kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Watakaoleta vurugu ni wale walioko madarakani. Walioko madarakani wasio tayari kushindwa wataleta vurugu. CCM, wanahubiri sana vita na kutishia watu na kuwaaminisha kwamba kuchagua upinzani ni kuleta vita. Hii imeshapita a wakati.
CCM na yule umimi wao, madarakani matamu ndo watakao let's vurugu. Tume ya uchaguzi, ila na upendeleo kwa chama tawala,,italeta vurugu.
AMANI ni tunda la HAKI, CCM hawapendi kuzungumzia haki. Ndo maana wanag'ang'ani kitu kimoja tuu Amani. Kwa ccm, neno HAKI ni mwiko. Wataongelea yote lakini sio mgombea, wala wapambe wake hawazungumzii swala la HAKI.
Wanacho jali wao ni Amani na Ushindi. Hawasemi matokeo yakija kinyume chake wakawa wameshindwa, watayapokea? Yaani HAKI ikitendeka.
Ningependa viongozi wa ccm nao waanze kugusia neno HAKI.?
CCM na yule umimi wao, madarakani matamu ndo watakao let's vurugu. Tume ya uchaguzi, ila na upendeleo kwa chama tawala,,italeta vurugu.
AMANI ni tunda la HAKI, CCM hawapendi kuzungumzia haki. Ndo maana wanag'ang'ani kitu kimoja tuu Amani. Kwa ccm, neno HAKI ni mwiko. Wataongelea yote lakini sio mgombea, wala wapambe wake hawazungumzii swala la HAKI.
Wanacho jali wao ni Amani na Ushindi. Hawasemi matokeo yakija kinyume chake wakawa wameshindwa, watayapokea? Yaani HAKI ikitendeka.
Ningependa viongozi wa ccm nao waanze kugusia neno HAKI.?