Uchaguzi 2020 Upinzani watoe Ilani zao za Uchaguzi yaani “Election Manifesto" acheni porojo hazina Tija

Hpn mkuu hiyo sera ipo toka 2004 huko miaka 10 kabla Kenya hawajaanza kutumia mfumo wa majimbo.

Pia hta kucopy sio kitu kibaya maana unakua umejifunza kitu kipya. Mfano ''CHADEMA digital'' ni lazima tu itaigwa na vyama vingine hpa Africa mashariki na kati!! Maana inaendana na wakati uliopo
Hahahaaa.
Ahsante kwa maelezo nilitaka uone tu hakuna jipya.
 
Mkuu, mimi najikumbusha nadharia za Karl Max na Friedrich Angels.

Vita vya matabaka, ubepari na mfumo wa uzalishaji mali wa kibepari.

Hawa mazee mwisho wa kitabu chao ndo walitoa hoja isemayo " "forcible overthrow of all existing social conditions",

Karibu sana.
Watakuelewa kweli gawa wakereketwa wa vyama?
 
Ilani ya uchaguzi au kwa kiingereza huitwa election manifesto ni kabrasha litolewalo na chama cha siasa ambalo limesheeni mawazo na sera zote.

Mara nyingi chama cha siasa kikishinda uchaguzi huweza kupimwa mafanikio yake kutokana na utekelezwaji wa ilani yake ya uchaguzi.

Kwa miaka mitano ilopita haitii shaka yoyote kwamba CCM imesimamia ilani yake ya uchaguzi na kuhakikisha inatekelezwa kwa asilimia 80 au zaidi.

Sasa bila kuoindapinda kona Chadema na vyama vingine vya upinzani wanatakiwa watoe ilani zao za uchaguzi kila mmoja kwa wakati wake.

Ilani ya uchaguzi huandaliwa na kundi la watu ambao wote hukaa pamoja na kwa lengo moja kushinda uchaguzi na kushika dola.

Dalili zote kwamba upinzani unaenda kwenye uchaguzi kupoteza viti vingi bungeni zajionyesha.

Ni makosa yaleyale ya miaka nenda rudi tangu sheria ya vyama vingi ipitishwe mwaka 1992.

Mpaka sasa Agustino Mrema ndie kiongozi pekee wa upinzani ambae alitoa ilani ya uchaguzi ya NCCR mageuzi na akatoa upinzani wa kutosha kwa mgombea wa CCM mwaka 1995 marehemu Benjamin Mkapa.

Sasa basi, mwaka huu hali si kama ile ya 1995 hali ni ngumu na ni vigumu kuishinda CCM, tusiwe wanafiki.

Ila bado Chadema ya Tundu Lissu na vyama vingine toeni ilani zenu za uchaguzi ili wananchi angalau waone mmejitahidi.

Hata kama ni mdahalo mnaouhitaji lakini kwenye mdahalo mtakinzana kwenye ilani zenu za uchaguzi na si shutuma za yule kafanza nini ama yule vipi.

Ndo maana ni vigumu kwa Tanzania kufanya midahalo kama hakuna sera kila upande.

Acheni porojo na blahbla za oh! mara jogoo kanunuliwa na kadhalika.

Karibu.
Kwani Polepole amekuambia kuwa Chadema hawana Ilani ya uchaguzi? Ngojeni kipenga kipulizwe,
 
Ilani ya uchaguzi au kwa kiingereza huitwa election manifesto ni kabrasha litolewalo na chama cha siasa ambalo limesheeni mawazo na sera zote.

Mara nyingi chama cha siasa kikishinda uchaguzi huweza kupimwa mafanikio yake kutokana na utekelezwaji wa ilani yake ya uchaguzi.

Kwa miaka mitano ilopita haitii shaka yoyote kwamba CCM imesimamia ilani yake ya uchaguzi na kuhakikisha inatekelezwa kwa asilimia 80 au zaidi.

