Upotofu juu ya matumizi ya ARV na HIV/ AIDS

HIV +Ve is not a threat, your mind is. Ushauri wangu, ARV ni bomu ambalo sishauri mtu atumie badala yake chakula sahihi ni tiba tosha ya magonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila wakweli wapo..kuna mmoja nilikutana naye before anything she opened up to me that she is HIV positive..mpaka leo ni mshikaji wangu wa faida kabisa.
Hukunielewa kwa undan. Niliwalenga waliotuletea hiv VIRUS kwa sabab zao. Najua unawajua
 
Watu wanapotoshwa sana, ingekua ukimwi haupo bas vipimo visingeonyesha +ve na -ve kwa watu tofauti, vingeonyesha majibu sawa kwa wote. ARV ni muhimu pamoja na lishe bora kwa mtu aliyeathirika.
Mkuu, embu jaribu kuwa muelewa na twende taratibu.

Kile kipimo unachopima Hospital wanachochukua damu, kipimo kinapima Virus ama Kinga ndani ya mwili?

UKIMWI (UPUNGUFU WA KINGA MWILINI) ila kitu kinachoitwa VVU (Virusi wa Ukimwi) HAKIPO. HAKUNA ALIYEWAHI KUTHIBITISHA UWEPO WA HII KITU.

Upungufu wa Kinga waweza kusababishwa na mambo mengi ila sio hiko kirusi ambacho hakipo.

AIDS ni Business.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinaniuma kama binadam mwenzako kukupa ugonjwa ili akuuzie dawa,. Akudhoofishe kiuchumi ili akukope kwa riba kubwa. Akufanyie majaribio ya silaha. Alaf unamshukuru na kumpa majina mazuri.
Hakika wewe akili zako hazipo ndani ya Box, wewe ni mtu unayeona mbali saana.

Thabo Mbeki wa South alifunguliwa mashtaka kisa kusema ARV ni business.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kuna tetesi kwamba ukitumia ARV na kufuata masharti yake kama kula vizuri, mazoezi na nk. wengine wakirudi kupima huwa mashine hazioni virus.
Kitaalam imekaaje hii...jee sii hatari kwa wapenzi wapya kama vipimo vitakua havionyeshi virus.
 
Back
Top Bottom