Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Katika hali ambayo haikutegemewa mgombea wa jimbo la segerea chadema mwaka 2010
ameebuka na kusema kuwa upinzani unajimaliza wenyewe. Akiojiwa na Tanzania Daima na
Mwananchi mbuge huyo amesikitishwa na chama chake (chadema):A S embarassed: kutokuwa na ushirikiano
katika jimbo ya segerea. Mzee mpendazoe amefika mbali na kusema emekuwa muda mrefu sasa
Makao makuu ya chama kutotoa ushirikiano kwake
Je hii inaashilia nini kwa mpendazoe?:nerd:
ameebuka na kusema kuwa upinzani unajimaliza wenyewe. Akiojiwa na Tanzania Daima na
Mwananchi mbuge huyo amesikitishwa na chama chake (chadema):A S embarassed: kutokuwa na ushirikiano
katika jimbo ya segerea. Mzee mpendazoe amefika mbali na kusema emekuwa muda mrefu sasa
Makao makuu ya chama kutotoa ushirikiano kwake
Je hii inaashilia nini kwa mpendazoe?:nerd: