Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,776
Unamkuta Mshkaji Demu keshamsamamba kisenzi .
Demu keshamcosti kwanja ndefu .
Mishoping ya kutosha , miblackibery , milaptop , mivocha na midude mengine .
Hata hivyo ktk "muktadhashangazo"
Bingwa hajaona ndani !
Manzi anaruka viunzi ka'Usain Bolt !
Majuzi kati Demu kabugi step , na kajikuta katia maguu getoni kwa Mshkaji .
Wako geto na Bingwa wawili tu! Sie Maswahiba zake Mshkaji tulipoliona hilo , ligolden chanse tukawa tumefarijika nafsi zetu , tukijua Mzee-Mzima leo saa zote kwake zimekua kamili .
Hatuna punje ya shaka atafidia maumivu yoote aloyapata kumhusu Shori yule .
Yaliojiri geto , Mshkaji badala afanye kweli , akaanza story , mara amdaunilodie scripts , mara umejiunga whatsapp? Face book je? Mara kamuwekea Cd ya Kilimo cha miwa Brazil .
Mapazia yalikua yameshushwa , ye ndo akayafunua .
Demu ndo kuona uzushi , Bingwa hasomeki !
Demu :
"Baby mi nasepa"
Bingwa wetu :
"Poa tu, sasa utakua na nafasi lini ?"
Demu :
"siku yeyote"
Kesho yake mi nakutana na huyu Demu , ananiuliza hivi "yule jamaa yako mzima?"
Namuuliza
"kwani vipi ?"
ndo kunishushia shuzi hili .
Demu keshamcosti kwanja ndefu .
Mishoping ya kutosha , miblackibery , milaptop , mivocha na midude mengine .
Hata hivyo ktk "muktadhashangazo"
Bingwa hajaona ndani !
Manzi anaruka viunzi ka'Usain Bolt !
Majuzi kati Demu kabugi step , na kajikuta katia maguu getoni kwa Mshkaji .
Wako geto na Bingwa wawili tu! Sie Maswahiba zake Mshkaji tulipoliona hilo , ligolden chanse tukawa tumefarijika nafsi zetu , tukijua Mzee-Mzima leo saa zote kwake zimekua kamili .
Hatuna punje ya shaka atafidia maumivu yoote aloyapata kumhusu Shori yule .
Yaliojiri geto , Mshkaji badala afanye kweli , akaanza story , mara amdaunilodie scripts , mara umejiunga whatsapp? Face book je? Mara kamuwekea Cd ya Kilimo cha miwa Brazil .
Mapazia yalikua yameshushwa , ye ndo akayafunua .
Demu ndo kuona uzushi , Bingwa hasomeki !
Demu :
"Baby mi nasepa"
Bingwa wetu :
"Poa tu, sasa utakua na nafasi lini ?"
Demu :
"siku yeyote"
Kesho yake mi nakutana na huyu Demu , ananiuliza hivi "yule jamaa yako mzima?"
Namuuliza
"kwani vipi ?"
ndo kunishushia shuzi hili .