Uchaguzi 2020 Upinzani wa Tanzania wanapigania nini?

kamtesh

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
1,395
512
Mnachopigania ni kitu gani? Wajua kuna ile busara ya kuzaliwa nayo, unaona kabisa uwezo wangu wakushinda Urais hapa sina unapiga porojo tu kusumbua watu. Mnajua mwaka huu fulani anaungwa mkono na Wananchi wengi, sote tumuunge mkono, waapi? Ndo kwanza mwingine anamletea pinganizi mwenzio.

Kuna msemu tunasema Wapinzani wa Afrika kwa ubinafsi wao wanshindwa chaguzi na watu wengi na Vyama Tawala vinashinda na watu wachache. Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Mlishaambiwa CCM lazima itumie dola kubaki madarakani na Polepole alishawahi sema wakati ule anabwabwaja vizuri kuhusu katiba mpya, kwamba," Uchaguzi ukiwa Hutu na haki, CCM wajiandae kukabidhi Ikulu." Sasa yeye Poleple kajiunga nao, na anajua, CCM haiwezi shinda kwa haki. Kwahiyo suluhisho pekee nikutafuta kura za mgombea mmoja za Tsunami ili washindwe hata kuiba.

Hebu wapinzani mtafakari sana mnacho kitaka vingenevyo CCM itaendelea kuwasajiri na kuwagawa ili mzidi kugawanyika. Kwa asilimia kubwa, vyama tawala vilitolea madarakani na muungano au ushirikiano. Fanyeni maamuzi sasa mengine ya fwate badae.

Ukiona mpizana analeta upinzani kwa mpizani mwenzake,panashida hapo. Wote mmesota na ccm kwa miaka 5, halo sio hali, leo tena unalata upinzani kwa mpizani mwenzio. Hiyo ni furaha kwa CCM. Yaani mpo vitani munapigana na adui, halafu ghafla munaanza kupigana wenyewe munamuacha adui. Munafikiri wananchi wanawaelewa vipi?

Sheria ya vipengele vingi kuhusu kuungana kweni wapinzani ilipitishwa na ccm kwa maksudi na ilikua kwa kuua upinzani na kwa vile aliyopo madarakani aliona nguvu ya UKAWA, akaona asipowaparakanisha, atakuja pata taabu sana 2020. Ebu upinzani mujitafakali sana, musitusumbue die wananchi kama hamna nia yakushika dola.

Mfano TLP kina mgombea lakini mwenyekiti wake anaunga mkono Magufuli, sio kwasababu anampenda, hapana, nikwasababu yeye Mrema ni mnufaika, alipewa uwenyeki wa Paroli.

Sitashangaa kuona baada ya uchaguzi wapinzani ushwara wakiteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali kama ahsante kwa kuvuruga upinzani. Ni usaliti mmbaya sana kwa wananchi.

Malawi wameshinda kwa kuungana, Moi na KANU walitolewa kwa kuungana. Tofauti zenu wekeni pembeni kama kweli munadhamira ya dhati ya kuikomboa Tanzania kwa wakoloni weusi jameni.

Watu wamekufa, nakupotezwa na kuumizwa kwasababu ya kudai haki na Uhuru wa kweli. Sasa kazi nikwenu bado Sikh 24. Mukikosea hapa musije mukaja tena mtaani kutwambia upuuzi wenu wakupambana na CCM. GOD WILL PUNISH YOU
 
Ngoja kwanza, kwani wee kwenye vyama uko wapi? NRA,UDP, NCCR, TLP au ADA TADEA? Hivi na nyie wapinzani?
 
Tatizo ni uelewa mdogo wa wapinzani walio wengi ndani ya nchi hii. Hawajui walitakalo daima. Hamuwezi mukanza mikaka ya kuungana wakati wa uchaguzi. Swala lakuunganisha nguvu lingeanza kuzungumzika miaka miwili iliyo pita baina ya vyama pinzani lakini.

Wasaliti wote wasinge husishwa. Mtu kama Lipumba tusha delete yeye kwenye upinzani usaliti alioufanya 2015, ulitosha ndo maana anahangaika bure huko mtaani.

Wapinzani wa design ya Lipumba hatuwataki, we need majemedali kweli kweli, sio wasaka tonge.
 
Si rahisi mwana Lumumba kuwapa ushauri mzuri wapinzani wake,una lako jambo.
 
Hio dola yenye hasira za kutoongezwa mishahara 5 yrs sio ya kuitegemea itakuangusheni
 
Wanataka wafi.ra.ne.
 

