Upinzani wa Tanzania haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile dhidi ya dola, nini tatizo?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,874
Huenda hata wenzetu Uganda wakaja kufanikiwa katika harakati zao dhidi ya dola mapema zaidi kwa kuangalia kuliko Tanzania.

Mbali na upinzani wa Tanzania kuwepo kwa takribani miaka 24 sasa, haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile ulilopigania dhidi ya dola. Achilia mbali kumbukumbu kuwa upinzani wa Tanzania umekuwa katika harakati nyingi kwa muda mrefu kupita nchi nyingi za ukanda huu.

Kenya walianza wakaweza, na sasa pengine ndilo taifa lenye demokrasia pana zaidi baada ya mataifa kama Ghana na Afrika kusini. Wenzetu Uganda, DRC, Burundi wanaonekana kuwa ni wapinzani thabiti kuliko sisi Tanzania.

Je, ndani ya upinzani wa Tanzania kumepandikizwa virusi? Hata katiba na tume huru tu ya uchaguzi wameshindwa kudai kweli? Wanaonekana kuwa na dira kwa sasa? Waweke wapi uthabiti na waanze na lipi? Kina nani wawe msitari wa mbele?

Mbowe na viongozi wengine wa upinzani waelewe kuwa mengi ya wanayodai hawatapewa kama pipi. Ni lazima wao walale kwanza rumande tena isiyo ya kitoto.Wapewe virungu vya kutosha bila kukata tamaa na wapitie msoto kama wenzao kina Raila na wengine! Wakiogopa hilo basi wasubiri kizazi chenye uthubutu kije kufanya hayo ila wasitarajie badiliko lolote bila kutoka jasho tena jasho litakaloonekana hata na mtoto mchanga aliyezaliwa leo!!
 
Huenda hata wenzetu Uganda wakaja kufanikiwa katika harakati zao dhidi ua dola mapema zaidi kwa kuangalia kuliko Tanzania.

Mbali na upinzani wa Tanzania kuwepo kwa takribani miaka 24 sasa, haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile ulilopigania dhidi ya dola. Achilia mbali kumbukumbu kuwa upinzani wa Tanzania umekuwa katika harakati nyingi kwa muda mrefu kupita nchi nyingi za ukanda huu.

Kenya walianza wakaweza, na sasa pengine ndilo taifa lenye demokrasia pana zaidi baada ya mataifa kama Ghana na Afrika kusini. Wenzetu Uganda, DRC, Burundi wanaonekana kuwa ni wapinzani thabiti kuliko sisi Tanzania.

Je, ndani ya upinzani wa Tanzania kumepandikizwa virusi? Hata katiba na tume huru tu ya uchaguzi wameshindwa kudai kweli? Wanaonekana kuwa na dira kwa sasa? Waweke wapi uthabiti na waanze na lipi? Kina nani wawe msitari wa mbele?


Umeongelea kuhusu Upinzania lkn umesahahu pia jambo moja ambalo labda ni muhimu klk yote, nalo ni sisi Watanzania, labda hatutaki kuwa kama Wakongo, Wakenya, Waghana&Co. , labda tunataka kuwa Watanzania na maisha yetu, labda hatutaki kulinganishwa na wengine, labda tunataka kwenda njia yetu na siyo njia tuliyoandaliwa na wengine, labda tunaona na tunaamini njia tuendayo ndiyo sahihi na ndiyo maana yake kama ukiniuliza mimi!
 
Ni kwasabab sirikal ni wanafiki wanasema wanasimamia ktk democracy wakat uhuru kwa wapinzan na medias vinagandamizwa, pia wapnzan nao wanafiki maana hawanaga ideology ya kueleweka na wakaisimamia mf walisema Ed''lowas* ni fisad na kutembea nchi nzma kutueleza ninj7nsi gan jamaa fisad wakamhusisha na kila kashifa mf Richmond lakn leo wamemkumbatia na wanamsafisha kwa kasi ya ajab na kusema hakuhusika Richmond bali ilikuwa ni order ya mamlaka ya juu......
Nb:penye unafiki uliokithili ni vigum jambo kufanikiwa
 
Siasa ya Tanzania wapinzani na dola HAWABISHANI KWA HOJA. Hakuna FAIR GROUND ktk kupigania lile lililo jema kwa kujibu hoja kwa hoja. Ukileta hoja yenye mashiko WANAKUPOTEZA KIMYA KIMYA. Ndo the simplest revenge from those in power. So sometimes watu wanaogopa kupotezwa.

