upungufu wa nguvu za kike

nikusahihishe wanawake awana upungufu wa nguvu bali HAMU!!Nguvu mzipate wapi bana .......
 
nini tiba ya hili tatizo jamani

Tatizo hili ni kubwa sana kwa wanawake siku hizi.
SABABU
  1. Kuanza ngono mapema i.e miaka tisa
  2. Kuangalia mikanda ya ngono
  3. Kupiga chabo wazazi
TIBA
  1. Kuwa na mpenzi mmoja unayempenda ki ukweli (Usipende kwa sababu ya pesa)
  2. Acha kuangalia picha za ngono
  3. Tumia njia mbadala
 
Ww ni bebiii kwa maana jinsia yako ni ya kike? Au ni dizaini km ya wanaume wanaojiita chocolate?
 
Tatizo hili ni kubwa sana kwa wanawake siku hizi.
SABABU
  1. Kuanza ngono mapema i.e miaka tisa
  2. Kuangalia mikanda ya ngono
  3. Kupiga chabo wazazi
TIBA
  1. Kuwa na mpenzi mmoja unayempenda ki ukweli (Usipende kwa sababu ya pesa)
  2. Acha kuangalia picha za ngono
  3. Tumia njia mbadala
njia mbadala ndo zipi? maana siangalii picha za ngono kabisa wala sina mpenzi ila sina nguvu kabisa
 
sifeel kama hivyo vitu vinaexist katika mwili wangu


Naona kama ni tatizo la kisaikolojia zaidi. Ngoja wanataaluma waje watatuambia vizuri. Lakini kwa sasa ondoa wasiwasi na jisikie vizuri.
 
<b>njia mbadala ndo zipi? maana siangalii picha za ngono kabisa wala sina mpenzi ila sina nguvu kabisa</b>
<br />
<br />
thatha umejuaje kwamba huna nguvu? Ni pm nikupime kama zimepungua
 
punguza kazi,
punguza mawazo,
pata muda wa kutosha kwa maandalizi kabla ya tendo lenyewe,
kula virutubisho, i.e. asali, mdalasini, matunda kwa wingi,
na uridhike na mpenzi wako vile vile.
 
<b>njia mbadala ndo zipi? maana siangalii picha za ngono kabisa wala sina mpenzi ila sina nguvu kabisa</b>
<br />
<br />
sema hauna hamu, wala si nguvu. Wewe nguvu za kazi gani. Kwani ya kwako inahitaji ngùvu gani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom