Siku 14 BAADA ya nini madame
Siku 14 BAADA ya nini madame
Subiri. Yawezekana ni hali kabla ya hedhi.Bado
kama mnafanya kwa ajili ya kutafta mtoto acheni mtoto ni majaaliwa fanyeni kama starehe na kabla ya kutafta mtoto pia yapasa mjue mzunguko wake na wewe kama mume uko vizur mbegu zako na nyote wawili hamna dosari kwenye via vyenu vya uzaziTangu mwezi wa 12mwaka Jana tunatafuta mtoto lakini Bado, mkuu
Mzunguko wake huwa unabadilika basilica, madame, mambo mwezi wa 12 aliingia try 4 then 9 then 12 wa tatu kaingia tarehe moja, inakuwa vigumu kuelewa nisaidie plskama mnafanya kwa ajili ya kutafta mtoto acheni mtoto ni majaaliwa fanyeni kama starehe na kabla ya kutafta mtoto pia yapasa mjue mzunguko wake na wewe kama mume uko vizur mbegu zako na nyote wawili hamna dosari kwenye via vyenu vya uzazi
Mzunguko wake huwa unabadilika basilica, madame, mambo mwezi wa 12 aliingia try 4 then 9 then 12 wa tatu kaingia tarehe moja, inakuwa vigumu kuelewa nisaidie pls
MzimaBaada ya kujamiiana
MzimaMzima
Alikuwa akienda Kila tarehe moja, au mbili, baada ya kumuoa nikamleta huku ninapokaa ndo mzunguko wake ukabadirika