Upinzani Tanzania na Ndoto za mchana

Pamputi

JF-Expert Member
Apr 22, 2016
982
723
Habari wanajamvi nianze Kwa kupongeza vyama vya upinzani nchini Kwa uwepo wao kwani licha tu ya kuwa na tija kisiasa pia vina tija kiuchumi pia kwan uwepo wao nchini n kiashiria cha demokrasia na demokrasia ndo msisitizo wa mataifa rafiki hususan ya magharibi hvyo uwepo wa upinzani una tija pia kiuchumi

Sasa niingie kwenye mada husika juu ya mtazamo wa vyama vyetu vya upinzani kwamba siku moja vinaeza ongoza nchi hii kitu ambacho nakifananisha na ndoto za mchana a kama si za alinacha na abunuazi na vitu kinanisukuma kutoa mtazamo huu n kama vifuatavyo

*Kuendekeza siasa zilizopitwa na wakati
*kufeli katika kuzisoma nyakati
*kukosa vision
*kutokua na misimamo Kwa kile wanachokisimamia
*kukosa vipaumbele
*kukosa network iliyotapakaa kila sehemu
*kuzidi kupoteza nguvu ya ushawishi
*kuendekeza migogoro ya ndani ya vyama
*uwezo mdogo wa kifedha
*Kukosa viongozi wafanisi (effecient )

Na mengine mengi na Kwa kadiri muda utavyokua ukiruhusu nitakua nikifafanua hoja moja baada ya nyingne.
 
Habari wanajamvi nianze Kwa kupongeza vyama vya upinzani nchini Kwa uwepo wao kwani licha tu ya kuwa na tija kisiasa pia vina tija kisiasa pia kwan uwepo wao nchini n kiashiria cha demokrasia na demokrasia ndo msisitizo wa mataifa rafiki hususan ya magharibi hvyo uwepo wa upinzani una tija pia kiuchumi

Sasa niingie kwenye mada husika juu ya mtazamo wa vyama vyetu vya upinzani kwamba siku moja vinaeza ongoza nchi hii kitu ambacho nakifananisha na ndoto za mchana a kama si za alinacha na abunuazi na vitu kinanisukuma kutoa mtazamo huu n kama vifuatavyo

*Kuendekeza siasa zilizopitwa na wakati
*kufeli katika kuzisoma nyakati
*kukosa vision
*kutokua na misimamo Kwa kile wanachokisimamia
*kukosa vipaumbele
*kukosa network iliyotapakaa kila sehemu
*kuzidi kupoteza nguvu ya ushawishi
*kuendekeza migogoro ya ndani ya vyama
*uwezo mdogo wa kifedha
*Kukosa viongozi wafanisi (effecient )

Na mengine mengi na Kwa kadiri muda utavyokua ukiruhusu nitakua nikifafanua hoja moja baada ya nyingne.
Hapa Tanzania hakuna fair ground ndio maana changamoto hizi zipo kwa sana kwa mfano hiyo ya uwezo wa kifedha matajiri wengi wanaogopa kuchangia upinzani maana wanajua watasakamwa sana na watawala sasa unafkiri vyama vyenyewe vitapataje kuraise funds kirahisi???

Hoja kuhusu kupungua ushawishu umeitoa wapi??? Mkitoa uhuru wa habari na shughuli za kisasa ndio tutaweza pimana ubavu nani mwenye ushawishi zaiid kwa wananchi.... pia hta trend za uchaguzi curve ya upinzani inapanda huku ya ccm inashuka kwa kasi sana sasa ukisema ushawishu unapungua nilitegemea uje na takwimu na ushahidi wa kisayansi wa estimation to back up your claims.
Kuhusu viapaumbele mbona tulipambana sana katiba mpya hata ilani ya uchaguzi ilielekeza kipaumbele kingekuwa elimu na kma mgombea wetu angetangazwa mshindi tungeabdaa utekelezaji na bajeti kubwa ya elimu ingewekwa ili kukidhi mahitaji ya sasa kuzingatia umuhim wa elimu katika dunia ya sasa. Pia tafuta muda wakusoma bajeti kivuli za upinzani utajua pia fikra na mitazamo yetu ya kila mwaka kuhusu mambo tofauti ya nchi hii.
Kuhusu misimamo mara ngapi tumesimamia uwajibikaji wa serikali mwanzo mwisho ingawa tumedhoofishwa sana na serikali yenu???
Miswada mingapi imeletwa bungeni akina mnyaa lisu mbowe na mnyika wamefight sana isipitishwe na bado mpka leo chama kimeshikilia msimamo wake kuhsu sera tofauti tofauti za kinyonyaji za kiserikali na mara nyingi wamekuwa wakikumbushia bungeni kuhusu MAKABURI HAYO YANAYOTAKIWA KUFUKULIWA...... ???

