Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Upinzani ni aibu tupu kwa kusalimu amri kwa dola na kufumbia macho katiba kusiginwa hususani haki za kidemokrasia na uhuru wa kutoa maoni. Udhaifu wao ni ufisadi wao. Ni wanafiki wakubwa hawana chembe ya tofauti na mahasimu wao....
Waathirika wakubwa wa kusiginwa hizi haki za kiutu kabisa ni machinga lakini bado wako usingizini kudai stahiki zao: Hawajui nguvu waliyonayo!
Lakini, msikate tamaa kwani Mwenyezi Mungu yu hai. Hatakubali KAMWE adhihakiwe na maovu.
Watawala na wapiga fimbili za Hemelini kawatupia laana ya ulafi hawali wakashiba. Huvimbiwa lakini njaa na kiu inawachachamalia hadi aidha watubu na kufanya malipizi au waangamizwe kwa laana ya ulafi.
Ulafi wao lazima uwatokee puani kwani wanakula hata visivyoliwa!
Matokeo yake hadi tufike 2020, wengi hawatafurukuta. Aidha watakuwa wanauguza majeraha ya "viherere vyao" au watakuwa wametulizwa tuli kwenye makaburi yao.
UKIMWI ndiyo dili hivi sasa. Wataibatiza kisukari kubwa, au maini au figo au saratani lakini mzee huyu wa masharubu mwenyewe ni "HAPA KAZI TU." hamwachi mlafi salama bila kumpiga ngwala.
Jina la Bwana lihidimiwe milele!
Amina.
Waathirika wakubwa wa kusiginwa hizi haki za kiutu kabisa ni machinga lakini bado wako usingizini kudai stahiki zao: Hawajui nguvu waliyonayo!
Lakini, msikate tamaa kwani Mwenyezi Mungu yu hai. Hatakubali KAMWE adhihakiwe na maovu.
Watawala na wapiga fimbili za Hemelini kawatupia laana ya ulafi hawali wakashiba. Huvimbiwa lakini njaa na kiu inawachachamalia hadi aidha watubu na kufanya malipizi au waangamizwe kwa laana ya ulafi.
Ulafi wao lazima uwatokee puani kwani wanakula hata visivyoliwa!
Matokeo yake hadi tufike 2020, wengi hawatafurukuta. Aidha watakuwa wanauguza majeraha ya "viherere vyao" au watakuwa wametulizwa tuli kwenye makaburi yao.
UKIMWI ndiyo dili hivi sasa. Wataibatiza kisukari kubwa, au maini au figo au saratani lakini mzee huyu wa masharubu mwenyewe ni "HAPA KAZI TU." hamwachi mlafi salama bila kumpiga ngwala.
Jina la Bwana lihidimiwe milele!
Amina.