Jambo baya na kipuuzi ni kufikiria jukumu la kuikoa nchi hii ni la kina Mbowe peke yao ?Amani iwe kwenu wajumbe!
Nadondosha andiko langu hapa kuushauri upinzani katika nchi hii usikubali kabisa upuuzi wa watu wachache kuamua kujipa mamlaka kwa kutumia nguvu ili kujiamulia kuifanyia nchi watakavyo. Wanataka wapange bajeti ya nchi watakavyo.
Serikali ya CCM imekua na rekodi ya kuiba na kufisadi mali za umma na upinzani pekee ndiyo uliokua jicho pekee la kumulika uchafu huo.Sasa CCM wametumia vibaya mamlaka ya kidola kuwapora upinzani ushindi wao ili waendelee waliyokuwa wakiyafanya huko nyuma.
Duniani kote hakuna mfumo wa kiutawala uliowahi kubadilishwa bila jasho na machozi ya watu. CCM wanasubiri machozi yaanze kudondoka ndio wajiondoe kwenye mfumo, CCM wanasubiri jasho liwatokee wachache ndipo wajiondoe kwenye mfumo. Huo ndio wakati wenyewe wa kufanya maamuzi magumu kubadili mfumo unaotumiwa Vibaya na ccm.
Kama Zitto Kabwe ametuhumu with Evidence kwamba TIS ndio waliohusika kuchakachua uchaguzi huu,wanafanya haya kwa faida ya nani? DSO anaandika matokeo kama nani? Yeye ni afisa wa tume au nani?
Ni wakati wa kuuondoa huu upuuzi unaoendekezwa na watu wachache. Hii nchi ni yetu sote, Mwalimu alituletea mfumo wa vyama vingi tuwe huru kuchagua. Haturuhusu urithi huu kunajisiwa na washamba wachache wenye uchu wa madaraka. Tunahitaji mfumo mpya wa kiutawala whether CCM wakubali au wakatae.
Amani iwe kwenu wajumbe!
Nadondosha andiko langu hapa kuushauri upinzani katika nchi hii usikubali kabisa upuuzi wa watu wachache kuamua kujipa mamlaka kwa kutumia nguvu ili kujiamulia kuifanyia nchi watakavyo. Wanataka wapange bajeti ya nchi watakavyo.
Serikali ya CCM imekua na rekodi ya kuiba na kufisadi mali za umma na upinzani pekee ndiyo uliokua jicho pekee la kumulika uchafu huo.Sasa CCM wametumia vibaya mamlaka ya kidola kuwapora upinzani ushindi wao ili waendelee waliyokuwa wakiyafanya huko nyuma.
Duniani kote hakuna mfumo wa kiutawala uliowahi kubadilishwa bila jasho na machozi ya watu. CCM wanasubiri machozi yaanze kudondoka ndio wajiondoe kwenye mfumo, CCM wanasubiri jasho liwatokee wachache ndipo wajiondoe kwenye mfumo. Huo ndio wakati wenyewe wa kufanya maamuzi magumu kubadili mfumo unaotumiwa Vibaya na ccm.
Kama Zitto Kabwe ametuhumu with Evidence kwamba TIS ndio waliohusika kuchakachua uchaguzi huu,wanafanya haya kwa faida ya nani? DSO anaandika matokeo kama nani? Yeye ni afisa wa tume au nani?
Ni wakati wa kuuondoa huu upuuzi unaoendekezwa na watu wachache. Hii nchi ni yetu sote, Mwalimu alituletea mfumo wa vyama vingi tuwe huru kuchagua. Haturuhusu urithi huu kunajisiwa na washamba wachache wenye uchu wa madaraka. Tunahitaji mfumo mpya wa kiutawala whether CCM wakubali au wakatae.
Nyanoko hadi milele.Hizi choko choko zote fanyeni. Sisi raia tumeshamaliza kazi. Tuko na JPM hadi milele yote
Wananchi tumeshaamua kuwa hatuwataki, nendeni huko kwa mabwana zenu kwa kina Robert Amsterdum mkakunwe muwasho uishe. Kama uchaguzi ukirudiwa hata hizo kura 1M + mlizopata mtazisikia kwenye bomba.Maandamano ni ya kutaka uchaguzi urudiwe siyo kupindua serikali
Acha watu waandamane ,kwani inakusumbua nini.
We bhana... Kesho ingia Mtaani tukufagieWanajeshi wazee 48 and above ndiyo wanazi wa ccm.
Mnajitoa mhanga kwa kuvaa mabomu? Au kwa kushika bunduki na kuingia msituni?Ni kweli lazima kujitoa mhanga vinginevyo hakuna kitachobadilika.
Mkitaka kujua watu wana hasira na machungu, someni comments baada ya Hussein Bashe kuandika tweet ya kumsifia Magufuli kwa eti kushinda uchaguzi.
Comments zimeishia kumfedhehesha yeye mwenyewe na Magufuli kutokana na lugha(abusive language) na maneno mengine makali watu waliotumia kumjibu Bashe.
Msomali lazima ajipendekezeNi kweli lazima kujitoa mhanga vinginevyo hakuna kitachobadilika.
Mkitaka kujua watu wana hasira na machungu, someni comments baada ya Hussein Bashe kuandika tweet ya kumsifia Magufuli kwa eti kushinda uchaguzi.
Comments zimeishia kumfedhehesha yeye mwenyewe na Magufuli kutokana na lugha(abusive language) na maneno mengine makali watu waliotumia kumjibu Bashe.
Aibu tupu hawataki uchaguzi urudiweMaandamano ni ya kutaka uchaguzi urudiwe siyo kupindua serikali
Acha watu waandamane ,kwani inakusumbua nini.