Angalia tofauti kati ya Nguvu ya Upinzani NDANI YA BUNGE na Nguvu ya Upinzani NJE YA BUNGE. Bungeni angalau kdg upinzan unatamalak kwa sababu labda wanalindwa kisheria na ukiwa mule ndani ni lazima mabishano ya kisiasa yawepo ili mradi tu usvunje sheria. Lakn nguvu hyo hyo ya upinzani ukiihamishia nje ya bunge, utafungwa au kupotezwa kirahisi tu.
 
Huenda hata wenzetu Uganda wakaja kufanikiwa katika harakati zao dhidi ya dola mapema zaidi kwa kuangalia kuliko Tanzania.

Mbali na upinzani wa Tanzania kuwepo kwa takribani miaka 24 sasa, haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile ulilopigania dhidi ya dola. Achilia mbali kumbukumbu kuwa upinzani wa Tanzania umekuwa katika harakati nyingi kwa muda mrefu kupita nchi nyingi za ukanda huu.

Kenya walianza wakaweza, na sasa pengine ndilo taifa lenye demokrasia pana zaidi baada ya mataifa kama Ghana na Afrika kusini. Wenzetu Uganda, DRC, Burundi wanaonekana kuwa ni wapinzani thabiti kuliko sisi Tanzania.

Je, ndani ya upinzani wa Tanzania kumepandikizwa virusi? Hata katiba na tume huru tu ya uchaguzi wameshindwa kudai kweli? Wanaonekana kuwa na dira kwa sasa? Waweke wapi uthabiti na waanze na lipi? Kina nani wawe msitari wa mbele?

Mbowe na viongozi wengine wa upinzani waelewe kuwa mengi ya wanayodai hawatapewa kama pipi. Ni lazima wao walale kwanza rumande tena isiyo ya kitoto.Wapewe virungu vya kutosha bila kukata tamaa na wapitie msoto kama wenzao kina Raila na wengine! Wakiogopa hilo basi wasubiri kizazi chenye uthubutu kije kufanya hayo ila wasitarajie badiliko lolote bila kutoka jasho tena jasho litakaloonekana hata na mtoto mchanga aliyezaliwa leo!!
ndo kitu tunachokisubiri hizi porojo za hatutaki kumwaga damu hatuzitaki tena. hakuna ukombozi bila kumwaga damu historian inatufundisha hivyo.
 
Upinzani wa hapa kwetu nao unaonekana kuwa sehemu ya dola.
Vyama vingi ni maigizo tu.
Watazame vizuri utagundua.
 
Huenda hata wenzetu Uganda wakaja kufanikiwa katika harakati zao dhidi ya dola mapema zaidi kwa kuangalia kuliko Tanzania.

Mbali na upinzani wa Tanzania kuwepo kwa takribani miaka 24 sasa, haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile ulilopigania dhidi ya dola. Achilia mbali kumbukumbu kuwa upinzani wa Tanzania umekuwa katika harakati nyingi kwa muda mrefu kupita nchi nyingi za ukanda huu.

Kenya walianza wakaweza, na sasa pengine ndilo taifa lenye demokrasia pana zaidi baada ya mataifa kama Ghana na Afrika kusini. Wenzetu Uganda, DRC, Burundi wanaonekana kuwa ni wapinzani thabiti kuliko sisi Tanzania.

Je, ndani ya upinzani wa Tanzania kumepandikizwa virusi? Hata katiba na tume huru tu ya uchaguzi wameshindwa kudai kweli? Wanaonekana kuwa na dira kwa sasa? Waweke wapi uthabiti na waanze na lipi? Kina nani wawe msitari wa mbele?