Attachments

  • 2539355_IMG-20201004-WA0010.jpg
    2539355_IMG-20201004-WA0010.jpg
    43.8 KB · Views: 1
Wanapigania haki, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uhuru wa wananchi, usalama wa raia wote, demokrasia na kuukomesha udikteta
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
wao wenyewe hawajui wanasimamia nini,halafu wanataka tuwaamini.
 
Upinzani kwa Sasa Ni CDM na ACT,
Hawa wengine Kama CUF na vingine Ni madudu ,kwenye kampeni zao ,watu wanao udhuria huwa awazidi 40. Sasa hao upinzani watatusumbua kweli. Tena pandikizi
 
Mnachopigania ni kitu gani? Wajua kuna ile busara ya kuzaliwa nayo, unaona kabisa uwezo wangu wakushinda Urais hapa sina unapiga porojo tu kusumbua watu. Mnajua mwaka huu fulani anaungwa mkono na Wananchi wengi, sote tumuunge mkono, waapi? Ndo kwanza mwingine anamletea pinganizi mwenzio.

Kuna msemu tunasema Wapinzani wa Afrika kwa ubinafsi wao wanshindwa chaguzi na watu wengi na Vyama Tawala vinashinda na watu wachache. Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Mlishaambiwa CCM lazima itumie dola kubaki madarakani na Polepole alishawahi sema wakati ule anabwabwaja vizuri kuhusu katiba mpya, kwamba," Uchaguzi ukiwa Hutu na haki, CCM wajiandae kukabidhi Ikulu." Sasa yeye Poleple kajiunga nao, na anajua, CCM haiwezi shinda kwa haki. Kwahiyo suluhisho pekee nikutafuta kura za mgombea mmoja za Tsunami ili washindwe hata kuiba.

Hebu wapinzani mtafakari sana mnacho kitaka vingenevyo CCM itaendelea kuwasajiri na kuwagawa ili mzidi kugawanyika. Kwa asilimia kubwa, vyama tawala vilitolea madarakani na muungano au ushirikiano. Fanyeni maamuzi sasa mengine ya fwate badae.

Ukiona mpizana analeta upinzani kwa mpizani mwenzake,panashida hapo. Wote mmesota na ccm kwa miaka 5, halo sio hali, leo tena unalata upinzani kwa mpizani mwenzio. Hiyo ni furaha kwa CCM. Yaani mpo vitani munapigana na adui, halafu ghafla munaanza kupigana wenyewe munamuacha adui. Munafikiri wananchi wanawaelewa vipi?

Sheria ya vipengele vingi kuhusu kuungana kweni wapinzani ilipitishwa na ccm kwa maksudi na ilikua kwa kuua upinzani na kwa vile aliyopo madarakani aliona nguvu ya UKAWA, akaona asipowaparakanisha, atakuja pata taabu sana 2020. Ebu upinzani mujitafakali sana, musitusumbue die wananchi kama hamna nia yakushika dola.

Mfano TLP kina mgombea lakini mwenyekiti wake anaunga mkono Magufuli, sio kwasababu anampenda, hapana, nikwasababu yeye Mrema ni mnufaika, alipewa uwenyeki wa Paroli.

Sitashangaa kuona baada ya uchaguzi wapinzani ushwara wakiteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali kama ahsante kwa kuvuruga upinzani. Ni usaliti mmbaya sana kwa wananchi.

Malawi wameshinda kwa kuungana, Moi na KANU walitolewa kwa kuungana. Tofauti zenu wekeni pembeni kama kweli munadhamira ya dhati ya kuikomboa Tanzania kwa wakoloni weusi jameni.

Watu wamekufa, nakupotezwa na kuumizwa kwasababu ya kudai haki na Uhuru wa kweli. Sasa kazi nikwenu bado Sikh 24. Mukikosea hapa musije mukaja tena mtaani kutwambia upuuzi wenu wakupambana na CCM. GOD WILL PUNISH YOU
Upinzani ni kama mtoto anaelilia mtaji afu hana plan ya kufanyia kazi hela ya mtaji
 
Chadema sio chama kizuri achana nacho mara moja
Chadema kinaongozwa na msaliti wa Nchi Lissu
Chadema ni chama kizuri na kinaweza kua na nia nzuri kwa watanzania. Lakini badala kufocus kuongelea ni nn agenda yao na ni kipi wanataka kukibadilisha tanzania. Wanabaki wanaongelea makosa ya ccm ambapo hata wao wakiingia madarakani watakutana na makosa.
Naipenda chadema pia naipenda ccm. Lakini ushauri wangu kwa chadema ni kwamba wadefine vizuri wanachotaka kukifanya juu ya wananchi. Especially kwenye vitu vinavohusiana na ukoloni mambo leo. Je chadema italinda vipi wananchi kutoka mikononi mwa mabeberu. Maana amini usiamini hii ndo vita kubwa kuliko zote.
 
