Uchaguzi 2020 Upotoshaji wa hotuba ya Waziri Mkuu, jibu ni hili

kukumweupe

JF-Expert Member
Apr 18, 2020
439
599
Wapotoshaji Horuba ya ofisi ya waziri mkuu bungeni kuhusu ajira hii hapa

Mheshimiwa Spika, mafanikio haya katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii yameenda sambamba na uzalishaji wa ajira zipatazo milioni 12.6 zikiwemo ajira za moja kwa moja milioni 11.7 kwenye sekta mbalimbali nchini.

Kwa mfano:
Sekta za Afya, Elimu na Utawala zimetoa ajira za kudumu kwa kuajiri watumishi 28,403 katika mamlaka za Serikali za Mitaa;

Mradi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa umewezesha kuzalishwa ajira zipatazo 13,177 za kitaalam na zisizo za kitalaam. Kati ya hizo, ajira za kitaalam kwa wazawa ni asilimia 46.5. Pia kupitia mradi huu kumekuwa na utoaji wa zabuni zenye thamani ya Shilingi bilioni 664.7 kwa wazabuni na wakandarasi wa ndani 640;

Mradi wa umeme wa mwalimu Nyerere kupitia maporomoko ya mto Rufiji umezalisha jumla ya ajira 3,897 ikiwemo ajira za wazawa 3,422;
Ufufuaji wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL) pamoja na kuboresha viwanja vya ndege jumla ya ajira 2,970;

Ujenzi wa Viwanda nchini jumla ya ajira zilizozalishwa ni 41,900;

Ujenzi na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Hospitali za Wilaya, vituo vya afya, Zahanati, Madarasa, Nyumba na majengo maeneo mapya ya utawala, Miradi ya barabara chini ya TARURA kwa kutumia Force Account jumla ya mafundi 845,348 walipata ajira za mikataba na muda.
 
Ule uzi wa upotoshaji umeachwa kwa makusudi ili kupotosha umma
Wapotoshaji Horuba ya ofisi ya waziri mkuu bungeni kuhusu ajira hii hapa

Mheshimiwa Spika, mafanikio haya katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii yameenda sambamba na uzalishaji wa ajira zipatazo milioni 12.6 zikiwemo ajira za moja kwa moja milioni 11.7 kwenye sekta mbalimbali nchini.

Kwa mfano:
Sekta za Afya, Elimu na Utawala zimetoa ajira za kudumu kwa kuajiri watumishi 28,403 katika mamlaka za Serikali za Mitaa;

Mradi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa umewezesha kuzalishwa ajira zipatazo 13,177 za kitaalam na zisizo za kitalaam. Kati ya hizo, ajira za kitaalam kwa wazawa ni asilimia 46.5. Pia kupitia mradi huu kumekuwa na utoaji wa zabuni zenye thamani ya Shilingi bilioni 664.7 kwa wazabuni na wakandarasi wa ndani 640;

Mradi wa umeme wa mwalimu Nyerere kupitia maporomoko ya mto Rufiji umezalisha jumla ya ajira 3,897 ikiwemo ajira za wazawa 3,422;
Ufufuaji wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL) pamoja na kuboresha viwanja vya ndege jumla ya ajira 2,970;

Ujenzi wa Viwanda nchini jumla ya ajira zilizozalishwa ni 41,900;

Ujenzi na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Hospitali za Wilaya, vituo vya afya, Zahanati, Madarasa, Nyumba na majengo maeneo mapya ya utawala, Miradi ya barabara chini ya TARURA kwa kutumia Force Account jumla ya mafundi 845,348 walipata ajira za mikataba na muda.
 
Tatizo la vijana wa ufipa wakitajiwa ajira wanawaza payroll za serikali
Wanafikiri kuwa ajira mpaka uajiliwe na serkal wakiona mtu amejiajiri wajui serkali inachukua takwimu hata za walijiajiri
 
Kazi ya serikali sio kuajiri ni kutengeneza mazingira na miundo mbinu ya ajira
 
Nawaona tu MATAGA mkijimwambafai kwenye huu uzi wenu mlio uanzisha! Hofu imewajaa kweli kweli! hasa baada ya wale wafadhili wenu (MABEBERU) kuwang'ang'ania shingo kwa kuhitaji Uchaguzi Huru na wa Haki ifikapo hiyo Oktoba 2020!

Sijui mtarudia tena yale maigizo yenu ya mwaka jana! Sijui mtaufyata!!🤔
 
Back
Top Bottom