Sasa bila kuoindapinda kona Chadema na vyama vingine vya upinzani wanatakiwa watoe ilani zao za uchaguzi kila mmoja kwa wakati wake.

Ilani ya uchaguzi huandaliwa na kundi la watu ambao wote hukaa pamoja na kwa lengo moja kushinda uchaguzi na kushika dola.

Dalili zote kwamba upinzani unaenda kwenye uchaguzi kupoteza viti vingi bungeni zajionyesha.

Ni makosa yaleyale ya miaka nenda rudi tangu sheria ya vyama vingi ipitishwe mwaka 1992.

Mpaka sasa Agustino Mrema ndie kiongozi pekee wa upinzani ambae alitoa ilani ya uchaguzi ya NCCR mageuzi na akatoa upinzani wa kutosha kwa mgombea wa CCM mwaka 1995 marehemu Benjamin Mkapa.

Sasa basi, mwaka huu hali si kama ile ya 1995 hali ni ngumu na ni vigumu kuishinda CCM, tusiwe wanafiki.

Ila bado Chadema ya Tundu Lissu na vyama vingine toeni ilani zenu za uchaguzi ili wananchi angalau waone mmejitahidi.

Hata kama ni mdahalo mnaouhitaji lakini kwenye mdahalo mtakinzana kwenye ilani zenu za uchaguzi na si shutuma za yule kafanza nini ama yule vipi.

Ndo maana ni vigumu kwa Tanzania kufanya midahalo kama hakuna sera kila upande.

Acheni porojo na blahbla za oh! mara jogoo kanunuliwa na kadhalika.

Karibu.
Upinzani ni makanjanja, wanasubiri CCM watoe yao ili wakopi
 
Mbona jana ilani zimechambuliwa. Na sera ya wanawake imezinduliwa jana!! Mfano

1. devolution ili kuzipa mamlaka kadhaa serikali za majimbo/halmashauri kujiendesha.
2. Kuwekeza kwenye kampeni ya kuendeleza miji ili watu wasikimbilie mjini, na kupunguza regional disparities.
3. Kuhusisha zaidi sekta binafsi kwenye kusogeza uchumi mbele na serikali ibaki kma regulator tu. (Ikumbukwe agenda kuu ya chadema ni uchumi wa soko/market economy)
4. Kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kurahisisha access ya mitaji kwa graduates wasio na collaterals kuombea mkopo (Wamesema watasusha makato ya HESLB mpka 3%)
5. Kuongeza purchasing power ya wananchi kwa kupunguza mrundikano wa makato (target iwe 30% pekee ndio ikatwe kwenye mshahara/income ya mfanyakazi sio sasa ambapo inafika 48%+).

Summary tu ila ilani ilichambuliwa jana vizuri tu
Zipigiwe chapuo zaidi maana wananchi hawajazisikia.
 
Unadhani tangu tupate Uhuru mwaka 1961 zimepita ilani ngapi za uchaguzi? Na zimesaidia nini?

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Pengine hufahamu kuwa maendeleo yalipofikiwa ni matokeo ya ilani tofauti zilizowekwa.
Umeme Kidatu 200 MW
Barabara kusinu na daraja la Mkapa
Ujenzi wa Shule za Kata
Ujenzi wa Zahanati kila kata kulingana na population iliyopo
Kuendeleza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa proffessional
nk, nk, nk
Hayo yote ni matokeo ya ilani tofauti.
 
Ni kweli kabisa.
Naona CHADEMA are basking in the sunshine ya kumuona Lissu tena.
Wanasahau kuwa mwishowe Lissu atachusha na matatizo ya wananchi yako pale pale.
Hatujasikia siasa mbadala ambazo zimejengwa na sera zinazoeleweka.

Lissu si chakula cha kuliwa mezani.
Ukijaribu kutafuta mwenye akili kubwa miongoni mwa hawa makamanda humpati. Hakuna wa kufikiria hayo. Wanadhani Lisu ni full package.
 