Vyama vya upinzani lengo lao kubwa ni ruzuku.
Chadema wanajua kabisa kuwa hawana uwezo wa kuongoza nchi, ila focus yao ni kupata ruzuku ili maisha yaendelee...
 
Mnachopigania ni kitu gani? Wajua kuna ile busara ya kuzaliwa nayo, unaona kabisa uwezo wangu wakushinda Urais hapa sina unapiga porojo tu kusumbua watu. Mnajua mwaka huu fulani anaungwa mkono na Wananchi wengi, sote tumuunge mkono, waapi? Ndo kwanza mwingine anamletea pinganizi mwenzio.

Kuna msemu tunasema Wapinzani wa Afrika kwa ubinafsi wao wanshindwa chaguzi na watu wengi na Vyama Tawala vinashinda na watu wachache. Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Mlishaambiwa CCM lazima itumie dola kubaki madarakani na Polepole alishawahi sema wakati ule anabwabwaja vizuri kuhusu katiba mpya, kwamba," Uchaguzi ukiwa Hutu na haki, CCM wajiandae kukabidhi Ikulu." Sasa yeye Poleple kajiunga nao, na anajua, CCM haiwezi shinda kwa haki. Kwahiyo suluhisho pekee nikutafuta kura za mgombea mmoja za Tsunami ili washindwe hata kuiba.

Hebu wapinzani mtafakari sana mnacho kitaka vingenevyo CCM itaendelea kuwasajiri na kuwagawa ili mzidi kugawanyika. Kwa asilimia kubwa, vyama tawala vilitolea madarakani na muungano au ushirikiano. Fanyeni maamuzi sasa mengine ya fwate badae.

Ukiona mpizana analeta upinzani kwa mpizani mwenzake,panashida hapo. Wote mmesota na ccm kwa miaka 5, halo sio hali, leo tena unalata upinzani kwa mpizani mwenzio. Hiyo ni furaha kwa CCM. Yaani mpo vitani munapigana na adui, halafu ghafla munaanza kupigana wenyewe munamuacha adui. Munafikiri wananchi wanawaelewa vipi?

Sheria ya vipengele vingi kuhusu kuungana kweni wapinzani ilipitishwa na ccm kwa maksudi na ilikua kwa kuua upinzani na kwa vile aliyopo madarakani aliona nguvu ya UKAWA, akaona asipowaparakanisha, atakuja pata taabu sana 2020. Ebu upinzani mujitafakali sana, musitusumbue die wananchi kama hamna nia yakushika dola.

Mfano TLP kina mgombea lakini mwenyekiti wake anaunga mkono Magufuli, sio kwasababu anampenda, hapana, nikwasababu yeye Mrema ni mnufaika, alipewa uwenyeki wa Paroli.

Sitashangaa kuona baada ya uchaguzi wapinzani ushwara wakiteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali kama ahsante kwa kuvuruga upinzani. Ni usaliti mmbaya sana kwa wananchi.

Malawi wameshinda kwa kuungana, Moi na KANU walitolewa kwa kuungana. Tofauti zenu wekeni pembeni kama kweli munadhamira ya dhati ya kuikomboa Tanzania kwa wakoloni weusi jameni.

Watu wamekufa, nakupotezwa na kuumizwa kwasababu ya kudai haki na Uhuru wa kweli. Sasa kazi nikwenu bado Sikh 24. Mukikosea hapa musije mukaja tena mtaani kutwambia upuuzi wenu wakupambana na CCM. GOD WILL PUNISH YOU
Wanapigania matumbo yao
 
Vyama vya upinzani vinapinga dhuluma inayofanywa na ccm tangu Uhuru mpaka sasa watanzania tunaishi kama njiwa
Asubuhi tukiamka hatujui tutakula chakula gani,hakuna mikakati yoyote iliyowekwa na haomasisiemu tangu Uhuru kunusuru umasikini Kwa watu

Watanzania niwakulima lakini bado masisiemu wanatuibia Kwa mavyama Yao ya ushirika.

Watanzania tunafanya biashara lakini bado tunaibiwa na haohao masisiemu wa tra.

tanzania wasomi wamejaa lakini ajira ziko wapi?
Masisiemu hawataki kubuni,kuwezesha vijana wetu watumie elimu na ujuzi wao ipasavyo kujipatie fedha.