Mbowe na viongozi wengine wa upinzani waelewe kuwa mengi ya wanayodai hawatapewa kama pipi. Ni lazima wao walale kwanza rumande tena isiyo ya kitoto.Wapewe virungu vya kutosha bila kukata tamaa na wapitie msoto kama wenzao kina Raila na wengine! Wakiogopa hilo basi wasubiri kizazi chenye uthubutu kije kufanya hayo ila wasitarajie badiliko lolote bila kutoka jasho tena jasho litakaloonekana hata na mtoto mchanga aliyezaliwa leo!!
tuanze vuguvugu LA kudai kudai katiba mpya sasa.kama cdm huu mziki hawauwezi tutajitokeza wengine tusio na vyama. haya mambo ya kuogopa kupotezwa yanatupotezea muda. namkubali sana mh Godbless lema
 
Hv kwann viongoz wa africa n walaf wa madaraka?.....hawaheshm demokrasia kabsaa.....lakn kinachoangusha upinzan n uwoga na ujinga wa watu.....uwoga kwakuwa watz hawana hata ushrkiano wanaish tu kwakuwa bado wako hai....na ujinga kwakuwa watu weng hawajaelemika haswa kuhusu masuala ya kiukomboz.....CCM itatawala kwa mabav kwa miaka ming sana tz....
 
Yes wangalau sasa naona watu tukipata ule mwelekeo sahihi na vuguvugu la nguvu kufikia matakwa yetu. Hapo mwanzo kwa ajili ya mfumo tulitumia vyama vya upinzani kutaka mabadiliko, bahati mbaya vyama vyama vya upinzani vikatuletea mabadiliko ya kuchukua wazee toka ccm tunayoipinga kutuongoza. Sasa baada ya kuvunjwa moyo na huo upinzani maslahi Iinabidi tuwaachie vyama vyao tuanze vuguvugu jipya. Mimi naamini Tanzania bila vyama vya siasa inawezekana na mabadiliko yetu hayataletwa na vyama vya siasa. Tuhakikishe hili vuguvugu jipya linaanza kwa nguvu na hata ikibidi watu watupe kadi za vyama vyao kuanza ukurasa mpya.
 
Hv kwann viongoz wa africa n walaf wa madaraka?.....hawaheshm demokrasia kabsaa.....lakn kinachoangusha upinzan n uwoga na ujinga wa watu.....uwoga kwakuwa watz hawana hata ushrkiano wanaish tu kwakuwa bado wako hai....na ujinga kwakuwa watu weng hawajaelemika haswa kuhusu masuala ya kiukomboz.....CCM itatawala kwa mabav kwa miaka ming sana tz....
Mkuu viongozi tunao wategemea wafungue njia ya mabadiliko ni wabinafsi mabadiliko ya kweli yatakuja baada ya viongozi kuweka uzalendo mbele kuliko masilahi yao
 
Sio wapinzani bali wananchi watanzania ni mafala ni kwa sababu nusu yetu tuna stunt brain yaani wana miili akili hakuna huwezi kuachia michwa watu amabao wanajulikana akili zao haziwatoshi mukawaachia wakawa wanawaburuza na kufanya unyanyasaji wa juu na wananchi munachekelea tu mpaka hapo utapiamlo wa ubongo utapoisha vinginevyo ni hadithi tu nchi hii kupiga hatua
 
Ni kwasabab sirikal ni wanafiki wanasema wanasimamia ktk democracy wakat uhuru kwa wapinzan na medias vinagandamizwa, pia wapnzan nao wanafiki maana hawanaga ideology ya kueleweka na wakaisimamia mf walisema Ed''lowas* ni fisad na kutembea nchi nzma kutueleza ninj7nsi gan jamaa fisad wakamhusisha na kila kashifa mf Richmond lakn leo wamemkumbatia na wanamsafisha kwa kasi ya ajab na kusema hakuhusika Richmond bali ilikuwa ni order ya mamlaka ya juu......
Nb:penye unafiki uliokithili ni vigum jambo kufanikiwa
Upinzani siyo kufanya fujo kwa njia yeyote ile hata kwa vyombo vya habari.
 
Upinzani hauna viongozi,una wapiga noti tu yaani wanapambana wapate viti vya ubunge ili wale shushu ,na si tushawajua kwamba hawana mpango wa dola na ndio maana tushaanza kujiengua inagawa hatutaenda kwa inzi wa kijani bali tutasubiri wajukuu zetu huenda tukawa mahala salama tukiwa uzeeni
 
SABABU ZA KUSHINDWA KWA UPINZANI TANZANIA.