Tuanzie hapa kwanza
 
Mwambieni SISONJE asipige penalty huku mchecki moto wa Upinzani.
404907.jpg


swissme
 
Hapa Tanzania hakuna fair ground ndio maana changamoto hizi zipo kwa sana kwa mfano hiyo ya uwezo wa kifedha matajiri wengi wanaogopa kuchangia upinzani maana wanajua watasakamwa sana na watawala sasa unafkiri vyama vyenyewe vitapataje kuraise funds kirahisi???

Hoja kuhusu kupungua ushawishu umeitoa wapi??? Mkitoa uhuru wa habari na shughuli za kisasa ndio tutaweza pimana ubavu nani mwenye ushawishi zaiid kwa wananchi.... pia hta trend za uchaguzi curve ya upinzani inapanda huku ya ccm inashuka kwa kasi sana sasa ukisema ushawishu unapungua nilitegemea uje na takwimu na ushahidi wa kisayansi wa estimation to back up your claims.
Kuhusu viapaumbele mbona tulipambana sana katiba mpya hata ilani ya uchaguzi ilielekeza kipaumbele kingekuwa elimu na kma mgombea wetu angetangazwa mshindi tungeabdaa utekelezaji na bajeti kubwa ya elimu ingewekwa ili kukidhi mahitaji ya sasa kuzingatia umuhim wa elimu katika dunia ya sasa. Pia tafuta muda wakusoma bajeti kivuli za upinzani utajua pia fikra na mitazamo yetu ya kila mwaka kuhusu mambo tofauti ya nchi hii.
Kuhusu misimamo mara ngapi tumesimamia uwajibikaji wa serikali mwanzo mwisho ingawa tumedhoofishwa sana na serikali yenu???
Miswada mingapi imeletwa bungeni akina mnyaa lisu mbowe na mnyika wamefight sana isipitishwe na bado mpka leo chama kimeshikilia msimamo wake kuhsu sera tofauti tofauti za kinyonyaji za kiserikali na mara nyingi wamekuwa wakikumbushia bungeni kuhusu MAKABURI HAYO YANAYOTAKIWA KUFUKULIWA...... ???

Tuanzie hapa kwanza
Nadhan matajiri wanasita kuchangia upinzani Kwa kuwa wapinzani wenyew hawaaminiki
 
Hapa Tanzania hakuna fair ground ndio maana changamoto hizi zipo kwa sana kwa mfano hiyo ya uwezo wa kifedha matajiri wengi wanaogopa kuchangia upinzani maana wanajua watasakamwa sana na watawala sasa unafkiri vyama vyenyewe vitapataje kuraise funds kirahisi???

Hoja kuhusu kupungua ushawishu umeitoa wapi??? Mkitoa uhuru wa habari na shughuli za kisasa ndio tutaweza pimana ubavu nani mwenye ushawishi zaiid kwa wananchi.... pia hta trend za uchaguzi curve ya upinzani inapanda huku ya ccm inashuka kwa kasi sana sasa ukisema ushawishu unapungua nilitegemea uje na takwimu na ushahidi wa kisayansi wa estimation to back up your claims.
Kuhusu viapaumbele mbona tulipambana sana katiba mpya hata ilani ya uchaguzi ilielekeza kipaumbele kingekuwa elimu na kma mgombea wetu angetangazwa mshindi tungeabdaa utekelezaji na bajeti kubwa ya elimu ingewekwa ili kukidhi mahitaji ya sasa kuzingatia umuhim wa elimu katika dunia ya sasa. Pia tafuta muda wakusoma bajeti kivuli za upinzani utajua pia fikra na mitazamo yetu ya kila mwaka kuhusu mambo tofauti ya nchi hii.
Kuhusu misimamo mara ngapi tumesimamia uwajibikaji wa serikali mwanzo mwisho ingawa tumedhoofishwa sana na serikali yenu???
Miswada mingapi imeletwa bungeni akina mnyaa lisu mbowe na mnyika wamefight sana isipitishwe na bado mpka leo chama kimeshikilia msimamo wake kuhsu sera tofauti tofauti za kinyonyaji za kiserikali na mara nyingi wamekuwa wakikumbushia bungeni kuhusu MAKABURI HAYO YANAYOTAKIWA KUFUKULIWA...... ???

