kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tanzania tuna kila kitu kuanzia rasilimali watu (60M+ population), rasilimali fedha na natural resources zakutosha kujiendesha wenyewe bila kutegemea mtu,nchi au shirika la nje.
Aidha, tunaamini na ndivyo ilivyo kwenye nadharia kwamba nchi jirani zaidi ya nane zinatuhitaji sisi ziweze kujiendesha kuliko sisi tunavyowahitaji tujiendeshe.
Kwa haya machache, kwanini sisi tusiamue kuachana kabisa kushirikiana na MABEBERU ambao wameonyesha wazi kuimezea mate Tanzania? Wameleta kila uovu yakiwemo magonjwa, tukiamua kutoshirikiana nao tutapata madhara gani?
Aidha, tunaamini na ndivyo ilivyo kwenye nadharia kwamba nchi jirani zaidi ya nane zinatuhitaji sisi ziweze kujiendesha kuliko sisi tunavyowahitaji tujiendeshe.
Kwa haya machache, kwanini sisi tusiamue kuachana kabisa kushirikiana na MABEBERU ambao wameonyesha wazi kuimezea mate Tanzania? Wameleta kila uovu yakiwemo magonjwa, tukiamua kutoshirikiana nao tutapata madhara gani?