Upinzani wa Tanzania ni wa vimatukio, Rais Samia ameumaliza kisayansi

Ndio maana vyama vyenu vya upinzani vinakosa muelekeo maana sizani Kama kwa mawazo hayo mnaweza saidia kutoa mawazo ya kuimarisha vyama vyenu
Unaaibisha ukoo wenu.Katafute hata kazi ya kuuza vinywaji baa.Tena huna haja ya kununua viatu virefu.Kimo chako kinatosha kutungua bia kaunta.
 
Sintochoka kufuta ujinga mana ndio kazi yangu Lazima tuwaelimishe nini cha kufanya katika ulimwengu wa sasa ili wasipoacha ujinga wao tutawaacha na upumbavu wao; ashakum sio matusi ni hali ya kutoelewa mambo na kukumbatia njaa iliyoko tumboni na kichwani. Jiulize huyu jamaa tangu asubuhi yupo anajibu hoja tena bila maandiko yenye ushawisshi na mashiko kazi anafanya saa ngapi? Jina lake linasadifu uwezo wake wa kufikiri na kung'amua mambo.
Mbona wewe upo hapa muda wote unaandika ,hizo kazi zako unafanya saa ngapi na muda upi, sisi wakulima Hatulimi usiku
 
Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

'rukusi" 'suluali,"....
"ruksi" "suruali"

"mwenye macho ya kuona mbali,aliyepikwa ,aliyeiva kimbinu na kimkakati"
.....mwenye kujua kurembua!

"mwenye Shabaha na maono ya Mbali"
......hadi kuona anapoishi Kigogo14 na kumpa taarifa zote!

Kweli na wewe ...Lukasi Mashamba amekulegezea hadi umenasa kwenye uchawa Duh!......
Athari za elimu bure na elimu ya shule za kata! ambapo serikali kwa makusudi imeweka madaraja kwa watanzania kisiasa kwa kutumia elimu.
Community schools
State owned schools
religious institution's owned schools
Privately owned schools! inahitaji elimu kubwa kufahamu hili na athari yake kwa jamii yetu ya kitanzania!
 
Back
Top Bottom