Tuanzie hapa kwanza
Fair grounds katoa Kikwete tena kwa 100% lkn msivyo na vision mnakuja kuokoteza mgombea urais aliyetemwa na CCM!! Hii ni aibu sana... Maana hata mpewe uwanja gani hamjifunzi kujenga viongozi ndani ya chama, mnajenga wanaharakati tu, matokeo yake mnaokoteza wagombea! Kwa style hiyo mtapigwa sana na CCM kwenye chaguzi.
Mwambieni SISONJE asipige penalty huku mchecki moto wa Upinzani.
View attachment 450580

swissme
 
Habari wanajamvi nianze Kwa kupongeza vyama vya upinzani nchini Kwa uwepo wao kwani licha tu ya kuwa na tija kisiasa pia vina tija kisiasa pia kwan uwepo wao nchini n kiashiria cha demokrasia na demokrasia ndo msisitizo wa mataifa rafiki hususan ya magharibi hvyo uwepo wa upinzani una tija pia kiuchumi

Sasa niingie kwenye mada husika juu ya mtazamo wa vyama vyetu vya upinzani kwamba siku moja vinaeza ongoza nchi hii kitu ambacho nakifananisha na ndoto za mchana a kama si za alinacha na abunuazi na vitu kinanisukuma kutoa mtazamo huu n kama vifuatavyo

*Kuendekeza siasa zilizopitwa na wakati
*kufeli katika kuzisoma nyakati
*kukosa vision
*kutokua na misimamo Kwa kile wanachokisimamia
*kukosa vipaumbele
*kukosa network iliyotapakaa kila sehemu
*kuzidi kupoteza nguvu ya ushawishi
*kuendekeza migogoro ya ndani ya vyama
*uwezo mdogo wa kifedha
*Kukosa viongozi wafanisi (effecient )

Na mengine mengi na Kwa kadiri muda utavyokua ukiruhusu nitakua nikifafanua hoja moja baada ya nyingne.
Naona asilimia 90 ya uliyataja ni sifa halisi za CCM na serikali!
*kuendekeza siasa zilizopitwa na wakati:
-kuminya uhuru wa habari na kukandamiza upinzani,kuzuia bunge na kuzuia mikutano ya kisiasa!Mbinu hii ni ya kizamani inayotumiwa na ccm!
*kufeli katika kuzisoma nyakati
-Hapa ccm inashindwa kutambua tunaenda kuwa na wapiga kura wengi vijana na kundi lao kubwa la wafuasi ambao ni wazee na maskini huko vijijini nao mwamko umeanza kufika!
*Kukosa vision
-Bila shaka ccm haina vision ndio maana miaka 50 baada ya uhuru hatujajikwamua toka kwa maadui wetu wakubwa watatu,ujinga,umaskini na maradhi!Ccm ingekuwa na vision walau adui mmoja tungeshampiga chini
*kutokuwa na msimamo kwa kile wanachosimamia
-hapa ndio tunaona jinsi ccm ilivyokosa msimamo,nchi inaongozwa kwa matamko na baadaye yanakanushwa au kutotekelezwa!Rejea makada wakuu wa mikoa,wilaya na mawaziri wanavyotofautiana!
*kukosa vipaumbele
Hapa sidhani kama kuna haja kuongea sana,ccm haina vipaumbele kabisa!Rejea ujenzi wa uwanja Chato na ununuzi wa bombadier!
*Kuzidi kupoteza nguvu ya ushawishi
-ccm kwa hili chalii,ndio maana hata magu kwa kutambua hilo akasema "chagua magufuli" badala ya ccm
*kukosa viongozi wafanisi
-Ni viongozi gani wafanisi walioko ccm?Wangekuwepo uwanja usingeenda kujengwa chato!

Asilimia 90 uliyosema umeilenga ccm yenyewe!
 
Nadhan matajiri wanasita kuchangia upinzani Kwa kuwa wapinzani wenyew hawaaminiki

Hoja ya kitoto mno. Umepanga mambo mengi kwenye uzi wako kama sababu ya upinzani kushindwa kuchukua dola, lakini iko wazi jinsi tume inavyochaguliwa na kufanya kazi. Jinsi jeshi linavyojigeuza taasisi ya ccm wakati wa uchaguzi. Mfano uliona uchaguzi wa ZnZ, hayo mengineni propaganda za kizee tu.
 
