Upotoshaji wa Kauli ya Rais Ukomeshwe. Wizara ya Afya Toeni ufafanuzi

Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Hoja ya kipuuzi. Hayo mambo yalikuwa zamani.

Kwa sasa hakuna mwanachuo anayesomeshwa na Serikali. Hakuna hata mmoja. Serikali inawakopesha wanavyuo wanaoomba mkopo wa masomo.

Hivi ukichukua mkopo bank, ukajenga nyumba, na baada ya kumaliza kujenga, unaendelea na ulipaji wa deni, hiyo nyumba inakuwa yako au inakuwa mali ya bank?

Sijui kwa nini, kila mara watetezi wa Serikali na Rais, wanakuwa ni watu wale wajinga wajinga, wanaoshindwa kufanya reasoning.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Na huo ndio ukweli, tatizo la wizara ya afya kuajiri bila kuwafanyisha interview hayo ndio mazara yake, wanakua hawana uchungu na kazi kabisa. Wizara ianze kuwafanyisha interview hawa jamaa wafanye interview mbili written na oral watajifunza kuheshimu kazi
 
Mh! Kaka bora kukata kimya tu. Usiongee vitu usivyovijua. Nenda kafanyiwe upasuaji wa figo muhimbili Na Bugando au kCMC halafu ulete mrejesho Kama gharama ni tofauti.
Kikubwa Ni kuwa huko hospitali binafsi nako anahudumia raia. Hebu jiulize kea Nini Magufuli aliacha ualimu akaenda kwenda siasa, tena hata kwenye siasa mara kadhaa anapita bila kupongwa. Hilo sio suala kubwa kwa kuwa kote anahudumia raia. Kwa hiyo kwenda binafsi au serikali wote wanyonge wanahudumiwa.
Comparison yako ni invalid haina relation mzee bado anatumikia Taifa tena kwa weledi mkubwa.
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Linakuwaje sahihi wakati hajui kama yule daktari alikuwa amesomeshwa na serikali? To cut the story short, mzee yule kapotoka na hana busara kichwani mwaka!
 
Kuna sheria ipo kuhusu hilo
Hakuna Sheria asilani,watu wa kada mbalimbali wanaacha kazi Tena Mara tu baada ya kuripoti wakiona mazingira ya kazi sio.
Labda sasa itungwe Sheria au kanuni mtu akiajiriwa lazima afanye kazi miaka kadhaa au taratibu za kuacha kazi ziangariwe upya
Sio ghafula jukwaani

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sehemu zipi hizo za 5 years???

Je kuna kifungu cha sheria kinasema hospital binafsi ifungwe kwasababu tu dr amehamia hapo kutoka hospital ya taifa????
Bro kwanza ikifungwa nani ataathirika, sababu hospitali binafsi zinapunguza msongamano kwenye hospitali za serikali, na sio kweli wanaotibiwa hospitali za binafsi wanafedha nyingi bali ndugu zao wanawachangia ili watibiwe huko kutokana na umuhimu wao katika jamii, kama vile serikali inavyo wapeleka watu wake huko nje kutibiwa kutokana na nafasi zao.
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Kwamba na hospital alikoenda ifungiwe?
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
acha kukurupuka, unahisi wote wamesikia hiyo kauli? andika vizuri wakati unakuja na ujinga wa wenzako, na bahati mbaya hawakujui kuwa unakula matapishi yao ili wakufikirie
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Alisema wamempa mkopo sio scholarship..

Kwani ukifanya Kazi private huo mkopo hulipi?

Mbona rafiki yangu yupo private na bodi inakata hukohuko?

#YNWA
 
Walamba nyayo at their best!

Jamaa lina 'wivu' na uchungu kama wa mimba likiona Madktari wananeemeka.
 
Kwanini mnawapingia?
Sina uzoefu sana Lakini nasikia kuna makundi mawili
Kundi la kwanza ni pale serikali inapokuwa na uhitaji. Wafanyakazi wanasomeshwa na serikali wakiwa kazi;
Hawa hupewa ufadhili na serikali kwa kulipiwa gharama zote. Pia huendelea kupokea nusu mshahara akiwa huko masomoni..akimaliza anarudi kazini kupewa majukumu mapya na mkataba maalum
Kundi la pili: Mfanyakazi binafsi anapoamua kwenda kuongeza elimu bila kujali mahitaji ya mwajiri. Huyu yeye hujitafutia ufadhili binafsi au kujigharamia mwenyewe na anapokuwa huko ataomba likizo isiyo na malipo namshahara wake husimamishwa,na wengine hutakiwa kuacha kazi kabisa na ataomba upya akirudi
Mwenye uelewa ajazie
 
Kwanini mnawapingia?
Sina uzoefu sana Lakini nasikia kuna makundi mawili
Kundi la kwanza ni pale serikali inapokuwa na uhitaji. Wafanyakazi wanasomeshwa na serikali wakiwa kazi;
Hawa hupewa ufadhili na serikali kwa kulipiwa gharama zote. Pia huendelea kupokea nusu mshahara akiwa huko masomoni..akimaliza anarudi kazini kupewa majukumu mapya na mkataba maalum
Kundi la pili: Mfanyakazi binafsi anapoamua kwenda kuongeza elimu bila kujali mahitaji ya mwajiri. Huyu yeye hujitafutia ufadhili binafsi au kujigharamia mwenyewe na anapokuwa huko ataomba likizo isiyo na malipo namshahara wake husimamishwa,na wengine hutakiwa kuacha kazi kabisa na ataomba upya hasa kwenye mashirika akirudi
Mwenye uelewa ajazie
 
Sina uzoefu sana Lakini nasikia kuna makundi mawili
Kundi la kwanza ni pale serikali inapokuwa na uhitaji. Wafanyakazi wanasomeshwa na serikali wakiwa kazi;
Hawa hupewa ufadhili na serikali kwa kulipiwa gharama zote. Pia huendelea kupokea nusu mshahara akiwa huko masomoni..akimaliza anarudi kazini kupewa majukumu mapya na mkataba maalum
Kundi la pili: Mfanyakazi binafsi anapoamua kwenda kuongeza elimu bila kujali mahitaji ya mwajiri. Huyu yeye hujitafutia ufadhili binafsi au kujigharamia mwenyewe na anapokuwa huko ataomba likizo isiyo na malipo namshahara wake husimamishwa,na wengine hutakiwa kuacha kazi kabisa na ataomba upya akirudi
Mwenye uelewa ajazie
Ndiyo maana wizara itoe tamko rasmi la ki mazingira linaloendana na huo mkataba
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.

Wizara ya afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Tufahamishe ni muda gani unatakiwa halafu huyo ndugu alikaa muda gani??
Nini maana ya kusomeshwa,na je unaweza toa ufafanuzi ama utofauti kati ya elimu bure itolewa la kwanza mpaka form four na elimu inayotolewa chuo kikuu kwa mkopo???
 
Back
Top Bottom