Mbaya zaidi hao masisiemu wa migration hawataki hata tusafiri tukatafute riziki mataifa mengine!

Yapo mengi Sana ya kueleza tatizo muda mchache.
 
Kwani baba yako Jiwe anapigania nini ? Licha ya ugonjwa , afya mbovu kutohimili kusimama hata kwa nusu saa bado anapigania nini?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mnachopigania ni kitu gani? Wajua kuna ile busara ya kuzaliwa nayo, unaona kabisa uwezo wangu wakushinda Urais hapa sina unapiga porojo tu kusumbua watu. Mnajua mwaka huu fulani anaungwa mkono na Wananchi wengi, sote tumuunge mkono, waapi? Ndo kwanza mwingine anamletea pinganizi mwenzio.

Kuna msemu tunasema Wapinzani wa Afrika kwa ubinafsi wao wanshindwa chaguzi na watu wengi na Vyama Tawala vinashinda na watu wachache. Huu ni upumbavu wa hali ya juu.

Mlishaambiwa CCM lazima itumie dola kubaki madarakani na Polepole alishawahi sema wakati ule anabwabwaja vizuri kuhusu katiba mpya, kwamba," Uchaguzi ukiwa Hutu na haki, CCM wajiandae kukabidhi Ikulu." Sasa yeye Poleple kajiunga nao, na anajua, CCM haiwezi shinda kwa haki. Kwahiyo suluhisho pekee nikutafuta kura za mgombea mmoja za Tsunami ili washindwe hata kuiba.

Hebu wapinzani mtafakari sana mnacho kitaka vingenevyo CCM itaendelea kuwasajiri na kuwagawa ili mzidi kugawanyika. Kwa asilimia kubwa, vyama tawala vilitolea madarakani na muungano au ushirikiano. Fanyeni maamuzi sasa mengine ya fwate badae.

Ukiona mpizana analeta upinzani kwa mpizani mwenzake,panashida hapo. Wote mmesota na ccm kwa miaka 5, halo sio hali, leo tena unalata upinzani kwa mpizani mwenzio. Hiyo ni furaha kwa CCM. Yaani mpo vitani munapigana na adui, halafu ghafla munaanza kupigana wenyewe munamuacha adui. Munafikiri wananchi wanawaelewa vipi?

Sheria ya vipengele vingi kuhusu kuungana kweni wapinzani ilipitishwa na ccm kwa maksudi na ilikua kwa kuua upinzani na kwa vile aliyopo madarakani aliona nguvu ya UKAWA, akaona asipowaparakanisha, atakuja pata taabu sana 2020. Ebu upinzani mujitafakali sana, musitusumbue die wananchi kama hamna nia yakushika dola.

Mfano TLP kina mgombea lakini mwenyekiti wake anaunga mkono Magufuli, sio kwasababu anampenda, hapana, nikwasababu yeye Mrema ni mnufaika, alipewa uwenyeki wa Paroli.

Sitashangaa kuona baada ya uchaguzi wapinzani ushwara wakiteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali kama ahsante kwa kuvuruga upinzani. Ni usaliti mmbaya sana kwa wananchi.

Malawi wameshinda kwa kuungana, Moi na KANU walitolewa kwa kuungana. Tofauti zenu wekeni pembeni kama kweli munadhamira ya dhati ya kuikomboa Tanzania kwa wakoloni weusi jameni.

Watu wamekufa, nakupotezwa na kuumizwa kwasababu ya kudai haki na Uhuru wa kweli. Sasa kazi nikwenu bado Sikh 24. Mukikosea hapa musije mukaja tena mtaani kutwambia upuuzi wenu wakupambana na CCM. GOD WILL PUNISH YOU
Ruzuku.
 
Meko akiiba kura kama 2015...dunia itamfundisha adabu..General Mabeyo ataenda kumtoa Ikulu kwa amri ya mabeberu kama Ivory Coast nk
 
Ukiona mpizana analeta upinzani kwa mpizani mwenzake,panashida hapo. Wote mmesota na ccm kwa miaka 5, halo sio hali, leo tena unalata upinzani kwa mpizani mwenzio. Hiyo ni furaha kwa CCM. Yaani mpo vitani munapigana na adui, halafu ghafla munaanza kupigana wenyewe munamuacha adui. Munafikiri wananchi wanawaelewa vipi?
Hivi ww hujui kuwa ccm ina vyama vyake vya upinzani(!) ambavyo inamiliki na kuviendesha ili kuvuruga upinzani wa kweli?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom