Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Kikwete analinda biashara zake pamoja na washirika wakeKikwete katusababishia hasara kubwa sana.
Kwenye awamu yake tumepoteza fedha nyingi kupitia Epa, Richmond, Madini , hakika Taifa liliingia hasara kipindi chake.
Hilo halina mjadala. Hakuwa makini vya kutosha kuhakikisha Taifa letu linapata haki yake kupitia Rasilimali zake. Hapo hakwepi.