Naona asilimia 90 ya uliyataja ni sifa halisi za CCM na serikali!
*kuendekeza siasa zilizopitwa na wakati:
-kuminya uhuru wa habari na kukandamiza upinzani,kuzuia bunge na kuzuia mikutano ya kisiasa!Mbinu hii ni ya kizamani inayotumiwa na ccm!
*kufeli katika kuzisoma nyakati
-Hapa ccm inashindwa kutambua tunaenda kuwa na wapiga kura wengi vijana na kundi lao kubwa la wafuasi ambao ni wazee na maskini huko vijijini nao mwamko umeanza kufika!
*Kukosa vision
-Bila shaka ccm haina vision ndio maana miaka 50 baada ya uhuru hatujajikwamua toka kwa maadui wetu wakubwa watatu,ujinga,umaskini na maradhi!Ccm ingekuwa na vision walau adui mmoja tungeshampiga chini
*kutokuwa na msimamo kwa kile wanachosimamia
-hapa ndio tunaona jinsi ccm ilivyokosa msimamo,nchi inaongozwa kwa matamko na baadaye yanakanushwa au kutotekelezwa!Rejea makada wakuu wa mikoa,wilaya na mawaziri wanavyotofautiana!
*kukosa vipaumbele
Hapa sidhani kama kuna haja kuongea sana,ccm haina vipaumbele kabisa!Rejea ujenzi wa uwanja Chato na ununuzi wa bombadier!
*Kuzidi kupoteza nguvu ya ushawishi
-ccm kwa hili chalii,ndio maana hata magu kwa kutambua hilo akasema "chagua magufuli" badala ya ccm
*kukosa viongozi wafanisi
-Ni viongozi gani wafanisi walioko ccm?Wangekuwepo uwanja usingeenda kujengwa chato!

Asilimia 90 uliyosema umeilenga ccm yenyewe!
Mkuu kuwa serious kidogo AF piitia upya ulichoandka
 
Hoja ya kitoto mno. Umepanga mambo mengi kwenye uzi wako kama sababu ya upinzani kushindwa kuchukua dola, lakini iko wazi jinsi tume inavyochaguliwa na kufanya kazi. Jinsi jeshi linavyojigeuza taasisi ya ccm wakati wa uchaguzi. Mfano uliona uchaguzi wa ZnZ, hayo mengineni propaganda za kizee tu.
Nikaweka suala LA kukosa vipaumbele pia kama vyama vya upinzan vngeweka suala LA katiba na tume huru kuwa kipaumbele chao na wakisimamie hiko wangefanikiwa lakin hawaelew wanataka nn

Sijui wanamtaka Ben
Sijui wanamtaka lema
Sijui wanamtaka Faru john
Sijui wanataka nn lbd
 
Fair grounds katoa Kikwete tena kwa 100% lkn msivyo na vision mnakuja kuokoteza mgombea urais aliyetemwa na CCM!! Hii ni aibu sana... Maana hata mpewe uwanja gani hamjifunzi kujenga viongozi ndani ya chama, mnajenga wanaharakati tu, matokeo yake mnaokoteza wagombea! Kwa style hiyo mtapigwa sana na CCM kwenye chaguzi.
Kikwete alitoa uhuru sio fair ground wwe.. kwanni alipandikiza wafia chama dakika za mwisho ili kuchakachua kura NEC both zenji na bara??? Pia bunge la katiba alilivuruga kwa kuweka msimamo wa serikali hta kabla wabunge hawajajadili.
Pia kama unadai matajiri hawawezi changia upinzani kisa haueleweki hivi huoni magu alivyoshughulikia team lowassa wale wa TRA huoni wengine wataogopa maana wataundiwa zogo la kisiasa ndo maana inabidi wakae kimya bila kujihusisha na siasa za mageuzi.
 
