwa ifasaha,vilevile akiwa hajiamini.pia mazingira humfanya mtu kutokuwa na moral wa kufanya jambo,mfano ukipenda kufanya tendo kwa kujificha sehem kawa vichakani,chumbani na sehem kama hizo huufanya mwanume kuwa mwoga na kujitahidi awahi kupiiz kisha hukosa ham tena ya kuendelea kufanya tendo.
6.Kaul mbaya na za kukatisha tamaa kutoka kwa wanawake wao.-mwanume akiambiwa hajamridhisha ama akisikia kwamba mpenzi wake kasema kwa watu kwamba hajamridhisha ni waz kwamba hukosa ham ya kufanya tendo na daima huwa na hili wazo kwamba huenda akashindwa tena.
7.kuwa na wanawake wengi,-hii humfanya mwanaume kukosa ham ya kuendelea na tendo kwa kuwa alitamani na sio kupenda,inawezekana alichokitarajia kwa mwanamke huyo sicho alichokikuta so humfanyaa kose ham ya kuendelea na tendo la ndoa.hufanya bao moja kisha huaga na kuondoka,hii humjengea mazoea na mwisho hujikuta kwamba hawez kufanya zaidi ya bao moja ama mbili.
8.kuchoka mwili kutokana na kazi ama mazoezi yaliyopitiliza,ama wanaokaa vitini kwa muda mrefu-hii huwatokea hasa madereva wa safar ndefu ama watu wanaokaa offisini muda mrefu,ama wanaofanya kaz ngum.husababish amaumivu ya mgongo na hivo kukosa ham ya kufanya tenndo
Ushauri.
1.kuacha kujichua ama kupunguza atleast mara moja kwa miez miwil kama huwez kuacha kabisa
2.kula vyakula vyenye mlo kamili
3.kujiamini na kuondoa hofu kwamba huwezi,jiamni kwamba we ni mwanaume uliekamilika
4.fanya mazoez kwa kiasi na upumzishe mwil.
5.zingatia muda wa kulala na usiuchoshe mwili n aakili kupitiliza.
Pata ushaur wa daktar ama mwanasikolojia pindi tatizo hili likianza.
6.kuwa na mpenzi mmoja na sio kila mwanamke unataka kumuonja hii hukusababishia matatizo piabkisaikolojia kwamba nikiwa na fulani ndo huwa nafanya kwa ufasaha.
Punguza ulevi na matumizi ya madawa ama vidonge kwa muda mrefu,pia punguza uvutajo wa sigara.
Kwa leo ni hayo tu wawezaongezea ama kukosoa maana ni mawazo yangu tu naweza nisiwe sahihi pia