BAHARI J
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 909
- 1,128
Uvunaji wamaji ya mvua shida ni elimu tuu.Nchi nyingi zinavuna maji ya mvua karibu katika kila tarafa kuna water reservoir inayokusanya maji ya mvua kutoka barabara za lami. Maji haya yanatumika kwanza na maji ya mito yanakuwa secondary supply. Huwezi kutegemea maji ya mito 100%
Katika nchi ambazo Mungu ametupa upendeleo bas sisi.
Karibu kila mkoa wa Tanzania una pokea mvua karibu miezi minne mfululizzoo, Tena zile mvua haswa.
Lakin ukipita kwenye majumba humu hakuna Ata mtu mweenye mfumo wa Uvunaji wa maji hayo.. Tena wengine Wame funga na zile gata kwenye mapaa Lakin maji Yana mwagwa.
Ikiwa kila mtu mwenye uwezo ange amua kusev haya maji Masi hata natumiza ya maji ya mamlaka zetu yange kuwa chini Sana