badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,451
- 2,696
- Thread starter
- #21
Yes ulichoandika n sahihi kwa .Mana jamii zote diniani Zina Mila zao za kuwakimbuka marehemu wao .Nakupa mfano unaweza zaa mtoto mtoto ukamuita jina flani lakini akalikataa hadi umpe lile la asili ndo anakua vzr.Pia ni haohao mizimu ndo wanatulinda ambao mnandangnywa na wazungu eti n malaika.Umeongea up kweli Shukurani Sana.
Asante kwa kuelewa