#COVID19 Upotoshaji wa Chanjo ya CoVid 19: Nusura nijeruhiwe na Wanakijiji

Majukwa yanatawala pro chanjo tu, anti chanjo wamepotea, Sasa kama chanjo ni hiari ya nini kuparurana kati ya wanaochanjwa na wasiochanjwa? Au ni kutaka sifa tu kuwa wamechanjwa wengi covax wafurahi? Kama waliaminishwa tangawizi na malimao yana kinga tatizo liko wapi? Hiyo chanjo watachanja tu kadiri ya muda unavyoenda na hali ya maambukizi itakavyokuwa
Nadhani wote wangekaa kimya tu
 
Back
Top Bottom