Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Chadema nzima mnashindwa kupampana na hoja mnakimbilia kuhisia ''huyu ni fulani?'' pathetic!Yaani ufanyayo hapa ni sawa na mtu aliyetoka bafu la uswahilini (passport size) kisha taulo likadondoka akainama kuliokota.
Wakudadavuwa kumbuka kuna walio simama nyuma yako wanaona nini?