Ni machafuko kwa sababu Upinzani unajiamini utashinda uchaguzi kinyume na matakwa ya wapiga kura ambao wanangojea kuwapa kura nyingi CCM.

Hiyo ndo hali halisi.

Wenzenu wamezunguka nchi nzima na wameimaliza kuwa kununua jogoo mmoja matata sana wa kitoweo.

Kisha wasingizie wameporwa kura.

Sasa kama wasema utaingiza watu barabarani unakuwa watania au?

Hizo si ni vurugu hizo?

Nimefuatilia toka mwanzo wa mjadala ili nione hoja zako. Baada ya zito junior kuja na hoja za msingi, naona umeishia kuongea utoto mtupu.
 
Devolution mmecopy Kenya sio mawazo yenu.so hakuna mpya, hata hizo zingine am sure mmecopy hahaa.

Hata siasa ya ujamaa na kujitegemea tulicopy China, sasa sijui hoja yako ni nini hapa.
 
Ilani za uchaguzi ni utaratibu upo duniani kote.

Sio ilani za duniani... Huyo ameuliza ilani za CCM tokea tumepata Uhuru Hadi leo zimesaidia Nini wananchi...

Alafu kabla ya kudai ilani za wapinzani dai ilani ya CCM....
 
Hata siasa ya ujamaa na kujitegemea tulicopy China, sasa sijui hoja yako ni nini hapa.
Kucopy na kujidai ni kitu kipya.
Acknowledge mnacopy toka sehemu flani, kila kitu kina muasisi wake.
 
Mbona jana ilani zimechambuliwa. Na sera ya wanawake imezinduliwa jana!! Mfano

1. devolution ili kuzipa mamlaka kadhaa serikali za majimbo/halmashauri kujiendesha.
2. Kuwekeza kwenye kampeni ya kuendeleza miji ili watu wasikimbilie mjini, na kupunguza regional disparities.
3. Kuhusisha zaidi sekta binafsi kwenye kusogeza uchumi mbele na serikali ibaki kma regulator tu. (Ikumbukwe agenda kuu ya chadema ni uchumi wa soko/market economy)
4. Kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kurahisisha access ya mitaji kwa graduates wasio na collaterals kuombea mkopo (Wamesema watasusha makato ya HESLB mpka 3%)
5. Kuongeza purchasing power ya wananchi kwa kupunguza mrundikano wa makato (target iwe 30% pekee ndio ikatwe kwenye mshahara/income ya mfanyakazi sio sasa ambapo inafika 48%+).

Summary tu ila ilani ilichambuliwa jana vizuri tu

Safi sana mgosi ngoja nami nigosoe.

1. Huwezi kufanya devolution kwa ajili ya kuruhusu serikali za mitaa kujiendesha.

hata hivyo serikali za mitaa kwa mfano zinajikusanyia mapato yake binafsi mbali ya ile nyongeza kutoka serikali kuu.

Kutokana na hivyo tumeona serikali nyingi za miataa zikijenga masuala kama masoko makuu na vituo vya mabasi.

Hiyo ni fedha inayokusanywa na serikali za miataa.

nafikiri wakumbuka Dodoma iliidizi kimapato Dar-es-salaam wakati fulani hata makonda akashangaa sana.

2. Uko sawa tunahitaji balance na nafikiri hiyo iko katika azma ya serikali pale ilipoamua kuwapatia wajasirimali kitambulisho na pia kuwasamehe kulipa kodi endapo mapato yao hayazidi milioni 4 kwa mwaka.

3. Ukisema "Market economy" wamaanisha kwamba kuwe na "unrestricted competition" kwenye uzalishaji na bei ya bidhaa masokoni na madukani.

Ukifanya hivyo utarudi kulekule kwenye wale wanaotaka kuingiza bidhaa zao nchini ambapo bidhaa zingine ni fake na hazikidhi ubira na zingine ni sumu.