Nikaweka suala LA kukosa vipaumbele pia kama vyama vya upinzan vngeweka suala LA katiba na tume huru kuwa kipaumbele chao na wakisimamie hiko wangefanikiwa lakin hawaelew wanataka nn

Sijui wanamtaka Ben
Sijui wanamtaka lema
Sijui wanamtaka Faru john
Sijui wanataka nn lbd

Unaongea ujinga gani ww!? Hayo mambo ya vipaombele ni nani alikuambua wameyapuuza na bado yakiishia kuwekea hila na serekali. Hivyo vipaombele mpaka sasa ndio vinawafanya wananchi waendelee kuuamini upinzani. Kwa mtazamo wako kwa ajili ya hivyo vipaombele basi wasiulizie chochote kuhusu Ben saanane, Lema nk? Kama huna hoja peleka watoto wa boss wako beach wakaogelee. Kununua simu mpya isiwe kero hapa jukwaani.
 
Nikaweka suala LA kukosa vipaumbele pia kama vyama vya upinzan vngeweka suala LA katiba na tume huru kuwa kipaumbele chao na wakisimamie hiko wangefanikiwa lakin hawaelew wanataka nn

Sijui wanamtaka Ben
Sijui wanamtaka lema
Sijui wanamtaka Faru john
Sijui wanataka nn lbd

Hilo la katiba limeanza toka 1992 enzi hizo NCCR na mpaka leo NCCR imeshikilia bango la katiba mpya hadi Dk mvungi mkkamuua au NCCR sio wapinzani???
 
Kikwete alitoa uhuru sio fair ground wwe.. kwanni alipandikiza wafia chama dakika za mwisho ili kuchakachua kura NEC both zenji na bara??? Pia bunge la katiba alilivuruga kwa kuweka msimamo wa serikali hta kabla wabunge hawajajadili.
Pia kama unadai matajiri hawawezi changia upinzani kisa haueleweki hivi huoni magu alivyoshughulikia team lowassa wale wa TRA huoni wengine wataogopa maana wataundiwa zogo la kisiasa ndo maana inabidi wakae kimya bila kujihusisha na siasa za mageuzi.
Tofauti ya Uhuru wa kisiasa na fair grounds za kisiasa ni ipi ndugu? Na kama Kikwete hakutoa hiyo fair ground Leo mnamsifia kwa lipi hapa!?
Mi naona kama upinzani wa siku hizi umepanick kwa kukosa hoja. Ukiniuliza Mimi sioni tofauti kubwa Kati ya hawa marais wawili, so jengeni chama kiaminike sio kulialia hapa!
 
Unaongea ujinga gani ww!? Hayo mambo ya vipaombele ni nani alikuambua wameyapuuza na bado yakiishia kuwekea hila na serekali. Hivyo vipaombele mpaka sasa ndio vinawafanya wananchi waendelee kuuamini upinzani. Kwa mtazamo wako kwa ajili ya hivyo vipaombele basi wasiulizie chochote kuhusu Ben saanane, Lema nk? Kama huna hoja peleka watoto wa boss wako beach wakaogelee. Kununua simu mpya isiwe kero hapa jukwaani.
Usitokwe povu Mkuu

Unaeza nambie vision ya chama chako
 
Unaongea ujinga gani ww!? Hayo mambo ya vipaombele ni nani alikuambua wameyapuuza na bado yakiishia kuwekea hila na serekali. Hivyo vipaombele mpaka sasa ndio vinawafanya wananchi waendelee kuuamini upinzani. Kwa mtazamo wako kwa ajili ya hivyo vipaombele basi wasiulizie chochote kuhusu Ben saanane, Lema nk? Kama huna hoja peleka watoto wa boss wako beach wakaogelee. Kununua simu mpya isiwe kero hapa jukwaani.
Usitokwe povu Mkuu

Unaeza nambie vision ya chama chako
Unaongea ujinga gani ww!? Hayo mambo ya vipaombele ni nani alikuambua wameyapuuza na bado yakiishia kuwekea hila na serekali. Hivyo vipaombele mpaka sasa ndio vinawafanya wananchi waendelee kuuamini upinzani. Kwa mtazamo wako kwa ajili ya hivyo vipaombele basi wasiulizie chochote kuhusu Ben saanane, Lema nk? Kama huna hoja peleka watoto wa boss wako beach wakaogelee. Kununua simu mpya isiwe kero hapa jukwaani.
 
Hilo la katiba limeanza toka 1992 enzi hizo NCCR na mpaka leo NCCR imeshikilia bango la katiba mpya hadi Dk mvungi mkkamuua au NCCR sio wapinzani???
Kwa hyo saiv sio kipaumbele tena na bdo MNA ndoto za kuingia ikulu
 
Back
Top Bottom