Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,756
Iko mbioni....Kwani ukimwi wametoa chanjo?
Iko mbioni....Kwani ukimwi wametoa chanjo?
Nadhani wote wangekaa kimya tuMajukwa yanatawala pro chanjo tu, anti chanjo wamepotea, Sasa kama chanjo ni hiari ya nini kuparurana kati ya wanaochanjwa na wasiochanjwa? Au ni kutaka sifa tu kuwa wamechanjwa wengi covax wafurahi? Kama waliaminishwa tangawizi na malimao yana kinga tatizo liko wapi? Hiyo chanjo watachanja tu kadiri ya muda unavyoenda na hali ya maambukizi itakavyokuwa