kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kama kuna sehemu viongozi wa dini walipotea nikumsikiliza mwanadamu Mwanasiasa mwenye uchu wa madaraka kuwaelekeza kuunda kamati za Amani.
Kamati ya amani ya jiji la Dar es Salaam ni moja ya kamati zilizokosa sifa na ueledi wakukemea maovu. Ni moja ya kamati zilizoendeshwa zaidi na wanasiasa kuliko msimamo wa imani wakimtanguliza Mungu.
Yalitokea matukio mengi na yanazidi kutokea matukio ya vifo na uvunjifu wa amani lakini kati yao ni kiongozi mmoja tu wa dini aliyeweza kusimamia ukweli.
Kwa kuwa walibeba agenda ya siasa wakaacha agenda ya neno la Mungu tunaanza kushuhudia mfarakano wanaoleta kwenye nafsi za waumini.
Bila toba ya kweli hakuna kiongozi Kati wale walioshiriki hizi kamati za Amani atakayetoka bila kujeruiwa nafsi. Msimchezee Mungu kwa kuwafumbia macho wanadamu, mmekosa sana, jitathiminini kwa namna mnavyotumika.
Si afya kiongozi wa dini kumezwa na watu wenye uchu wa madaraka, simamieni haki, litangazeni neno la Mungu, kemeeni maovu.
Kamati ya amani ya jiji la Dar es Salaam ni moja ya kamati zilizokosa sifa na ueledi wakukemea maovu. Ni moja ya kamati zilizoendeshwa zaidi na wanasiasa kuliko msimamo wa imani wakimtanguliza Mungu.
Yalitokea matukio mengi na yanazidi kutokea matukio ya vifo na uvunjifu wa amani lakini kati yao ni kiongozi mmoja tu wa dini aliyeweza kusimamia ukweli.
Kwa kuwa walibeba agenda ya siasa wakaacha agenda ya neno la Mungu tunaanza kushuhudia mfarakano wanaoleta kwenye nafsi za waumini.
Bila toba ya kweli hakuna kiongozi Kati wale walioshiriki hizi kamati za Amani atakayetoka bila kujeruiwa nafsi. Msimchezee Mungu kwa kuwafumbia macho wanadamu, mmekosa sana, jitathiminini kwa namna mnavyotumika.
Si afya kiongozi wa dini kumezwa na watu wenye uchu wa madaraka, simamieni haki, litangazeni neno la Mungu, kemeeni maovu.