Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,388
- 1,884
Green&Yellow gamba, probably this is your best comment so far.Fool
Green&Yellow gamba, probably this is your best comment so far.Fool
Mawazo ya sukuma gang.Watoto siyo kigezo kinachotumika kumwita mwanamke kuwa ni Mama.Mama ni zaidi ya kuwa na watoto.
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamke ambae ana miaka 55 ambae hana mtoto hata mmoja lakini kila mtu huwa anamwita kuwa ni Mama.
Samia ambae ameamua kuitoa nchi sadaka kwa watu wachache hana sifa ya kuitwa Mama.Samia kama Rais mwanamke alipaswa alilee Taifa vizuri ili kuitwa Mama ila yeye amechagua kuwa fisadi.Samia ni fisadi ambalo kila mwenye pumzi anatakiwa alikatae na kulichukia.
Ukiangalia ile video pale mwanzo anasema kuwa ile ni mara ya pili ametoa msimamo/kauli ile.Hii maana yake ni kwamba alichoongea juzi hajaongea kwa kukosea au kwa bahati mbaya bali ndiyo msimamo wa Serikali yake.Sasa mwanamke kama huyu ndiye unataka kumpa sifa ya kuitwa kuwa ni Mama?
Itisha na uanze wewe kuwa frontBila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.
Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Wewe upo ccm na unafahamika miss elitwege! Unayemhadaa hapa afuate ushauri wako wa kindezi ili ccm njaa Kali Kama wewe mpate upenyo wa kutema nyingi zenu hayupo! Hata Zitto ccm b hawezi chukua wazo hili!Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.
Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
CCM wamelitema, linanuka, now linajipendekeza CDManajulikana ni choko la cccm
CCM wamekuvuruga hadi wamekufukuza mchafu kunuka, now unajipendekeza CDM, tahira mkubwaGays are alwas stupid, you gayman i never date gays.
Kwanini upinzani waitishe maandamano wakati wanaoibiwa ni watanzania wote?Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.
Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Bila kujali itikadi zetu za vyama vya upinzani tuungane wote kuitisha maandamano ili kupinga hii kitu aliyohamasisha mkuu wa nchi. Yaaani kuruhusu kukwapua na kuweka kwapani mali ya umma kama vile unajikatia ugali nyumbani.
Watanzania wote wahamasishwe mpaka tutapopata uhakika kuwa hatutaibiwa na viongozi wa CCM huku wakijimegea wanavyotaka.
Hata ukitukana matusi ya ulaya hayatakusaidia lolote.
Kawashawishi maccm wenzako muandamane.
Jamaa ni mshamba sana yaani anaanzisha propaganda feki ukimwambia ukweli anaporomosha mitusi.Huyu hajawahi kuwa na akili
🤡🤡🤡Mawazo ya sukuma gang.
Andamaneni wenyewe huko CCM
Sisi tutaaandamana kuunga mkono na kumpongeza rais kwa kuituliza nchi.
Sasa hakuna mauwaji hakuna vitisho hakuna utesaji dhuluma na ubomoaji wa makazi ya watu
Hakika umenena kiongozi.CCM andamaneni si rais ni mwenyekiti wenu?
Upinzani tulieni msiandamane Wala kuunga hoja zao
Hoja za upinzani ni
1. Katiba mpya na
2. Tume huru ya uchaguzi
Hayo mengine waachieni ccm
Mkuu huyo mwanzoni alikuwa cdm akaunga mkono na cdm wakamtimua kabisa kabisaCCM wamelitema, linanuka, now linajipendekeza CDM