Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 111
- 175
Mh. Rais Mama Samia Suluhu naomba utoe kauli ya Kuwaruhusu Vyama vya Upinzani kufanya siasa zao kwa Uhuru ikiwepo mikutano ya hadhara kama zama za Mzee Jaka Kikwete. Sheria inawaruhusu ila tamko liliwakataza. Nimuhimu sana watu hawa ukiwafanya kioo chako dhidi ya Serikali Yetu.