4. tatizo la ajira lipo duniani kote hata huko USA na Ulaya hili tatizo ni kubwa sana maana vijana wa miaka 24 pia wanashia mitaani na kwa kuwa nchi hizi ni kubwa kiuchumi wana uwezo wa kuwaoat handouts hawa vijana.

hapa tatizo ni sekta binafsi kuwa tayari kuchangia uchumi wa nchi ukue kwa kbuni miradi, makampuni, viwanda na hta small workshops ili ajira au apprentiships ziweze kwasaidia hao graduates kupata uzoefu wa kazi na skills zinazohitajika.

Tatizo jingine ni kwamba vijana wanapotaka kuingia chuo kikuu wanapaswa kuangalia manufaa ya degree anayosomea sio kwa mfano mtu anaingia chuo anasomea uandishi wa habari wakati sekta hiyo ina high competetion.

Eneo kubwa ambalo bado lipo "untapped" ni kilimo, ugavi na uboharia au warehousing.

Serikali yoyote iwe CCM au Chadema ina budi kuwawezesha wakulima na hao graduates kuendesha sekta hiyo kisasa.

Lakini CCM inaye kijana Hussein Bashe ambae akiwa naibu wizara ya kilimo amejaribu sana kutengeneza mazingira ya kukiweka kilimo kiwe cha kisasa.

Tatizo kubwa sana la vijana wengi na ile "mentality" yetu waafrika ni kusoma ili uajiriwe au ujitegemee.

Huwezi kukaa tu utafuniwe kila kitu ni lazima uwe mjanja usome kozi ya kukusaidia kujitegemea na hata ukiomba mkopo benki kinaeleweka.

5. You are wrong, mimi wakati nikiwa ughaibuni nilikuwa nakatwa asilimia 20 ya mshahara wangu na baada ya hapo kuna VAT ya madukani, kuna makato ya kulipa pango, kuna kodi ya maendeleo yaani kodi ya manispaaa na ukimaliza makato hayo tusema wabakia na kiasi cha kufanya shopping, vinguo kidogo na "other miscellaneous".

Hata hivyo "purchasing power" sifahamu wazungumzia kwa wananchi wa aina gani kwani hata mradi wa umeme vijijini unakusudia kupunguza ukali wa maisha kwa kulipa elfu 27,000 tu .
 
Mkuu pengine ni mgeni kwenye siasa. Opposition nyingi sana duniani huwa zina malengo ya kuchukua dola lakini kwa gradual process sio spontaneous.

Mfano chama kikuu cha upinzani sauzi kinaitwa DA kilikua na lengo la kupunguza ushindi wa ANC walau ufike 50%. Na ichukue majimbo 100+. Na kiukweli malengo yapo realistic na walifanikiwa kiasi.

Je walikua wapumbavu? Mifano ipo mingi hta Kenya kule tuliona kuna vyama vilishiriki ili tu kuretain Majimbo na County walizomiliki na sio kuongeza. Case ya Wiper n.k

Ila Tanzania sijawahi ona chama kikisema kinagombea ili kishinde tu majimbo 100 na urais wafike 30%!!! Sasa ni lini hao wapinzani hawajawahi kuitaka dola?

Kama ni gradual process basi hakuna haja ya kusema ukishindwa utaingiza watu barabarani.

Maana unakuwa wajongea taratibu kuelekea kukubalika na electorate.

Pili, kama ni gradual process Chadema iko tangia 1992, hivyo hiyo point ni irrelevant.

Sasa hivi ungesema Chadema watapiga kampeni kumaliza nchi nzima khasa huko vijijini ningekuwelewa maana ndio eneo lililobakia kujitanua mabawa yake.
 
Nimefuatilia toka mwanzo wa mjadala ili nione hoja zako. Baada ya zito junior kuja na hoja za msingi, naona umeishia kuongea utoto mtupu.

I reserve my comment.

For you.

For now.
 
Back
Top Bottom