- Vyama Vya Upinzani Tanzania Ni Kama Kampuni Au Kampuni Binafsi Za Watu, Wanazitumia Kupiga Pesa Kutoka Kwa Serikali Ya CCM Na Wazungu

- Kama Wewe Sio Ndugu, Kabila Au Kutoka Eneo Fulani Hupati Faida Yoyote Hata Kama Utapigana Kwa Damu Kupigania Chama, Unless Uwe Na Maslahi Fulani Kisiasa Kwao Ref. Tundu Lissu Na Lowassa

- Upinzani Hawana Raslimali Watu Wa Maana Unaoweza Kuwaona Kama Watu Wa Serikali Mbadala Zaidi Ya Kuendesha Vyama Vyama Vyao Kijasiriamali Jasiriamali

- Yaani Ili Kuonesha Kuwa Upinzani Hakuna Watu, Mtu Ambaye Ndani Ya CCM Anaonekana Hafai Kabisa - Mtu Huyo Ni Hot Cake Ndani Ya Upinzani, Yaani Ganda La Muwa La Jana - Chungu Kaona Kivuno

- Vyama Hazina Ushirikishi Wa Watu Wote Kama Ilivyo CCM Kama Dini, Kabila, Mikoa,kanda Nk

- Kutokuwa Wakweli, Kuwa Na Unafiki Uliokubuhu.

Haya Ni Machache Tu Ya Kwanini, Upinzani Tanzania Ni Majanga - Yaani Ni Bora Tuwe Na CCM Mlemavu Wa Mguu Mmoja Kuliko Upinzani Ambao Ni Kiwete Kabisa.
 
Huenda hata wenzetu Uganda wakaja kufanikiwa katika harakati zao dhidi ya dola mapema zaidi kwa kuangalia kuliko Tanzania.

Mbali na upinzani wa Tanzania kuwepo kwa takribani miaka 24 sasa, haujawahi kufanikiwa katika jambo lolote lile ulilopigania dhidi ya dola. Achilia mbali kumbukumbu kuwa upinzani wa Tanzania umekuwa katika harakati nyingi kwa muda mrefu kupita nchi nyingi za ukanda huu.

Kenya walianza wakaweza, na sasa pengine ndilo taifa lenye demokrasia pana zaidi baada ya mataifa kama Ghana na Afrika kusini. Wenzetu Uganda, DRC, Burundi wanaonekana kuwa ni wapinzani thabiti kuliko sisi Tanzania.

Je, ndani ya upinzani wa Tanzania kumepandikizwa virusi? Hata katiba na tume huru tu ya uchaguzi wameshindwa kudai kweli? Wanaonekana kuwa na dira kwa sasa? Waweke wapi uthabiti na waanze na lipi? Kina nani wawe msitari wa mbele?

Mbowe na viongozi wengine wa upinzani waelewe kuwa mengi ya wanayodai hawatapewa kama pipi. Ni lazima wao walale kwanza rumande tena isiyo ya kitoto.Wapewe virungu vya kutosha bila kukata tamaa na wapitie msoto kama wenzao kina Raila na wengine! Wakiogopa hilo basi wasubiri kizazi chenye uthubutu kije kufanya hayo ila wasitarajie badiliko lolote bila kutoka jasho tena jasho litakaloonekana hata na mtoto mchanga aliyezaliwa leo!!
GSam naona akili yako matope matupu,hata Tanzania ni lini wapinzani wamewahi kushika dola halafu wakashindwa kuongoza? Nchi zote maskini za Afrika hazijawa tayari kwa mfumo wa vyama vingi.Wapinzani wote katika Afrika wanaonekana kama ni maadui katika serikali zilizoko madarakani ndio maana kila kukicha wanasakamwa tu.Angalia katika nchi zilizoendelea ambako vyama pinzani na vilivyoko madarakani wanavyopokezana kutawala.Huwezi kusikia chama kilichoko madarakani kinanyanyasa vyama vingine ambavyo haviko madarakani.Vyama pinzani vikipewa fursa ya kuongoza haviwezi kushindwa kwani hawa wanaongoza wao dawa ya kufanikiwa kutawala waliipatia wapi ambako wapinzani hawawezi kuipata???.
 
tuna viongoz ambao wameshindwa kuweka na ku stick kwenye vision

upinzani umejaa mapandikizi

najua nisemacho

wenyeviti wote wa vyama ni mapandikizi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom