REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,394
- 9,279
Acha ubishi wa kitoto wenzako tumeona mengi Dunia hii usichukulie vitu simple simple au nikupigie usiku huu twende ukajue mambo ya asili 😂😂😂😂 jokesNi kweli kama ni maharifaa sina, nielekeze yanapatikana wapi, Lakini kama ni maarifa ninayo na nazidi kuwa nayo, day after day